Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Mzila nkende, Jiwe, chuma, burudoza, Yaani, Hakuna kama Magufuli, akifuatiwa na Nyerere mzee wa hotuba nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere alifanyakazi nzuri Sana ya lugha. Alivalisha watanzania utanzania japo mababu zetu waliendelea kufa masikini. Angembembeleza mkoloni asiondoke kabisa ili vijana kipindi kile wasome na madarasa yajengwe. Angewaacha wandelee kuendesha sehemu za ujenzi na viwanda ili kuproduce mashina katika nchi yake.Kwa nini Nyerere na alifanya nini kikubwa mpaka unaona ni Rais bora kwako?
Wote hao wako sawa kwani wamejaza familia zao kwenye CCM na serikali.Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.
Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
Kila mtu ana mtizamo wake. Ukisema "Aliyefuata baada ya Mwalimu Nyerere..." ni kama vile unazuia watu kuwa na mawazo yao binafsi.
Kuna watu humu hawajui chochote kuhusu Mwalimu.
Mzila nkende, Jiwe, chuma, burudoza, Yaani, Hakuna kama Magufuli, akifuatiwa na Nyerere mzee wa hotuba nzuri
Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.
Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
Umemtendea haki! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwendazake ni zero brain kuliko wote.
Magu alikua jambazi aliyr jificha kwenye kichaka cha uzalendo. Alihakikisha kampuni yake ya mayanga inapata tenda ya chato.
hakuna Rais atakaekuja au waliostaafu au aliyopo atakaemzidi JOHN POMBE MAKUFULI huyu alikuwa ni rais bora kuliko marais woote tanzania na africa. nyerere hana sifa kubwa ila ana bahati ya kusifiwa. mpaka leo watu wanahamu kama mungu angeweza kumfufua tena aje awe rais lakini ndio haiwezekani
Kwangu Nyerere ni bora kwenye Kujenga Utaifa na Tunu za Utaifa .
Mkapa ni bora kwenye kuleta mageuzi ya Uchumi na Uongozi.
JK ni bora kwenye kukuza private sector, Welfare economics na demokrasia..
Samia nae ni bora kwenye mambo ya Welfare economics na biashara ila akipata second term huenda akawa namba 2 baada ya Nyerere.
Mwendazake ni zero brain kuliko wote.
Sasa mirija kubanwa inahusikaje na rating za viongozi?pole sana ulikuwa unamirija yako serikalini ikabanwa
Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.
Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
Magufuli [emoji95]Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.
Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
Chuma Jiwe mwenye uthubutu wa kiume bila uwoga,akisema Tanzania hakuna mafua wala Malaria mibaba mizima inaitikia ndiyo huku yameufyataa.