Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Hii extremism imekuwa inspired na viongozi wa kisiasa, kiongozi wa kisiasa anapotakamka waziwazi kuwa wanaompinga hawatakiwi kuishi, lazima awagawe sana watuJF inatakiwa iwe hivi kwa Watu wenye hekima kama wewe, sasa nashangaa kuna Mawatu yanaongozwa na hisia hadi kuandika takataka humu JF kuhusu Marais wetu wa nchi na bado moderators wanawachekea tu.
Nashukuru sasa hivi angalau nchi inarudi kwenye mstari