Siwezi kubishana nawe kwa sababu huelewi dhana nzima za "civilian control of the military" na "justice must not only be done, it must seem to be done".
Amiri Mkuu wa jeshi si cheo cha kijeshi, hicho ni cheo cha kiraia cha rais kinachomuweka rais juu ya jeshi.
Najua hizi ni dhana ngumu kuelewa kama huna elimu ya uraia ya kutosha.
Sawa and hakuna hata mmoja amewahi serve jeshini, maybe magufuli (JKT) kidogo.John Pombe Magufuli na Samia Suluhu Hassan wamevaa magwanda ya jeshi wakiwa marais.
Nyerere alikuwa na sababu zote kama angetaka kuvaa magwanda ya JWTZ.Mwalimu Nyerere ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa kwanza baada ya Tanganyika kupata Uhuru na Tanganyika ilipoungana na Zanzibar kuunda Tanzania.
Mwalimu yeye ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wakati wa vita ya Kagera na kwenye harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika.
Ukiachilia mbali Mwalimu, Mzee Ali Hassan Mwinyi na Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete yeye alikuwa ni mwanajeshi kabla hajawa Rais.
Lakini sina kumbukumbu kama hao maris wanne wa Tanzania enzi wakiwa ni Marais wa Tanzania, waliwahi kuvaa sare za JWTZ kuonesha uamiri jeshi Mkuu wao.
Kama Kuna kumbukumbu za Nyerere, Mwinyi, Mkapa au Kikwete kuvaa sare za JWTZ kuonesha uamiri jeshi Mkuu wao, naomba niwekewe ili nibadili mafaili kwenye kumbukumbu za mbongo yangu.
Huku nilipo wapi? Na kwa nini kuwe mfano?
Unaweza kuongea hoja in the abstract bila kuangukia kwenye "huko uliko"?
Kama kitu hakifai, kikiwa kinafanyika huku niliko ndiyo kitabadilika na kuwa kinafaa kwa sababu kinafanyika huku niliko?
Wengine wooote wanamtega bi Chura. Akiingia kingi wanazama!Kwamba wewe ndio unaelewa zaidi kuliko watu woooooote walioshiriki kwenye tukio la Rais kuvaa uniform za Jeshi?
Wengine wooooooote hawajui hiko unachosema au
Mbona Uhuru Kenyatta alikuwa anavaaa?
Umeshindwa kufanya fikra dhahania, unaniangalia mimi badala ya kuangalia hoja.Kwamba wewe ndio unaelewa zaidi kuliko watu woooooote walioshiriki kwenye tukio la Rais kuvaa uniform za Jeshi?
Wengine wooooooote hawajui hiko unachosema au
Mbona Uhuru Kenyatta alikuwa anavaaa?
Hapana,Ukiona kiongozi namba moja wa inchi amefanya basi ujue kiko sawa
Kikwete ali serve jeshini.Sawa and hakuna hata mmoja amewahi serve jeshini, maybe magufuli (JKT) kidogo.
Nadhani point ya mtoa mada umeisoma
Kosa halifanyi kosa jingine kuwa halali.Kwamba wewe ndio unaelewa zaidi kuliko watu woooooote walioshiriki kwenye tukio la Rais kuvaa uniform za Jeshi?
Wengine wooooooote hawajui hiko unachosema au
Mbona Uhuru Kenyatta alikuwa anavaaa?
Bakuli sana wewe kudadekiSiwezi kubishana nawe kwa sababu huelewi dhana nzima za "civilian control of the military" na "justice must not only be done, it must seem to be done".
Amiri Mkuu wa jeshi si cheo cha kijeshi, hicho ni cheo cha kiraia cha rais kinachomuweka rais juu ya jeshi.
Najua hizi ni dhana ngumu kuelewa kama huna elimu ya uraia ya kutosha.
ni ulimbukeni tu,hao maraisi wanaovaa sare za jeshi hawanatofauti na wale wanaovaa joho au gauni la graduation siku ya mahafali ili wapige picha kuonyesha na wao ni wahitimuNyerere aliwahi kuvaa magwanda ya mgambo wakati wa Vita vya Kagera.
Ila Nyerere ni "War President" . Ali mobikize majeshi wakati wa vita hivyo huyo kidogo ana rationale ya kuvaa nguo za kijeshi kwa muktadha huo.
Wengine wote ni kick.
Wanatakiwa kujua kanuni ya "Civilian Control of the Military".
Looks childish !Mwalimu Nyerere ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa kwanza baada ya Tanganyika kupata Uhuru na Tanganyika ilipoungana na Zanzibar kuunda Tanzania.
Mwalimu yeye ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wakati wa vita ya Kagera na kwenye harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika.
Ukiachilia mbali Mwalimu, Mzee Ali Hassan Mwinyi na Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete yeye alikuwa ni mwanajeshi kabla hajawa Rais.
Lakini sina kumbukumbu kama hao maris wanne wa Tanzania enzi wakiwa ni Marais wa Tanzania, waliwahi kuvaa sare za JWTZ kuonesha uamiri jeshi Mkuu wao.
Kama Kuna kumbukumbu za Nyerere, Mwinyi, Mkapa au Kikwete kuvaa sare za JWTZ kuonesha uamiri jeshi Mkuu wao, naomba niwekewe ili nibadili mafaili kwenye kumbukumbu za mbongo yangu.
Kosa Moja halifanyi na kosa jingine kuwa halali.
Hapana,
This is a logical fallacy.
Argument from authority.
Rais Nixon wa Marekani alifanya uhuni Wamarekani wakawa wanaenda kumuondoa akajiondoa mwenyewe, kwa sababu alikosea.
Labda wewe mtoto wa 2000 hujaijua historia hiyo.
Watanzania na wao kwa kiasi kikubwa wanapenda show za kibabe, zile za "Nitumbueee, nisitumbueeee?" Halafu wanajibu "Tumbuaaaaa".ni ulimbukeni tu,hao maraisi wanaovaa sare za jeshi hawanatofauti na wale wanaovaa joho au gauni la graduation siku ya mahafali ili wapige picha kuonyesha na wao ni wahitimu
Ulitaka hao majenerali wafanye nini? Hivi kule kwenye nchi Marais wanatumia jeshi kuua raia zao huwa majenerali wanaona Sawa au si sawa?Mpaka majenerali na wakuu wa usalama wote wameridhia then ujue hoja yako haiko hivyo unavyohisi
Sasa wewe unataka nipime uwezo kwa kumuangalia mtu wa mwisho darasani badala ya kumuangalia anayeongoza darasani?Bosi tunaongelea Africa
Toa mifano ya Africa yetu
Hao unaowatolea mifano wanatuzidi kila kitu
Means waliopita they didnt need this, hawa wa sasa ndio wanaendekeza?Kikwete ali serve jeshini.
Point ni kwamba kwenye nchi za kidemokrasia rais hatakiwi kuvaa magwanda ya kijeshi.
Lakini wanavaa.
Kwa nini?
Kwa sababu wananchi wanapenda ubabe. Rais akivaa magwanda ya kijeshi anapata kick. Na marais hawana mipango ya kueleweka ya kiuchuni, wanaishia kuuza sura, hivyo, wanaishia kuvaa magwanda ya kijeshi.