Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia, yupi Rais bora kwako?

Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia, yupi Rais bora kwako?

Rais Bora ni Nyrerere.

1. Kaunganisha wananchi hakuna ukabila.

2. Kapeleka makao makuug Dodoma.
3. Kajenga viwanda.
4. Mfumo wa vyama vingi kautetea yeye.
5. Muungano
6. Kasaidia nchi za kusini mwa Africa kupata Uhuru.

Nk

wakati wa nyerere mkuu wa majeshi alikuwa kutoka kwao mara, waziri mkuu alikuwa kutoka mara mzee wakatiba mpya, kulikuwa na mawaziri kibao kutoka mara, kupeleka makao makuu dodoma hakuweza alishindwa ila alianzisha akaona shida mwamba jpm akatumia akili na maarifa kuipeleka dodoma iwe makao makuu, nyerere viwanda alivikuta enzi za mkoloni akavisimamia, muungano alikuwa na maslahi yake
 
1.Mkapa alikuwa rais bora kwangu, alikuwa jasiri akiyeweza kwenda kubadili sera mbovu za kiuchumi za Nyerere na Tanzania kupaa kiuchumi

2. Nyerere japo alizingua kwenye uchumi lakini ali set vizuri misingi ya nchi na hakuwa mbinafsi kama viongozi wengi wa Afrika miaka ile

3. Kikwete, alikuwa lax kidogo japo chiji yake sekta binafsi ilishamiri, uhuru na demokrasia, miundombinu ya elimu na usafiri

4.Mwinyi huyu simjui sana kwa undani lakini nasikia aliachana na sera za Nyerere na kufungua milango kwa soko huria na wananchi kupata sana ahuen, ila hakuwa mtu wa kuchukua maamuzi magumu, na alikuwa akiiishi sana kwenye kivuli cha Nyerere

5. Magufuli, huyu alikuwa mtendaji mzuri na mfuatiliji mzuri wa miradi, na kuanzisha miradi mingi pia, lakini hakuwa mwana mikakati mzuri, hakuwa na busara za kutosha kuwa kiongozi mkuu wa nchi, alikuwa na maamuzi mengi ya pupa na uelewa mdogo wa uchumi na siasa

Samia, Samia naona kwa sasa hafai kulinganishwa sababu ndio kwanza hajamaliza hata miaka 2, lakini kwa mwendo anaoenda nao anaweza kuipeleka nchi mbali kichumi na kiutawala bora na kuwazidi wengi hapo
 
Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.

Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
Nyerere Mkapa Kikwete Magufuli
 
Hapo aliyeharibu nchi ni mmoja tu naye ni jpm kwa kuwagawa watanzania na kuanzisha sukuma gang
Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.

Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
 
Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.

Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
JPM
 
Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.

Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
Ukijua ili iweje? Unafanya utafiti, objectives wa utafiti wako ni nini? Kama umevimbiwa au umechoka jipe muda kapumzike.
 
hakuna Rais atakaekuja au waliostaafu au aliyopo atakaemzidi JOHN POMBE MAKUFULI huyu alikuwa ni rais bora kuliko marais woote tanzania na africa. nyerere hana sifa kubwa ila ana bahati ya kusifiwa. mpaka leo watu wanahamu kama mungu angeweza kumfufua tena aje awe rais lakini ndio haiwezekani
Huu mjadala ni wa watu wazima? wa watoto? wa mazuzu au? mbona sielewi, hapa ni JF kweli? Bila shaka tumevamiwa!
 
Mkapa alitengeneza mfumo ambao unaendesha nchi mpaka sasa. Taasisi nyingi za serikali zilianza kipindi chake. Huo ni msingi wa utawala bora.

Mwalimu atakumbukwa kwa kuweka umoja na mshikamano wa kitaifa lakini alikuwa na mapungufu mengi sana kiuongozi na maono.
Kuhusu maono hapana. Ushahidi: mpaka leo kuna baadhi ya kauli zake zinaishi, zitaishi.
Rushwa ni adui wa haki
Binadamu ni Utu
Ukabila
Kujitegemea kama Taifa
Umuhimu wa vijana katika Taifa huru
Elimu kwa wote
Kwa uchache
 
Mama samia ni raisi anayejitahidi sana kwa maana kwanza ni mwanamke , pili ni mama tatu ni bibi halafu bado ni raisi so anajitahidi sana sio kila mama anaweza hili hongera sana Rais wetu popote ulip juu mimi nakukubali.

