Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia, yupi Rais bora kwako?

Kwa nini Nyerere na alifanya nini kikubwa mpaka unaona ni Rais bora kwako?
Nyerere alifanyakazi nzuri Sana ya lugha. Alivalisha watanzania utanzania japo mababu zetu waliendelea kufa masikini. Angembembeleza mkoloni asiondoke kabisa ili vijana kipindi kile wasome na madarasa yajengwe. Angewaacha wandelee kuendesha sehemu za ujenzi na viwanda ili kuproduce mashina katika nchi yake.

Amelinda Mali Leo hii watanzania wauza mpaka viwanda. Hapa titaona pamoja na kusaidia Taifa kwa lugha alizalisha wezi, matapeli, wavivu wa kufikiria wanafiki, waongo, wapenda sifa, waongeaji kupitiliza kuliko matendo.

Angepata wachapazi wasaidizi wakadili na Elimu ungekuta tukombali Sana.
 
Wote hao wako sawa kwani wamejaza familia zao kwenye CCM na serikali.
 
Kila mtu ana mtizamo wake. Ukisema "Aliyefuata baada ya Mwalimu Nyerere..." ni kama vile unazuia watu kuwa na mawazo yao binafsi.

Kuna watu humu hawajui chochote kuhusu Mwalimu.

Hiyo sio sahihi huwezi kumlinganisha Nyerere na Marais waliofuata maana wote wamesimama kwnye misingi yake. Halafu Rais wa Mwaka 1961 huwezi kumlinganisha na Rais wa 2020.
 
Rais Bora ni Nyrerere.

1. Kaunganisha wananchi hakuna ukabila.

2. Kapeleka makao makuug Dodoma.
3. Kajenga viwanda.
4. Mfumo wa vyama vingi kautetea yeye.
5. Muungano
6. Kasaidia nchi za kusini mwa Africa kupata Uhuru.

Nk
 

hakuna Rais atakaekuja au waliostaafu au aliyopo atakaemzidi JOHN POMBE MAKUFULI huyu alikuwa ni rais bora kuliko marais woote tanzania na africa. nyerere hana sifa kubwa ila ana bahati ya kusifiwa. mpaka leo watu wanahamu kama mungu angeweza kumfufua tena aje awe rais lakini ndio haiwezekani
 

Acha kumlinganisha Nyerere na vitu vya ajabu. Magufuli amefanya kipi Cha maana?. Rais wa 1961 unataka umlinganishe na Rais wa 2015? Wewe unaona ni sahihi.
 

pole sana ulikuwa unamirija yako serikalini ikabanwa
 

Tupunguze unafiki:

Kumlinganisha Nyerere na Marais wengine ni unafiki wa Hali ya juu. Nyerere wa 1961 unamlinganisha na Rais wa 2020?. Hili roho ya ushindani sijui imetokea wapi.
 
Magufuli [emoji95]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…