Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nioe mimi...Nimeoa wanaume 3. Bado mmoja unataka nawewe?
[emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2534550
Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni.
Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata huduma ya mishikaki laini na kachori.
My Take
Feisal komaa mdogo wangu. Wewe sio wa kula ugali chumvi
Hairuhusiwi kisheria.Nimeoa wanaume 3. Bado mmoja unataka nawewe?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]Isije ikawa na yeye anamlaumu Fei kupigania maslahi.
Miaka 10 iliyopita ni 2013Kacheza zamani kidogo about 10yrs back, ila riziki popote.
Tukisema tuwafatilie wachezaji wote wazamani unadhani tutawakuta wote maisha Safi, asilimi 70 wako hoi bas yu
Kama umeolewa hakika mumeo kapata mke bora comment yako ina mamlaka ya kutia moyo [emoji109][emoji109]Bora ana kitu cha kufanya, haibi, haombi. Ndiyo uanaume huo. Ukiteleza hapa unaibukia pale.
Najua hapo unachotaka Yanga inangwe.
hongera kwa kugeuza kibao 😁Nimeoa wanaume 3. Bado mmoja unataka nawewe?