NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

kwa kweli wanaosema katiba inayopendekezwa ina dosari au kasoro ni wanafiki na hawafai ktk taifa hili,mana katiba imezingatia mambo yote ya msingi kwa mujibu na mustakabari wa maendeleo ya taifa letu la tanzania,nawaomba watanzania wenye lengo la kuendleza nchi yetu tuipokee katiba na muda ukifika tukapgie kura ya ndio,katiba yetu ni nzuri sana naomba tuipokee,kweli sita ni simba dume amehmiri sana kurupushan za bunge la katiba,hongera rahis kikwete kwa jitihada zako za kuwezesha bunge la katiba,
 
Inaonekana umesoma hiyo katiba prndekezwa na umevutiwa nayo. Sasa eleza mambo mazuri yaliyotajwa ili ushawishi watu kwa hoja siyo kwa maneno. Pia kama unayo nakala tuwekee hapa tuisome wote.
 
kwa kweli wanaosema katiba inayopendekezwa ina dosari au kasoro ni wanafiki na hawafai ktk taifa hili,mana katiba imezingatia mambo yote ya msingi kwa mujibu na mustakabari wa maendeleo ya taifa letu la tanzania,nawaomba watanzania wenye lengo la kuendleza nchi yetu tuipokee katiba na muda ukifika tukapgie kura ya ndio,katiba yetu ni nzuri sana naomba tuipokee,kweli sita ni simba dume amehmiri sana kurupushan za bunge la katiba,hongera rahis kikwete kwa jitihada zako za kuwezesha bunge la katiba,

Join Date : 1st December 2014
 
Uwe unashirikisha ubongo...kama hyo katiba no nzuri au hiyo rasimu pendekezi ya CCM no nzuri mngefanya namna kila Mtanzanis awe na nakala na skuja hapa kutupigia kelele na post zenye kubomoa taifa.
 
kwa kweli wanaosema katiba inayopendekezwa ina dosari au kasoro ni wanafiki na hawafai ktk taifa hili,mana katiba imezingatia mambo yote ya msingi kwa mujibu na mustakabari wa maendeleo ya taifa letu la tanzania,nawaomba watanzania wenye lengo la kuendleza nchi yetu tuipokee katiba na muda ukifika tukapgie kura ya ndio,katiba yetu ni nzuri sana naomba tuipokee,kweli sita ni simba dume amehmiri sana kurupushan za bunge la katiba,hongera rahis kikwete kwa jitihada zako za kuwezesha bunge la katiba,

Wewe ni mnafiki na hapa umetumwa!?
 
Tafuta knywe google play application ya cmu yako andka katiba mpya utaipata
 
Idiot!katiba pendekezi ni Sera za ccm kuwalinda viongozi na mafisadi na so kwa ajili ya wananchi,mf haki za Makundi ni sehemu ya malengo makuu ya taifa huwezi dai popote(mahakamani) hata km serikali hatotimiza.
 
Asante Mkuu, nimetafuta nakala ktk Ofisi mbalimbali bila mafanikio!.. Swali ninalojiuliza Je Jamaa zangu kule kijijini Lwamgasa wasiojua Google ni nini watafanya vipi maamuzi Ifikapo April 2015
 
KATIBA INAYOPENDEKEZWA NI BORA KULIKO YA SASA, HONGERA MH. RAISI, HONGERA WATANZANIA.

Katika historia ya uandishi wa katiba mpya duniani hakuna nchi yeyote ambayo iliwahi kuandika katiba mpya ikakidhi matakwa ya wananchi wote na taifa kwa 100%. Katiba si msaafu wala si biblia kwamba haiwezi kufanyiwa maboresho. Leo hii jambo ambalo tumeliona lina tija na manufaa kwa taifa na tukaliingiza kwenye katiba, kesho tutaliona halina tija na tutakubaliana kuliondoa au kuliboresha. Vilevile jambo ambalo leo tumeliona halina tija na kutoliingiza ndani ya katiba kesho tutaona umuhimu wake na tutakubaliana kuliingiza ndani ya katiba yetu.

Katiba inayopendekezwa imetambua haki za makundi mbalimbali kama vile wakulima, wafugaji, wafanyakazi, wasanii, vijana, wanawake na wengine. Pia katiba inayopendekezwa imetambua haki bunifu, mgombea, binafsi, maboresho katika muungano wetu sambamba na kuweka mfumo bora wa kusimamia rasirimali za taifa na kudhibiti mianya ya matumizi mabovu ya rasirimali. Kundi pekee ambalo linadhani halijatendewa haki katika katiba hii ni kundi la wanasiasa wachache ambao kwao tafsiri ya katiba bora ni ile inayokidhi maslahi yao ya kisiasa. Hili ni jambo ambalo watanzania hawana budi kulikataa.

Jambo la msingi ambalo kila mtanzania anapaswa kukubali ni kwamba katiba inayopendekezwa ni bora kuliko ile ya sasa. Wakati ambapo baadhi ya watu wakiipinga na kudai kwamba haiwezi kulivusha taifa letu, wapo watanzania tena asilimia kubwa ambao wanaiona katiba inayopendekezwa kuwa ni chombo madhubuti ambacho kitachochea maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii. Hatuwezi kuwa na mtazamo mmoja, na ikifika wakati watanzania wote tukawa na mawazo yanayofanana basi tujue kwamba tunapaswa kujitazama upya. Kutofautiana kimtazamo ni jambo la kawaida na
hiyo ndiyo afya ya demokrasia iache ichukue nafasi yake. Tupingane kwa hoja bila kuhatarisha amani ya taifa letu.

