Nyota wa zamani wa Yanga afungua kijiwe cha mishkaki

Nyota wa zamani wa Yanga afungua kijiwe cha mishkaki

Hakuna pengo lake na haitajiki.

Sasa aadhibiwe kwa kuendelea kupokea mshahara wake bila kucheza mpaka mkataba uishe kisha aondoke. Yanga imeshinda tushangilie.

Au kuna adhabu nyingine imeandaliwa?
Mkuu kama hataendelea kuonekana eneo la kazi ataadhibiwa kwa kusitishiwa mshahara wake hasa baada ya muda fulani kulingana na makubaliano ya kimkataba. Then mambo mengine yatafuata.

Mkuu ivi ushawahi ku sign mkataba wowote wewe?
 
Mara nyingi kinachoamua Bei ni uhitaji ilionao hiyo timu, urefu wa mkataba wa mchezaji na mwisho kiwango chake wakati huo.

So, hivyo ulivyovitaja vyote uenda vikawa ni agenda, endapo wataamua kukaa mezani.
Ok boss. Ila uwezekano ni mkataba wa Fei una thamani ndogo kuliko thamani yake uwanjani.
 
Mkuu kama hataendelea kuonekana eneo la kazi ataadhibiwa kwa kusitishiwa mshahara wake hasa baada ya muda fulani kulingana na makubaliano ya kimkataba. Then mambo mengine yatafuata.

Mkuu ivi ushawahi ku sign mkataba wowote wewe?
Kwa id fake hii niliyonayo hapana sijawahi.
 
Ok boss. Ila uwezekano ni mkataba wa Fei una thamani ndogo kuliko thamani yake uwanjani.
Broh, mambo hayapo hivyo kama unavyofikiria. Chukulia mfano Enzi Fernandez aliyeenda Chelsea, unajua alikuwa analipwa kiasi gani kwa wiki? Unajua Benfica walimnunua Bei gani?. Ila angalia hela ambayo imewatoka Chelsea.

Mwingine ni yule forward wa Ureno aliyepiga Hart trick siku Ronaldo aliyowekwa benchi, angalia thamani yake kabla ya kwenda kombe la Dunia, na baada ya kombe la Dunia. Angalia Samata alikuwa analipwa ngapi pale Mazembe, alaf linganisha na alivyoenda Genk

Najua unaweza sema hii mifano ni irrelevant kwasababu ni ya ulaya, ila huo ndio uhalisia. Hela aliyokuwa analipwa na Yanga,hayo yalikuwa ni makubaliano kulingana na form ya kipindi wanaingia mkataba.

Hata Fei angekuwa analipwa buku kwa mwezi, swala la maslahi ya mkataba wake na Yanga,haliwahusu timu inayomtaka.
 
View attachment 2534550

Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni.

Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata huduma ya mishikaki laini na kachori.

My Take
Feisal komaa mdogo wangu. Wewe sio wa kula ugali chumvi
👉🚮
Bora hata yeye amechagua kujiajiri! Kuliko wewe uliyegeuka kuwa chawa wa Mudi, ili kuendesha maisha yako.
 
Broh, mambo hayapo hivyo kama unavyofikiria. Chukulia mfano Enzi Fernandez aliyeenda Chelsea, unajua alikuwa analipwa kiasi gani kwa wiki? Unajua Benfica walimnunua Bei gani?. Ila angalia hela ambayo imewatoka Chelsea.

Mwingine ni yule forward wa Ureno aliyepiga Hart trick siku Ronaldo aliyowekwa benchi, angalia thamani yake kabla ya kwenda kombe la Dunia, na baada ya kombe la Dunia. Angalia Samata alikuwa analipwa ngapi pale Mazembe, alaf linganisha na alivyoenda Genk

Najua unaweza sema hii mifano ni irrelevant kwasababu ni ya ulaya, ila huo ndio uhalisia. Hela aliyokuwa analipwa na Yanga,hayo yalikuwa ni makubaliano kulingana na form ya kipindi wanaingia mkataba.

Hata Fei angekuwa analipwa buku kwa mwezi, swala la maslahi ya mkataba wake na Yanga,haliwahusu timu inayomtaka.
Na fei pia haijalishi anamchango gani kweye timu yake baada ya kusign, hakuna review, atalipwa kile alichosaini sababu ni ujinga wake kukubali mshara mdogo wakati anasaini. Ni suala la mjanja nani na mjinga nani si ndio?
 
