Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
ndiyo mkuu ana love song moja On the low dah bonge ya piniiiiBurna namsikiliza sana mzee wa yeye yeye yeyeye yeye oh
Pia pitia african giant album hutojuta
Pitia na davido A good life
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo mkuu ana love song moja On the low dah bonge ya piniiiiBurna namsikiliza sana mzee wa yeye yeye yeyeye yeye oh
sema mi life style yake simfatilii sana ila sijawai skia skendo zake may be kwakua simfatilii sana
ed ni true definition Ya mwanamuziki mkuu Anaplay violin, Guitar , piano na Instruments mingi mingiiiIkiwezekana na salute kabisa[emoji3][emoji3]
Anaimba vzuri af bila kutumia nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Za kibongo hupendi?s
sie tunaziita classic songs
Mi ni mpagani mwema but ntajifunza kuipenda coz ov u
ngoja nikuongezee list nyimbo zingine tamu tamu
Better by Khalid
Good things by zedd kehlan
Faded by Allan walker
I hate you I love you by Gnash
Good life by kehlan
Jaribu hizo tamu haswaa
Photograph is my favorite up to date!ed anajua tuache utani hiyo perfect , ni konyo kuna Demu mpaka kesho ananikumbuka kisa hiyo nyimbo coz nlikuwa napenda mwimbia nadownload instrumental then anaplay namwimbia kama ed
pia Photograph ni my fav song , napenda mno mno mno guitar za ed , , , ,
Muhenga mwenzangu bila shakaHeart break hotel- Whitney Houston
My love is your luv- Whitney Houston
Say- Method Man ft Lauryn Heel
Hold u down- J.lo ft Fat Joe
Nimezama Rex- Ray c
Wutang Clan ft Ton Braxton
Hold ya head up- Biggie ft Bob Marley
😀😆nadhaniMuhenga mwenzangu bila shaka
Nyimbo za bongo ukisikiliza wiki inakinaisha kama kipindi cha hesabuZa kibongo hupendi?
Kuna ya joh makini-mipaka
Huwa siichoki pia
huwa naziskiliza ila siwezi ziweka kwene playlist zangu, kama hao weusi ndo huwa hawaniingii akilini japo nyimbo zao nyingi nimekariri mistariZa kibongo hupendi?
Kuna ya joh makini-mipaka
Huwa siichoki pia
Zipo ambazo hazichoshiNyimbo za bongo ukisikiliza wiki inakinaisha kama kipindi cha hesabu
Oooh,okayhuwa naziskiliza ila siwezi ziweka kwene playlist zangu, kama hao weusi ndo huwa hawaniingii akilini japo nyimbo zao nyingi nimekariri mistari