Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
'ukiharibu na wewe unaharibikia hapohapo'...Uzi huu naomba uwe maarumu kwa kuweka kumbukumbu ya Maneno mazuri ya Aliyewahi kuwa Raisi wa Tanzania 2016-2021.
Nukuu ziwe za staha, hii itakua njia nzuri ya kumuenzi Mwendazake
'Tanzania siyo maskini'!
'Nataka Tanzania iwe dornor country!