Na fei pia haijalishi anamchango gani kweye timu yake baada ya kusign, hakuna review, atalipwa kile alichosaini sababu ni ujinga wake kukubali mshara mdogo wakati anasaini. Ni suala la mjanja nani na mjinga nani si ndio?
Mkuu, kwenye mikataba kuna kurenew kwa aina mbili. Ya kwanza ni kurenew mkataba wote endapo utakuwa unaelekea mwisho. Lakini pia kuna kurenew terms, na hiimara nyingi inatokana na kuongezeka kwa kiwango cha mchezaji.

Alichotakiwa kufanya Fei, ni kuagiza wawakilishi wake kukaa mezani na uongozi wa timu ili kurenew terms za mkataba, hata kama alikuwa hataki kuongeza muda. Sasa badala yake, aliopt kuvunja mkataba kinyume na taratibu.

Na pia siwezi kusema Fei alikuwa mjinga wakat anasaini ule mkataba, ni kwamba kiwango chake kilistahili yale, na hata huo mkataba hakuusaini akiwa peke yake, lazima wawakilishi wake walikuwepo, na wote kwa umoja wao, waliona ni kitu sahihi kwa wakati ule.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu, kwenye mikataba kuna kurenew kwa aina mbili. Ya kwanza ni kurenew mkataba wote endapo utakuwa unaelekea mwisho. Lakini pia kuna kurenew terms, na hiimara nyingi inatokana na kuongezeka kwa kiwango cha mchezaji.

Alichotakiwa kufanya Fei, ni kuagiza wawakilishi wake kukaa mezani na uongozi wa timu ili kurenew terms za mkataba, hata kama alikuwa hataki kuongeza muda. Sasa badala yake, aliopt kuvunja mkataba kinyume na taratibu.

Na pia siwezi kusema Fei alikuwa mjinga wakat anasaini ule mkataba, ni kwamba kiwango chake kilistahili yale, na hata huo mkataba hakuusaini akiwa peke yake, lazima wawakilishi wake walikuwepo, na wote kwa umoja wao, waliona ni kitu sahihi kwa wakati ule.
Umeeleza vzr sana mkuu, swali linakuja ni kweli hakufuata utaratibu? Hakuna uwezekano kuwa ulifatwa ila masharti yakawa yasiyowezekana? Kama hakufata kwann Yanga walikiri kutaka kuongeza maslahi ya mchezaji na kusema mazunguzo yalikuwa yanaendelea kupitia wawakilishi? Hili lilifanyika kwa kufuata taratibu zipi?
 
View attachment 2534550

Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni.

Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata huduma ya mishikaki laini na kachori.

My Take
Feisal komaa mdogo wangu. Wewe sio wa kula ugali chumvi
[emoji117] Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC

[emoji117] Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
 
Umeeleza vzr sana mkuu, swali linakuja ni kweli hakufuata utaratibu? Hakuna uwezekano kuwa ulifatwa ila masharti yakawa yasiyowezekana? Kama hakufata kwann Yanga walikiri kutaka kuongeza maslahi ya mchezaji na kusema mazunguzo yalikuwa yanaendelea kupitia wawakilishi? Hili lilifanyika kwa kufuata taratibu zipi?
Kwa macho ya haraka, ni kwamba Fei hakufuata utaratibu, na hata yeye alilifahamu ilo. Kama alifuata taratibu, Kwann hakuutaarifu uongozi? Maana alideposit hela, then barua na taarifa ikafata. Then tokea hapo kaingia mitini. Unavyoona huo ndio utaratibu??

Yanga kukiri kutaka kumuongezea mkataba na kumboreshea maslahi, hiyo tunasema ni hekima tu imetumika. Maana wameng'amua kitu alichohitaji Fei, ila akashindwa namna nzuri ya kukieleza
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwa macho ya haraka, ni kwamba Fei hakufuata utaratibu, na hata yeye alilifahamu ilo. Kama alifuata taratibu, Kwann hakuutaarifu uongozi? Maana alideposit hela, then barua na taarifa ikafata. Then tokea hapo kaingia mitini. Unavyoona huo ndio utaratibu??

Yanga kukiri kutaka kumuongezea mkataba na kumboreshea maslahi, hiyo tunasema ni hekima tu imetumika. Maana wameng'amua kitu alichohitaji Fei, ila akashindwa namna nzuri ya kukieleza
Unajua Fei bado ni mchezaji, hawezi toka hadharani akaanza kutupiana maneno na club yake, si salama kwa carrier yake.

