Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Zile ni mada za kuburudisha na kuelimisha, ni sawa na zile hadithi ''sungura akasema......Hata humu unajitegeshaga sana tu jisome mada zako ooh nina hiki mara mchepuko wangu nimeujengea bla bla bla....
Kwa hii mindset atatongoza kila demu mbele yake kwa kuhisi kashobokewaMwambie atembee aone dunia. Kuna nchi unaweza kudhani demu anakutongoza kumbe.... Mara unaulizwa ''do you have any plans this weekend?''
Aiseee sawa.Tunachati mpaka mwisho, baadaye unagundua ni nini kinahitajika
mwaka jana si ulinifata pm ukanitongoza nikakataa ukasema utanionyesha! uliishia wapi..?πππππupuzi ambao siwezi kuja kufanya
Ki vipi mkuu? πAcha kujirahisisha shemeji πππ
Hawa viumbe hawaeleweki πMnafanyaje mpaka mnatongozwa wazeee?
Sie wengine bila bila.....
Jasho tunatoka ila kula hatuli....
kwamba ukiwahangaikia ndio huwapati? πHawa viumbe hawaeleweki π
We ndio umemaliza kila kitu, inabidi utembee mtaa mzima ukichezaNa sisi ni binadamu jamani tuna mioyo na tuna hamu pia.......
Fungua pm nikutongoze....We ndio umemaliza kila kitu, inabidi utembee mtaa mzima ukicheza
Usipo waangaikia wanakutafuta wenyewe, ukiwa hujaoa huwaoni ila ukioa wanakutafuta πkwamba ukiwahangaikia ndio huwapati? π
Sasa huo utakuwa ni utapeli wa kihisia πWenzio wameona kuna hela huko ww unasema wanakutongoza
Kupenda huwa kunakuja automaticπππππupuzi ambao siwezi kuja kufanya
πππππsio kwanguKupenda huwa kunakuja automatic
Na watoto 13 wanategemea ada wiki ijayo πFungua pm nikutongoze....
mimi nikutongoze komamanga ππππkhaaamwaka jana si ulinifata pm ukanitongoza nikakataa ukasema utanionyesha! uliishia wapi..?
Nadhani sio kwa sasa, hata hapo nyuma walitongoza sana pia. Labda tuseme aina za utongozaji kwa sasa zimebadilika.Siku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k
Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.
Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.
Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.