Nyota wa zamani wa Yanga afungua kijiwe cha mishkaki

Nyota wa zamani wa Yanga afungua kijiwe cha mishkaki

View attachment 2534550

Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni.

Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata huduma ya mishikaki laini na kachori.

My Take
Feisal komaa mdogo wangu. Wewe sio wa kula ugali chumvi
Sawa alikuwa mchezaji wa Yanga, je, Yanga inahusika vipi na yeye kuuza mishkaki???

Kuna mwaka fulani nilisoma habari Emmanuel Eboue maisha yamempiga, hadi anaishi kwa kuunga unga, au former England and Portsmouth goalkeeper, David James, alifilisika, akawa anauza tuzo na other collections zake. Hao wote, walikuwa hivyo kutokana na divorce, kufeli kwao huwezi kuhusisha timu walizochezea.
 
Sawa alikuwa mchezaji wa Yanga, je, Yanga inahusika vipi na yeye kuuza mishkaki???

Kuna mwaka fulani nilisoma habari Emmanuel Eboue maisha yamempiga, hadi anaishi kwa kuunga unga, au former England and Portsmouth goalkeeper, David James, alifilisika, akawa anauza tuzo na other collections zake. Hao wote, walikuwa hivyo kutokana na divorce, kufeli kwao huwezi kuhusisha timu walizochezea.
Kwa hiyo ulitaka tusemaje
 
Sawa alikuwa mchezaji wa Yanga, je, Yanga inahusika vipi na yeye kuuza mishkaki???

Kuna mwaka fulani nilisoma habari Emmanuel Eboue maisha yamempiga, hadi anaishi kwa kuunga unga, au former England and Portsmouth goalkeeper, David James, alifilisika, akawa anauza tuzo na other collections zake. Hao wote, walikuwa hivyo kutokana na divorce, kufeli kwao huwezi kuhusisha timu walizochezea.
Itakuwa Fei akiona hivi ndo kabisaa hataki kuisikia Yanga.
 
Itakuwa Fei akiona hivi ndo kabisaa hataki kuisikia Yanga.
Ukiachana na issue ya talent, mpira ni kazi kama zilivyo kazi zingine. Sio dhambi kubadili ofisi, afate taratibu, then aende.

Toka ili sakata lianze, hivi ni mechi gani, unahisi kulikuwa na pengo la Fei?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2534550

Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni.

Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata huduma ya mishikaki laini na kachori.

My Take
Feisal komaa mdogo wangu. Wewe sio wa kula ugali chumvi
9E3CB8F5-C9DD-4DF7-B987-072A85DFDCDF.jpeg
 
Ukiachana na issue ya talent, mpira ni kazi kama zilivyo kazi zingine. Sio dhambi kubadili ofisi, afate taratibu, then aende.

Toka ili sakata lianze, hivi ni mechi gani, unahisi kulikuwa na pengo la Fei?
Hakuna pengo lake na haitajiki.

Sasa aadhibiwe kwa kuendelea kupokea mshahara wake bila kucheza mpaka mkataba uishe kisha aondoke. Yanga imeshinda tushangilie.

Au kuna adhabu nyingine imeandaliwa?
 
Hakuna pengo lake na haitajiki.

Sasa aadhibiwe kwa kuendelea kupokea mshahara wake bila kucheza mpaka mkataba uishe kisha aondoke. Yanga imeshinda tushangilie.

Au kuna adhabu nyingine imeandaliwa?
Hiyo inakuwa kukomoana. Kinachotakiwa ni timu ambayo imeamua kumboreshea maslahi, basi ikutane na uongozi wa Yanga kwa ajili ya kufanya biashara.

Hiyo option ya kuchukua mshahara bila kucheza, mara nyingi huwa inafanywa na wachezaji wenyewe, hasa endapo wanakuwa hawahitajiki tena kwenye kikosi, ila hawataki kuuzwa. Ila ni nadra kukuta timu inafanya ilo jambo
 
Hiyo inakuwa kukomoana. Kinachotakiwa ni timu ambayo imeamua kumboreshea maslahi, basi ikutane na uongozi wa Yanga kwa ajili ya kufanya biashara.

Hiyo option ya kuchukua mshahara bila kucheza, mara nyingi huwa inafanywa na wachezaji wenyewe, hasa endapo wanakuwa hawahitajiki tena kwenye kikosi, ila hawataki kuuzwa. Ila ni nadra kukuta timu inafanya ilo jambo
Thamani ya kuuzwa Fei itapimwa kwa mkataba wake au kiwango uwanjani?
 
wasanii, wachezaji wengi wa zamani wana maisha ya kawaida. Naoma mfano wa Mgosi mkoloni yule wa wagosi wa kaya ni kama hali yake sio fresh sana, kuna wakati nilikuwa namfuatilia insta akiwa zake Lushoto.
 
Thamani ya kuuzwa Fei itapimwa kwa mkataba wake au kiwango uwanjani?
Mara nyingi kinachoamua Bei ni uhitaji ilionao hiyo timu, urefu wa mkataba wa mchezaji na mwisho kiwango chake wakati huo.

So, hivyo ulivyovitaja vyote uenda vikawa ni agenda, endapo wataamua kukaa mezani.
 
Bora ana kitu cha kufanya, haibi, haombi. Ndiyo uanaume huo. Ukiteleza hapa unaibukia pale.
Najua hapo unachotaka Yanga inangwe.

Umejuaje na mleta habari ni shabiki kindakindaki wa simba
 
Back
Top Bottom