Haahah huo wimbo sku ile nilikuwa nauwazaaa..haujiiiTatu katatuka
Kapanda juu kaanguka
Kichupi chake kinanuka
.......................................
Cc womanity
Duh wewe ulikuwa hatari...kumbe kusukwa katikati ya miguu mlikuwa mnapata kadhia hivyo!Haahah huo wimbo sku ile nilikuwa nauwazaaa..haujiii
Kinanukia sambusa
Musa naye Kanusa.....
Huuu wimbo nilikuwa nautafakari nikienda kusuka kwa wamama enzi zile Kilimanjaro style utaingizwa kwenye ile miguu katkat Ndyo ulikuwa muda wangu wa kunusa!!!!
Umekumbuka nini lol
Hahaha acha tu!!!Duh wewe ulikuwa hatari...kumbe kusukwa katikati ya miguu mlikuwa mnapata kadhia hivyo!
Ni wimbo naooo..
Na atakayeangusha kijiti wakati wa kula anaambulia kupigwa makofi mwili mzima mpaka aende kugusa au kushika kitu mlichokubaliana ndio mnamwachiaKulaaaa
Mbakishie babaaaa
Kulaaa mbakishie babaaaa
Daaaaaaahhh kitambo sana kwelimwanangu kua kua nikutume
nikutume wapi kwa mfalme
kuna ng'ombe zetu 12
mmoja kafa kaliwa nyani
nyani mkinda tumkindule
tusole visiga vya bwana chuma
bwana chuma gani simdodo
simkindu dawa kanabuba..
nadhani na kizaramo ndani humo wala tulikuwa hatujui maneno mengine maana ake nini😀
Huo mstari wa juu ni kutoka kwenye wimbo wa T.I.D unaitwa zeze, huo mstari wa pili kama sikosei ni wimbo ulioimbwa na Ali Choki wa twanga pepeta.Kama Dada wanipenda,kaninulie zeze,nikilala kitandani,zeze lanibembeleza,ahah amina,kusemasema kubaya,utamsema mmeo, aliyekupa hiyo mali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nzu nzu nzu eeh mama nyuki lia weee
Nzu nzu nzu we mama nyuki lia weee
Toka mbali kutafuta UA zuri kwa chakula nzu nzu nzu we mama nyukil lia wee..!
Kikojozi huyo,Ule wimbo wa kikojozi unaimbwajwe???
Kikojozi huyoooo
Kikojozi
Na nguo.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo umechanganya nyimbo mbili tofautiKindumbwe ndumbwee chaaalyaaa
Kindumbwe ndumbwee chaaalyaaa
Kikooojoooziii kajikojoleea na nguo kaitia motoo hiloooo.
Hahahahahhahahahahaaa looh