Ila kwa anayeamua kusimama upande wa Fei kama ninavyofanya mm, assumption ni kwamba kuna vita vya maslahi alivipigana ndani ya club akashindwa ndipo akatoka nje.

Sababu sitaki kuamini kuwa aliamka tu na kuamua anataka kuondoka, assumption ninayoitumia ni kuwa huyu mchezaji alipigana sana na kuna viongozi waliamua kulazimisha asubiri, subira ambayo yeye aliona haina maslahi kwake akaamua atatafuta hayo maslahi nje kwa kuangalia udhaifu wa mkataba.

KUPATA MASLAHI MAZURI ZAIDI NI VITA VYA BINADAMU WOTE, NA SI KILA WAKATI SUBIRA ITAKUPA MATOKEO BORA, KUNA NYAKATI DIRISHA LIKIFUNGUKA UNATAKIWA UPITE HATA KAMA NI DOGO. UKIKWAMA BASI UTAFACE MATOKEO YA MAAMUZI YAKO ILA UKIPITA KILA MTU ATASEMA HONGERA KWA MAAMUZI YA HATARI ULIYOCHUKUA.
 
Unajua Fei bado ni mchezaji, hawezi toka hadharani akaanza kutupiana maneno na club yake, si salama kwa carrier yake.

Ila kwa anayeamua kusimama upande wa Fei kama ninavyofanya mm, assumption ni kwamba kuna vita vya maslahi alivipigana ndani ya club akashindwa ndipo akatoka nje.

Sababu sitaki kuamini kuwa aliamka tu na kuamua anataka kuondoka, assumption ninayoitumia ni kuwa huyu mchezaji alipigana sana na kuna viongozi waliamua kulazimisha asubiri, subira ambayo yeye aliona haina maslahi kwake akaamua atatafuta hayo maslahi nje kwa kuangalia udhaifu wa mkataba.

KUPATA MASLAHI MAZURI ZAIDI NI VITA VYA BINADAMU WOTE, NA SI KILA WAKATI SUBIRA ITAKUPA MATOKEO BORA, KUNA NYAKATI DIRISHA LIKIFUNGUKA UNATAKIWA UPITE HATA KAMA NI DOGO. UKIKWAMA BASI UTAFACE MATOKEO YA MAAMUZI YAKO ILA UKIPITA KILA MTU ATASEMA HONGERA KWA MAAMUZI YA HATARI ULIYOCHUKUA.
Mkuu, wote tunaoliongelea ili swala la Fei, tunatumia assumption,maana hakuna mwenye taarifa za uhakika.

Lakini naikataa hiyo assumtion yako, kwamba Fei alipigana vita ya kimaslahi na uongozi,iliposhindikana ndio akaamua kufanya alichofanya. Unajua kwa nn? Kwanza kitu ambacho watanzania tumenyimwa ni khaba, kama Fei alinyimwa maslahi kabla ya kujiondoa kwenye timu, basi ilo swala lingekuwa lishaongelewa tokea mwanzoni kabisa mwa ili sekeseke, au la, leo Mama ake Fei alivyokuwa anaongea, basi angeliongea, ila point zake zilikuwa sehem tofauti kabisa .

Hapo unaposema kuwa huamini kama Fei amekurupuka tu na kuanza kufanya hivi, hapo ndio linakuja swala la kurubuniwa. Kungekuwepo na mgogoro kati ya Yanga na Fei, tungeaza kuona matendo ya Fei kabla ili sakata kuanza. Angalia zile me hi za mwisho mwisho kabla ya ili sakata, Fei alikuwa anaonekana kama mtu mwenye mgogoro? Hiki kiburi na kuvimba, ni vitu vilivyokuja ghafla, bila ya dalili wala mtu kutarajia
 
Mkuu, wote tunaoliongelea ili swala la Fei, tunatumia assumption,maana hakuna mwenye taarifa za uhakika.

Lakini naikataa hiyo assumtion yako, kwamba Fei alipigana vita ya kimaslahi na uongozi,iliposhindikana ndio akaamua kufanya alichofanya. Unajua kwa nn? Kwanza kitu ambacho watanzania tumenyimwa ni khaba, kama Fei alinyimwa maslahi kabla ya kujiondoa kwenye timu, basi ilo swala lingekuwa lishaongelewa tokea mwanzoni kabisa mwa ili sekeseke, au la, leo Mama ake Fei alivyokuwa anaongea, basi angeliongea, ila point zake zilikuwa sehem tofauti kabisa .

