Ufaidi Muungano mkuu, sahau hayo ya kujisemesha hapa kuhusu "uvamizi", kumbe huna habari kabisa na kujiondoa kwenye uvamizi.Anza wewe kuokota kazi ya kumlinda Lema kiongozi wako Kama rahisi
"Maliasili zetu Watanzania zinachukuliwa bure haya ni maajabu,sitaruhusu hilo" Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Ufaidi Muungano mkuu, sahau hayo ya kujisemesha hapa kuhusu "uvamizi", kumbe huna habari kabisa na kujiondoa kwenye uvamizi.
Maadam nimekwishajua unaposimamia, sina tena sababu ya kuendelea kujibishana nawe hapa kuhusu hizi takataka nyingine unazoleta hapa.
Hutaki nyimbo za kijinga. Huo umetungwa na beneficiaries wa ufisadi wa bandarini.View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Nshamalizana nawe mkuu, ufaidi muungano.
Kama kila jambo utaliahadadia kutwa, kazi utafanya saa ngapiDuh!
How else can you "run a country if you cannot listen to the people's aspirations"?
I just don't understand how you can ignore the seriousness of this issue and think you have more important matters than this.
Kuonyesha jinsi gani mawazo yako yasivyofanya kazi vizuri ni hilo uliloliweka hapo chini.
Utalinganisha vipi swala unaloliita "agenda" na swala hili la Bandari?
Who is serious here!
Amesema au ameuliza?kwa hiyo hata mwimbo umekosewa kutungwa?[emoji1787]
hiyo ndio tabu ya kuzusha mambo.
mzee wasira anasema; Bandari imeuzwa shilingi ngapi?
Weka ukweli hapa, bandari imeuzwa sh? Au imekodishwa kwa sh?Uzushi huu ni kwa faida gani hasa!
Na je kwa kuendelea na uzushi wenu mnadhani ndo itasaidia kuifanya serikali iachane na mpango wake?
Uitoe wapi hiyo 27T uongo mtupu.nikushitue mara ngapi wakati timu imesha ingia maandalizi yamesha iva, nitakushitua siku ya kodi yetu ya trillioni 27 itakapo kuwa inalipwa.
wewe sio mtanzania, kaa kimya.Uitoe wapi hiyo 27T uongo mtupu.
Nyie mnaouza ndio sio watanzania mnajua mlishahamisha familia zenu na kutuachia msala, hivi kweli unaweza kuwa na akili timamu kweli ukafunga huo mkataba, Mungu anawaona aisee.wewe sio mtanzania, kaa kimya.
Nonsense. Uwepo wa bandari bila kumnufaisha mtanganyika ni sawa na kusema hiyo bandari sio yetu, hapa hakuna suala la motives zao au vinginevyo, ni suala la maslahi ya taifa, hizo "motives" mnazitumia.mnaposhindwa kujibu maswali yetu ya msingi kuhusu ule mkataba wa hovyo.Kwahiyo wewe ulishawahi au Kuna Siku utakwenda bandarini na utaikosa?
Una ujinga wa kijuaji sana aisee
Usidandie ligi za wenye motives zao mkuu… you can’t run end to end supply chain Kwa kuwa na gap kuu wkenye la go la nchi . Na Sisi hatujafika huko tunapojilazimisha tupo
imeuzwa Sh. ngapi?Nyie mnaouza ndio sio watanzania mnajua mlishahamisha familia zenu na kutuachia msala, hivi kweli unaweza kuwa na akili timamu kweli ukafunga huo mkataba, Mungu anawaona aisee.
Huku wananchi tumecharuka, hatutaki upumbavu wenu!Kwahiyo wewe ulishawahi au Kuna Siku utakwenda bandarini na utaikosa?
Una ujinga wa kijuaji sana aisee
Usidandie ligi za wenye motives zao mkuu… you can’t run end to end supply chain Kwa kuwa na gap kuu wkenye la go la nchi . Na Sisi hatujafika huko tunapojilazimisha tupo
Ni Kweli kabisa Sisi wananchi tumecharukaHuku wananchi tumecharuka, hatutaki upumbavu wenu!
Ubunifuuu
Kwahiyo mmewapa bure? Jibu hapo kwanzaimeuzwa Sh. ngapi?
acha kuumiza kichwa chako bure kwa kudanganywa na chadema.