Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Nyerere bado anaongoza, aliunganisha nchi kwa lugha ya kiswahili akatusomesha wengi tu tena bure kabisa.Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.
Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
Akajenga mamia ya viwanda, akakuza umoja wa kitaifa na akafanya mengi tu ambayo waasisi wenzake walishindwa kuyafanya katika mataifa yao. Alitambua umuhimu wa Mungu kuongoza taifa tangu usiku mmoja kabla ya ule ambao bendera yetu ilipandishwa pale uwanja wa Uhuru.
Walifuatia wamejaribu kadri walivyoweza na sasa tunaye mbeijing Samia katika usukani.