Huyo Samia manufaa gani anayopata kwa huo muungano ?? Matusi na kejeli za Mbowe na Lissu ??nisha juwa, wewe ni mnufaika mkubwa sana wa muungano; kama alivyonufaika nao Samia aliyeokota embe dodo chini ya mti wa mchongoma.
Endelea kuufaidi muungano, lakini acha kelele zako za kijinga.
Wewe ndo huna akili,unakubali kuwa brainwashed na wanasiasa,wasiolitakia mema taifa hili,,sijui mtaficha wapi nyuso zenu pale bandari itakapoanza kufanya kazi Kwa ufanisi na watu kuona hayo mafanikio,,,π,maana huo mkataba hautasinamishwa kwa Maneno ya mitandaoni Bali labda washindwe kuelewana kwenye mkataba unaofuataHuna akili kabisa
Ni kazi gani inayokuletea manufaa bila ya kutoka jasho?Huyo Samia manufaa gani anayopata kwa huo muungano ?? Matusi na kejeli za Mbowe na Lissu ??
Aisee Kuna vitu vinatia hasira sn nchi hii[emoji3525]Wasahihishe maudhui siyo kuuzwa bali zimegawiwa bure, kuuza kitu utapata fedha, Serikali haijapata fedha yoyote hivyo Bandari imegawiwa kwa waarabu bure, kuna uzi uliwekwa hapa hata fedha za kuiendesha na kuikarabati Bandari ni za kwetu tumekopa WorldBank hivyo atakayelipa deni na riba juu ni sisi na siyo Mwarabu hivyo hatujauza Bandari bali tumezigawa na bado tumemlipa tuliyemgawia β¦
Yaani inegeuzwaa kwa Wazungu mungekubaali? Tuachane na hoja hii potofu. Kuuzwa bandari kwa mgeni yeyote ni kosa. PeriodView attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Moja ni Kazi ya Polisi Trafik TzNi kazi gani inayokuletea manufaa bila ya kutoka jasho?
kwani hawa hawashindi wamesimama barabarani siku nzima? Huko tayari ni kutokwa jasho.Moja ni Kazi ya Polisi Trafik Tz
View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Duh!You canβt run the country like that
Tuna serious issues kwenye food security, workforce consumption (bomu kubwa zaidi), productivity due to poor strategy, good governance etc.
Anywaysβ¦. Kuna mwaka agenda ilikua ufisadi tu, baadaye wakawasafisha hadharani na kuwatandikia khanga barabarani
We have to be better than that
Hehee hawa utafikiri Jktπ π πView attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Hata wakipitisha kimabavu lakini ujumbd wameupata kwamba siku hizi watz hawaburuzwiSaaaaaaaaaaaaf!!!!!!πππππ
lazima Hawa vibaraka wa waarabu kutoka zenji wateme ndoano .
Saaaaaaaaaaaaf!!!!!!πππππ
lazima Hawa vibaraka wa waarabu kutoka zenji wateme ndoano .
Nilisahau kazi ya bandari na TRAkwani hawa hawashindi wamesimama barabarani siku nzima? Huko tayari ni kutokwa jasho.
Ngoja nikukumbushe, kwa vile wewe ni msahaulifu sana.Nilisahau kazi ya bandari na TRA
Ngoja nikukumbushe, kwa vile wewe ni msahaulifu sana.
Tunazungumzia kazi ya Samia aliyoiokota kama embe dodo, pale kwenye mti wa mchongoma.
Sasa mwambie aondoe "uvamizi."
Anza wewe kuokota kazi ya kumlinda Lema kiongozi wako Kama rahisiNgoja nikukumbushe, kwa vile wewe ni msahaulifu sana.
Tunazungumzia kazi ya Samia aliyoiokota kama embe dodo, pale kwenye mti wa mchongoma.
Sasa mwambie aondoe "uvamizi."