Hapo unaposema kuwa huamini kama Fei amekurupuka tu na kuanza kufanya hivi, hapo ndio linakuja swala la kurubuniwa. Kungekuwepo na mgogoro kati ya Yanga na Fei, tungeaza kuona matendo ya Fei kabla ili sakata kuanza. Angalia zile me hi za mwisho mwisho kabla ya ili sakata, Fei alikuwa anaonekana kama mtu mwenye mgogoro? Hiki kiburi na kuvimba, ni vitu vilivyokuja ghafla, bila ya dalili wala mtu kutarajia
Okey boss. Ntaenda na assumption yako ya kurubuniwa ila ntaitazama kwa upande ambao ni wa kumpendelea Fei.

Kama amerubuniwa basi assumption ni yeye kama mchezaji maslahi aliyoyapata kutoka kwa warubuni ni mazuri sababu hataki tena kurudi. It means aliyemrubuni aliangalia udhaifu wa Yanga kwa mchezaji akauona na akaamua kuutumia kwa namna ambayo mchezaji hawezi kukataa na atakapokubali hawezi kurudi nyuma.

Fei ana madhara kwa timu pinzani ndani ya ligi na si madogo, kama Yanga walishindwa kuminya mianya ya udhaifu kwa kutumia maslahi na kuamua kutumia utii wa mchezaji still waliomrubuni ni washindi, na Fei hajashindwa sababu kama alikubali kutumika inamaana alihitaji hayo malsahi kuliko anavyoihitaji Yanga.

Na mwisho, iwapo Yanga itashinda hatua itakazochukua kwa mchezaji zitaonyesha udhaifu ulipo. Wakimlipa mshahara mpaka mkataba ukaisha wao wamepoteza na Fei kapata. Still wakimfukuza Fei kapata wao wamepoteza. Wakimuuza kwa bei kubwa Yanga imepata, wakimbakisha na kumpa adhabu Yanga imepata
 
Hongera na maisha hakuna anayefahamu kesho.
Kuna watu tumezaliwa mpaka kukua kwetu tulifikiri watakuja kutusaidia walivokuwa matajiri na leo ndio sisi tunawasaidia.

Kumbuka umaskini sio kosa wala lawama.inatokea tu ukupangiwa kuwa tajiri ata ufanyeje

Nani anapanga fulani awe masikini na fulani awe Tajiri?

#YNWA
 
Kipanya Malapa HAKUWAHI KUCHEZA YANGA.alifanya majaribio pale KAUNDA lkn lilipofika suala la usajili HAKUSAJILIWA. alikuwa yy pamoja na OMARY MSWAKI akitokea Bandari ya Mtwara.
Alicheza misimu miwili.
Akakimbilia Singida Ndio akapotelea huko.

#YNWA
 
Okey boss. Ntaenda na assumption yako ya kurubuniwa ila ntaitazama kwa upande ambao ni wa kumpendelea Fei.

Kama amerubuniwa basi assumption ni yeye kama mchezaji maslahi aliyoyapata kutoka kwa warubuni ni mazuri sababu hataki tena kurudi. It means aliyemrubuni aliangalia udhaifu wa Yanga kwa mchezaji akauona na akaamua kuutumia kwa namna ambayo mchezaji hawezi kukataa na atakapokubali hawezi kurudi nyuma.

Fei ana madhara kwa timu pinzani ndani ya ligi na si madogo, kama Yanga walishindwa kuminya mianya ya udhaifu kwa kutumia maslahi na kuamua kutumia utii wa mchezaji still waliomrubuni ni washindi, na Fei hajashindwa sababu kama alikubali kutumika inamaana alihitaji hayo malsahi kuliko anavyoihitaji Yanga.
Sasa hapo ndio umekuja kwenye nilichokuwa naongea mwanzo. Ukiachana na kipaji, ila mpira nao ni biashara, wachazaji wanatakiwa kutengeneza hela.

Fei kama ameona sehemu nyingine kuna maslahi mazuri kwake kuliko Yanga, basi atumie njia nzuri ya kuondoka. Hiyo timu ionane na Yanga, wauziwe Fei, then maisha yaendelee
 
Back
Top Bottom