Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Mi mwenyewe nawashangaa,, waafrika hatupendAni asee siunaona wanaomchafua zaidi yeye na p.didy ni blacks
 
Daah mnampakazia sana dogo ni huo utajiri wake au pana kitu kingine wazee..
 
"Privacy is power" People Cant destroy what they don't know

Kwa lugha yetu;

"Faragha ni nguvu" Watu Hawawezi kuharibu wasichokijua.

Kubali tu Kuna gharama kubwa,maisha yako kuyafanya ya watu wote.
Usikimbie matokeo ya kuacha mlango wazi wa maisha yako na mipango yako binafsi.
Kinacho mtokea sio watu kuwa na chuki, dhidi yake.

Issue ya Piddy inajadiliwa dunian kote;
Nigeria wana zungumza namna Wizkid alivyo kaa wiki nzima nyumbani kwake na siku aliotoka alikua mchovu.
 
Sikiliza wewe fukara mfirwaji embu tuma namba yako ya nikutumie hela ukafanyiwe operesheni wasafishe shahawa zilizojaa mkunduni mwako ndio zinakufanya usiwe na akili timamu .
Tuma namba yako sasahivi nikutumie unafikiria wite ni matahahira na mafukara kama wewe unayefikiria kujidhalilisha ili upate pesa
 
Yaani hapo usemapo wamuache kwa kuwa umaskini ni mbaya na aendelee hivyo bora mkwanja uingie ndo umeharibu kabisa. Jamaa si maskini kiasi cha kujidhalilisha kwa watu wa aina hivyo.
 
Mwambie kabisa huyu mpumbavu anayekomalia kwamba diamond kapata hela baada ya kufirwaa na p did
 
Huyo mwandishi aliyekuwa anamhoji Diamond naye alikuwa anauliza nini mpaka akasema kuna mambo waliyafanya na hairuhusiwi kuonekana public?
 
Kijana anapambana sana lakini watz wanatamani hata leo atoweke duniani. lazima tukubali kuwa binadamu hatuwezi kuwa masikini wote, kadhali matajiri wote hilo jamba halipo duniani kote. Pia kila mmoja ana karama, kipawa chake ambacho ni zawadi tangu mimbani mwa *****. kwahiyo mi siwezi kuwa wewe. Ukijua hilo maisha yanakuwa rahisi wala huwezi kuwa na jerous. PEACE & LOVE.
 
Nabet......mleta mada ni mwanamke na kama sio mwanamke ni shoga na tena kama sio baba levo basi alistote au mwijaku kuendelea kubishana nae ni kupoteza muda wadau tujifunze kuzikimbia mada kama hizi zinazoletwa na maibilisi kama hawa naitimisha kwamba wewe sitosoma andiko lako lolote maana inaonekana tabia zako umelithi kwa wazazi wako k.......ma wee.
 
Tulia fukara mnuka mavi wewe. Tafuta pesa.
 
Tulia fukara mnuka mavi wewe. Tafuta pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…