Hongera Mh. Raisi Dr. Jakaya Kikwete kwa kazi kubwa uliyoifanya. Hili ni jambo la kihistoria ambalo halijawahi kutokea katika historia ya Taifa. Hii ni mara ya kwanza kwa Taifa letu kuandika katiba yake kwa kushirikisha wananchi wake. Yapo mataifa ambayo yaliwahi kuandika katiba zao kwa kutumia Bunge la katiba pekee, wapo waliogeuza Bunge la kawaida na kuwa Bunge la katiba. Kwa taifa letu, mchakato umekuwa wa kidemokrasia zaidi kiasi kwamba wapo wanazuoni, wanasiasa na mataifa mbalimbali ambao wameishangaa Tanzania kwa kuruhusu demokrasia kwa kiwango hiki. Kwa hakika Mh. Rais anastahili pongezi na daima watanzania tutakukumbuka na jina lako haliwezi kufutika katika fikra zao.

Bonge la fisadi sasa si tufanye katiba yetu ndo iwe ya kwanza jamani ya kukidhi matakwa yetu? Mbona unatetea udhaifu kaka
 
Bingo movie na bongo flavor za wabeba mzigo sawa poa ndani ya katiba.waislam nusu ya raia wa nchii hii hapana " tutawaundia sheria"
Kwani hakuna sheria ya haki miliki ? Kwani hii nchi ya wapuga vinanda peke yao

Sorry mkuu mie sio religionism but spiritual pia dini zilizoletwa na meli sizipendi mana zinatutenganisha waafrica au masokwe ila whites au manguruwe wanatumia huo mwanya kutupora mali zetu wakati tunalumbana au kugombana kwa ajili ya tamaduni zao kaka cjui dada oky by any case
Swali lipo hivi kwako sina chuki nawe za kidini au kikabila ila kama ww ni nguruwe i mean whites nakuchukia by nature ila kama black au sokwe mwenzagu please nijjbu.

Kwani katiba ni ya kikristo au ya kiislamu.
Au inakidhi wakristo ila waislamu haikidhi kaka.
Ila policy ya serikali ni kuwa haina dini ila watu wake wana dini.


Sorry kama utachukia sina lengo la udini ila hawa jamaa weupe wenye ngozi kama nguruwe nawachukia mana wamekuja wakatufanyia brainwashed afu wakatupatia tamaduni zao k.v eti mpaka majina yao ndo yafaayo mbele za mungu,mavazi au aina ya uvaaji,hata aina ya chakula afu vya kiafrica ni vya kishenzi afu eti mitume wote ni wazungu jamani.
Kikubwa nijibu ila haya mengine ni dukuduku langu mana haiwezakani eti kama ww mtakatifu sana afu unaitwa kano,okello,masanja,masawe,mgimwa ,marwa,mwakapimba,rugemarula,mollel au kirway eti hatoenda mbinguni au hayampendezi Mungu Muumbaji wa kila kitu ila sharti uitwe simon,daniel,,marium,happy,hamisi,rashidi,abdalah au Hadija.
Hii kama sio kuolewa na hao jamaa ni nn jamani ka ukimuoa mwanamke anafuata kila kitu mpaka jina anabadili anaitiwa la kwako..
Ila wahindi,wachina n.k wameshikilia tamaduni zao jamani haukufanyiwa brainwashed sijui wao kama watapaona peponi
 
Bonge la fisadi sasa si tufanye katiba yetu ndo iwe ya kwanza jamani ya kukidhi matakwa yetu? Mbona unatetea udhaifu kaka

Hayo ni mawazo kama mawazo mengine,Lakini kwa nini baadhi ya vipengele kama kupunguza madaraka na kuwapa wapiga kura meno ya kuwawajibisha viongozi wao mara wanapowaona kutofanya majukumu yao?
 
Watanzania Sasa tuamke hususan vijana. Bado tunayo safari ndefu kimaisha. Wazee wetu tunawapenda japokuwa wengi wao wameonekana hadharan kuwa ni wabinafsi. Tuwe wazalendo. Tuwe seriois na suala la katiba. Tutoe maoni yenye muino Wa mbali. Wazee wetu wametuangusha katika suala la katiba. Inayo mapungufu mengi mno, lazima tufike sehemu tutambue na tuamue.
Hayo ni mawazo kama mawazo mengine,Lakini kwa nini baadhi ya vipengele kama kupunguza madaraka na kuwapa wapiga kura meno ya kuwawajibisha viongozi wao mara wanapowaona kutofanya majukumu yao?
 
Dhami mnayo ifanya sasa nyinyi ccm na hilo likatiba lenu la kipuuzi itatafuna mpaka kizazi chenu, msidanganywe na hiyo mali ya laana inayonuka damu mliyo lenga kuipata kutokana na hilo likatiba lenu. Shame on you CCM
 
Uliye post
 

Attachments

  • 1423729837438.jpg
    1423729837438.jpg
    6.2 KB · Views: 492
Akohi wewe ni bure kweli wewe,katiba ya zamani na inayo pendekezwa tofauti yake ni ndogo mno,nikama tone baharini,ndo maana tunasema hakuna tofauti, mambo yaliyo tupiliwa mbali na katiba ya ccm amboya niya msingi kuliko maelezo na kama vile bunge kupewa nguvu zaidi katika kujadili na kutoa maamuzi ya kuteua wajumbe, miswada, waziri kutokuwa mbunge, msaada wa kisheria kwa watu wenye kesi na hawana msaada wa sheria, mbunge kuwajibishwa na wapigakura wake, tume huru za uchaguzi, kufuta account za mabilioni nje, kupunguza idadi ya wabunge na mawazili, mihula ya wabunge kuwa na kikomo na mengine mengi, hayo yote ma ccm wameyatoa kwa maslahi yao, msitetee upumbavu kama mmekula mlungula.
 
Back
Top Bottom