Raisi waliokuwepo wakawa wamekufa wote Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi .
Wote walijitahidi kadri ya uwezo wao.

Nyerere kaleta uhuru

Mkapa alifanya mengi kutukasamehewa madeni akatengeneza uwanja za mipira zikawa zakisasa na mengine mengi

Magufuli alitengeneza miundombinu akanunua ndege akatengeneza hospitali na akanunua meli za kisasa akatengeneza barabara za reli , za kawaida na kufufua reli za zamani kazifanya mpya na akanunua zingine na akawapandishia watumishi waserikali mishahara akahakikisha sekta zote watumishi wanafanya kazi kwa raha kingine alitengeneza chato ikawa kama uzunguni.

Akatengeneza shule , maji , na mambo mengi mengine mazuri .
Viva Magufuli .
Japo alibana pesa sana .

Kikwete nilimpenda aliachia hela zote mpaka akiba yote ikakata huyo ndio niliwahi kumpenda kwa anavyoongea na mwinyi na kwasasa mtotowake. Anaongoza visiwani .

Ila kwakweli maraisi wetu wote na wapenda sana ,,congrats all and especialy mama samia i love u mama samia for our peace of our country beutiful madam .😆🥰😍😘
Popote ulipo kongole kwako umeupiga mwingi
 
Mama samia ni raisi anayejitahidi sana kwa maana kwanza ni mwanamke , pili ni mama tatu ni bibi halafu bado ni raisi so anajitahidi sana sio kila mama anaweza hili hongera sana Rais wetu popote ulip juu mimi nakukubali.

Raisi waliokuwepo wakawa wamekufa wote Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi .
Wote walijitahidi kadri ya uwezo wao.

Nyerere kaleta uhuru

Mkapa alifanya mengi kutukasamehewa madeni akatengeneza uwanja za mipira zikawa zakisasa na mengine mengi

Magufuli alitengeneza miundombinu akanunua ndege akatengeneza hospitali na akanunua meli za kisasa akatengeneza barabara za reli , za kawaida na kufufua reli za zamani kazifanya mpya na akanunua zingine na akawapandishia watumishi waserikali mishahara akahakikisha sekta zote watumishi wanafanya kazi kwa raha kingine alitengeneza chato ikawa kama uzunguni.

Akatengeneza shule , maji , na mambo mengi mengine mazuri .
Viva Magufuli .
Japo alibana pesa sana .

Kikwete nilimpenda aliachia hela zote mpaka akiba yote ikakata huyo ndio niliwahi kumpenda kwa anavyoongea na mwinyi na kwasasa mtotowake. Anaongoza visiwani .

Ila kwakweli maraisi wetu wote na wapenda sana ,,congrats all and especialy mama samia i love u mama samia for our peace of our country beutiful madam .[emoji38][emoji3059][emoji7][emoji8]
Popote ulipo kongole kwako umeupiga mwingi
JF inatakiwa iwe hivi kwa Watu wenye hekima kama wewe, sasa nashangaa kuna Mawatu yanaongozwa na hisia hadi kuandika takataka humu JF kuhusu Marais wetu wa nchi na bado moderators wanawachekea tu.
 
JF inatakiwa iwe hivi kwa Watu wenye hekima kama wewe, sasa nashangaa kuna Mawatu yanaongozwa na hisia hadi kuandika takataka humu JF kuhusu Marais wetu wa nchi na bado moderators wanawachekea tu.
Wivu ukiona hivyoo ujue ukoo wao hawajawahi kupata viongozi so wivu chuki zimetawala usijali humu utawazoea tu halafu ni watu wazima hatari so wameshajichokea tu ukiandika kitu wao wanaponda tu ili uchukie wazoee hawa post utakacho
Wataelezea wale waliopenda post yako usijali jamii forum ni app tu mtu anajiunga wala hamjuani labda muamue kumjua mtu tu
 
Back
Top Bottom