Watoto wao wengi hawana akili kwa hiyo ni kupoteza pesa tu afadhali wangesomesha watoto wa Tanzania ambao wanaakili bila kuupendelea familia zaoWanachuma bongo wakasomeshe watoto wao nje,huwa nashangaa sana zile nyumba za NHC zilivyochoka hata rangi jaman hawapaki hatar sana
Kama sisi tumeshindwa kuzalisha je
Bongo ukijenga ndo unaonekana una akili, tuna mambo ya ajabu sana.[emoji848][emoji848]Ila sisi kukimbilia kujenga ndo habari y mjini eti..Ellon musk hana nyumba hata matajiri wakubwa wamepanga ili kuwa na access na sehemu zao za kazi ila sio kwamba nyumba hawana uwezo wa kujenga mfano Harmonize kapanga, Diamond kapanga..
Ingekua kujenga hakuna maana tungekua tunaishi kama wanyama huko porini pasingekua na miji na magorofa kule city centerBongo ukijenga ndo unaonekana una akili, tuna mambo ya ajabu sana.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Walikuwa hawajazaliwa hawa, wanamsoma tuu mchonga na kusikia stori za kina Burito kuhusu MwalimiToka lini nyerere aliwapenda watu wake? Rubbish
Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji
wewe unapoteza mda miaka 30 upo darasani unaloweka miguu kwenye beseni unasoma upate vyeti Ili ukaajiriwe, mwenzako miaka 30 yupo field anasimamia biashara za familia
Watanzania ambao ni passenger hata kiswahili hawajui,
Umezaliwa kariakoo alafu hujui kiswahili we unaona ni sawaWatanzania kibao hawajui kiSwahili mfano nenda Sukumaland, jamii ya wafugaji bonde la Ihefu n.k utakutana na waTanzania hawajui kiswahili
Baada ya Amin kuwafukuza wahidi Uganda nyanja zote za uchumi zilichukuliwa na waafrica/waganda, ukienda kampala biashara kubwa imeshikiliwa na wazawa, ni jambo la kawaida kuona mzawa anamiliki ghorofa linatoka mtaa mmoja hadi mwingine na anawapangisha hao wahindi, ni jambo la kawaida kuona mganda anamzabua makofi muhindi pale anapoleta unyanyasaji kwa mzawa.Idd Amin aliwafukuza Wahindi,je nini kilitokea Uganda?
Wahindi wengi walihamia Uingereza na Canada na huko wakawa vizuri tu kiuchumi,
Utajiri au kufanikiwa ni mind set yako tu,nidhamu na mipango endelevu,utajiri au mafanikio hayaji kwa kumchukia aliyekuzidi bali unatakiwa kujifunza kupitia kwao.
Nakubaliana nawe mia kwa mia. Hii ni kansa aliyotuachia mwendazake KambarageKipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa
Maajabu ya mhindi/mharabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania
Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote
Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option
Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama waleNakubaliana nawe mia kwa mia. Hii ni kansa aliyotuachia mwendazake Kambarage
Kuandika kwenyew hujuiKipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa
Maajabu ya mhindi/mharabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania
Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote
Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale
Muhindi/muharabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai
Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option
Mfumo wa elimu inabid ufanyiwe overhall kubwa sana, tutrain vijana wetu kwenye mambo ya ufundi na kuoperate Mashine ili machine operator na production managers wasiwe wanatoka India au china
Kwa hiyo wewe tokea uzaliwa hujawahi kufanya Kosa la typing error mbona unajikuta kwenye kasoro za kibinadamuKuandika kwenyew hujui
Eti mharabu 🤣🤣
Hao unaowataja wameiba serikalini. Watawala wetu wezi wanapenda kuwatumia magabacholi kwa vile si tishio kwao. Wakiboronga wanawafukuza kama walivyofanya wakati wa Chavda.Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale
Muhindi/muharabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai