Nyota wa zamani wa Yanga afungua kijiwe cha mishkaki

Nyota wa zamani wa Yanga afungua kijiwe cha mishkaki

Huu ndo uanaume,
Kazi kipimo Cha utu,
Sio kujilengesha kwa mashangazi.
 
Sasa hapo ndio umekuja kwenye nilichokuwa naongea mwanzo. Ukiachana na kipaji, ila mpira nao ni biashara, wachazaji wanatakiwa kutengeneza hela.

Fei kama ameona sehemu nyingine kuna maslahi mazuri kwake kuliko Yanga, basi atumie njia nzuri ya kuondoka. Hiyo timu ionane na Yanga, wauziwe Fei, then maisha yaendelee
Okey, tupo Sawa.

Unadhani suala ni taratibu za club nyingine au suala ni pesa ambayo Yanga wanaitaka ili wamwachie?

Tayari Yanga wamekataa ofa Ya Fei kuvunja mkataba wake na hawajaweka wazi wanataka kiasi gani kutoka kwake ili wamwachie aondoke.

Yanga watakuwa tayari kumwachia Fei kwa thamani ambayo timu nyingine itakuwa tayari kulipa badala ya kusubiri aondoke bure? Mkataba wake hauna thamani, unaisha soon na una mshahara wa kawaida. Kwann timu ilipe pesa nyingi sasa?
 
Okey, tupo Sawa.

Unadhani suala ni taratibu za club nyingine au suala ni pesa ambayo Yanga wanaitaka ili wamwachie?

Tayari Yanga wamekataa ofa Ya Fei kuvunja mkataba wake na hawajaweka wazi wanataka kiasi gani kutoka kwake ili wamwachie aondoke.

Yanga watakuwa tayari kumwachia Fei kwa thamani ambayo timu nyingine itakuwa tayari kulipa badala ya kusubiri aondoke bure?
Vyote vinahitajika, utaratibu ufatwe Kisha kiasi cha hela watakachopatana kilipwe.

Toka ili sakata lianze, umeshawahi Sikia panazungumziwa ni kiasi gani kinahitajika? Unajua kwann? Kwasababu hapajakuwa na mazingira ya utulivu kujadili, Bali kumekuwa na mashitaka tu.

Timu inayomtaka Fei, sio inayotakiwa kusema thamani ya Fei ni kiasi gani then ikilipe. Wao wanatakiwa kuonesha Nia kwa kutuma maombi, then Yanga ndio wataje Bei. Na ikitokea wameshindwana ,na hiyo timu ikajitoa kwenye ilo deal, alaf na upande wa Fei nae akagoma kuongeza mkataba, basi itabidi arun down mkataba then aondoke free, kama alivyofanya Pogba
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Vyote vinahitajika, utaratibu ufatwe Kisha kiasi cha hela watakachopatana kilipwe.

Toka ili sakata lianze, umeshawahi Sikia panazungumziwa ni kiasi gani kinahitajika? Unajua kwann? Kwasababu hapajakuwa na mazingira ya utulivu kujadili, Bali kumekuwa na mashitaka tu.

Timu inayomtaka Fei, sio inayotakiwa kusema thamani ya Fei ni kiasi gani then ikilipe. Wao wanatakiwa kuonesha Nia kwa kutuma maombi, then Yanga ndio wataje Bei. Na ikitokea wameshindwana ,na hiyo timu ikajitoa kwenye ilo deal, alaf na upande wa Fei nae akagoma kuongeza mkataba, basi itabidi arun down mkataba then aondoke free, kama alivyofanya Pogba
Okey. Vipi iwapo hakuna club na Fei haitaki Yanga kwa sababu binafsi? Yanga haitakiwi kumwambia ni kiasi gani atoe ili wamuachie?
 
Okey. Vipi iwapo hakuna club na Fei haitaki Yanga kwa sababu binafsi? Yanga haitakiwi kumwambia ni kiasi gani atoe ili wamuachie?
Sasa hapo ndio TFF, CAS au Fifa zitahusika kuangalia namna ya kusolve ilo jambo.

Maana huwezi amka ukaamua tu kwasababu zako binafsi kuwa hutaki kuendelea kuwepo kwenye hiyo timu. Kama kesi itafikishwa mbele ya vyombo husika, watahitaji kujua hizo sababu zako binafsi ni zipi na zinahusiana vipi na mpira. Na je zimesababishwa na waajiri wako au la.
 
Bora ana kitu cha kufanya, haibi, haombi. Ndiyo uanaume huo. Ukiteleza hapa unaibukia pale.
Najua hapo unachotaka Yanga inangwe.
Hapana, naomba kumjibia mleta mada, anamaanisha kuwa life is dynamic, " Dunia tambala bovu, tunalidekia kwa shida"!
 
Sasa hapo ndio TFF,CAS au Fifa zitahusika kuangalia namna ya kusolve ilo jambo.

Maana huwezi amka ukaamua tu kwasababu zako binafsi kuwa hutaki kuendelea kuwepo kwenye hiyo timu. Kama kesi itafikishwa mbele ya vyombo husika, watahitaji kujua hizo sababu zako binafsi ni zipi na zinahusiana vipi na mpira. Na je zimesababishwa na waajiri wako au la.
Sawa. Tuishie hapa maana hata Huko TFF keshashindwa. Tusubiri atakapoelekea.
 
View attachment 2534550

Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni.

Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata huduma ya mishikaki laini na kachori.

My Take
Feisal komaa mdogo wangu. Wewe sio wa kula ugali chumvi

Mkitaka kufukua makaburi basi kuna mengi saana
Msiishie hapo kwa Kipanya Malapa endeleen ss
 
Wachezaji wa zamani wengi wapo juu ya mawe maana zamani hawakuwa wakilipwa mishahara bali posho tu...

Kuna miaka nilikuwa nakutana na Lunyamila banda umiza mitaa ya Mbezi Luis, mtu ambaye alifika hadi Ujerumani ambapo angeweza kutoboa...
 
Sasa hapo ndio TFF,CAS au Fifa zitahusika kuangalia namna ya kusolve ilo jambo.

Maana huwezi amka ukaamua tu kwasababu zako binafsi kuwa hutaki kuendelea kuwepo kwenye hiyo timu. Kama kesi itafikishwa mbele ya vyombo husika, watahitaji kujua hizo sababu zako binafsi ni zipi na zinahusiana vipi na mpira. Na je zimesababishwa na waajiri wako au la.

Kwa kufuata kananuni na sheria za kimkataba dogo amelowa,,,, anachohitaji ni huruma tu
 
Tuwashukuru kwa kutengeneza milango ya wachezaji wa sasa.... ndivyo fani nyingi zilivyo, usharobaro walianza kina TID leo Diamond na Harmonize ndio wanapiga hela.
 
Analyse na Tsh mmejadiliana ki-utu uzima zaidi,, mara chache sana miaka hii hapa jf kukuta watu wanajadiliana jambo bila matusi, kebehi na dharau.....

hongereni kwenu kwa kuonesha ukomavu
 
Analyse na Tsh mmejadiliana ki-utu uzima zaidi,, mara chache sana miaka hii hapa jf kukuta watu wanajadiliana jambo bila matusi, kebehi na dharau.....

hongereni kwenu kwa kuonesha ukomavu
Mkuu Asante. Huyo mwamba anajua kutengeneza hoja. Hata kama hukubaliani naye, utahoji kwa kumuheshimu sababu amekuheshimu regardless ya kutokukubali ulichokisema.
 
Analyse na Tsh mmejadiliana ki-utu uzima zaidi,, mara chache sana miaka hii hapa jf kukuta watu wanajadiliana jambo bila matusi, kebehi na dharau.....

hongereni kwenu kwa kuonesha ukomavu
Yeah Mkuu, tunahitaji kuhatarishana kwa utulivu. Jazba huwa inaondoa umakini
 
Sure mkuu, yawezekana tusikubaliane, ila tukawa tunaelewana, kwa namna tunavyowasilisha mawazo yetu
Mkuu Asante. Huyo mwamba anajua kutengeneza hoja. Hata kama hukubaliani naye, utahoji kwa kumuheshimu sababu amekuheshimu regardless ya kutokukubali ulichokisema.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom