Mama samia ni raisi anayejitahidi sana kwa maana kwanza ni mwanamke , pili ni mama tatu ni bibi halafu bado ni raisi so anajitahidi sana sio kila mama anaweza hili hongera sana Rais wetu popote ulip juu mimi nakukubali.
Raisi waliokuwepo wakawa wamekufa wote Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi .
Wote walijitahidi kadri ya uwezo wao.
Nyerere kaleta uhuru
Mkapa alifanya mengi kutukasamehewa madeni akatengeneza uwanja za mipira zikawa zakisasa na mengine mengi
Magufuli alitengeneza miundombinu akanunua ndege akatengeneza hospitali na akanunua meli za kisasa akatengeneza barabara za reli , za kawaida na kufufua reli za zamani kazifanya mpya na akanunua zingine na akawapandishia watumishi waserikali mishahara akahakikisha sekta zote watumishi wanafanya kazi kwa raha kingine alitengeneza chato ikawa kama uzunguni.
Akatengeneza shule , maji , na mambo mengi mengine mazuri .
Viva Magufuli .
Japo alibana pesa sana .
Kikwete nilimpenda aliachia hela zote mpaka akiba yote ikakata huyo ndio niliwahi kumpenda kwa anavyoongea na mwinyi na kwasasa mtotowake. Anaongoza visiwani .
Ila kwakweli maraisi wetu wote na wapenda sana ,,congrats all and especialy mama samia i love u mama samia for our peace of our country beutiful madam .[emoji38][emoji3059][emoji7][emoji8]
Popote ulipo kongole kwako umeupiga mwingi