😀 😀 😀 😀daah yani bi maza kabakia na kiwanja tuu...nyerere itakuwa familia inamlaani sanaa.. Migodi yotee hiiHivi unajua baada ya tanesco office ya kinondoni mbele yake kuna kiwanja kikubwa kimezungushwa uzio,mmiliki ni mama Maria Nyerere....
Miaka nenda rudi hakiendelezwi
Sasa sijui hana mpango huo au ndiyo
Familia haina mawazo ya biashara kuwekeza
Ova
Ah wameridhika mzee😀 😀 😀 😀daah yani bi maza kabakia na kiwanja tuu...nyerere itakuwa familia inamlaani sanaa.. Migodi yotee hii
Kwa eneo lilivyo lile angekuwa mwingine pale angeporomosha maghorofa ya kufa mtu😀 😀 😀 😀daah yani bi maza kabakia na kiwanja tuu...nyerere itakuwa familia inamlaani sanaa.. Migodi yotee hii
Enzi hizo neno Malaya halikuwa kali sana kama inavyokuwa sasa.Lugha ya hili gazeti mbona ilikuwa kali sana? Yote hayo ni kwa ajili ya kuwafurahisha Nyerere(kuhusu Kambona) na Karume (kuhusu Kassim Hanga)?
sasa mkuu hana kitu yanii anaporomoshea nini... zaid zaid apewe favour hela za kujikimKwa eneo lilivyo lile angekuwa mwingine pale angeporomosha maghorofa ya kufa mtu
Ova
😀 😀labda unaongea vice versa mkuuEnzi hizo neno Malaya halikuwa kali sana kama inavyokuwa sasa.
Rashidi akasimamia Harusi ya Kambona?. hii kali.Kwa msiolijua, Rashid Mfaume Kawawa alikuwa mjomba wake Oscar Kambona na ndiye aliyesimamia harusi yake Kambona, wote asili yao Wanyasa. Enzi hizo miaka ya sitini kila mwanaume na mwanamke alipenda afanane muonekano wa Oscar Kambona, the guy was extremely smart.
Ni mlamba ASALI ndio maana viongozi wetu wengi ni .......Naamini binadamu ni mbinafsi kwa asili... Ujamaa ndo maana umefail Dunia nzima.
[emoji848][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimemshangaa sanaHuu ni uongo, ndoa ya Oscar na Morio ilifanyikia London na msamizi alikuwa JK Nyerere.
Iiihh wee jamaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]... dah! Kumbe zamani kulikuwa na wazuri sio mchezo!
Hapo umeongea ukweliKama tu nchi ina wasomi wengi kwa sasa lakini UBEPARI unaitafuna nchi sijui miaka ile nyerere angekimbilia ubepari nchi ingekuwa na hali mbaya kiasi gani yani mali nyingi zingekuwa chini ya wazungu na mambo ya vita ya madini yanayoendelea CONGO yangekuwepo hadi leon tz maana wazungu wasingekubali kutolewa kiboya na kwa umaskini wa enzi zile tungeuzwaa aisee so NYERERE alitumia akili sana kuukataa ubepari ila kilichomuangusha ni UJAMAA kufail...!! NYERERE angkuwa na ubepari bhasi amini hakuna Rais wa afrika angemfikia utajiriii hata nusu ila ajabu mzee yule hakuacha hata hisa yoyote sio kwamba alishindwa ila alifanya alichokihubiri UJAMAA jambo waliloshindwa viongozi asilimi 98 wenye asili ya kiafrika.
Mwisho wa siku,leo kila mtu anaishi kama kambonaLabda kosa la Mwalimu lilikuwa kuamini Waswahili tunaweza kuijenga nchi yetu wenyewe, Kambona hakuamini.
Sasa mnasafiri vipi na Mtu anayeamini kingine kama sio kuishi kupinduana.
Congo alikuwepo Shombe na Tanzania Kambona...Kambona aliamini na kuukumbatia sana Uzungu, utaona hata mtindo wake wa maisha ni wa kuiga Uzungu...aliamini bila Wazungu sisi hatuwezi.
Kufaulu au kushindwa kwa muelekeo fulani ni matokeo, na huwezi kufaulu au kushindwa bila kwanza kufanya...na sijui mnavyodhani siasa ilifeli mnatumia mlengo upi, maana sio lazima wote tuwe na mtazamo huo huo...na kama Mwalimu alifeli Congo ndio walifaulu?.
Naona Vijana humu kila mmoja anaandika tu anachokidhania.
Kwa hiyo Wazungu ndio wangetujengea?.Bora angewaacha wamiliki tu maana kungekua na nafuu mara dufu na tulivyo,Leo tusingekua tunakopa matrillion Ili kujengea matundu ya vyoo
Ni aibu alibanaaaaa mwishowe akaachia mwenyewe Tena Kwa kufail kubaya kabisaa!
ubepari kama huna akili inakuwa haina tofauti na kubet au kamari...!!Hapo umeongea ukweli
Hii nyumba Kambona wakt amekwenda Uingereza alimuachia Swaiba wake Abdallah Kassim Hanga baada Hanga kukamatwa kupelekwa mashinjioni Zanzibar chini ya Mzee Abeid Karume nyumbani ile baadae alikuja kuishi Obote alivyopinduliwa na Idd Amin Sina hakika km alipewa tena Kambona au...
Mixed information.We nawe alokwambia pale ni Feza primary ni nani? Feza primary iko Kawe ..
Ile shule inaitwa dar es salaam international school DIS mkewe alipangisha kiwanja kile kwa mkataba wa miaka 40 Kama sikosei baadae tamaa ikamuingia akataka kubadili lakini wp mana mwenye shule ni mzungu yuko makini mkewe kambona akashindwa kesi bs tena Ndio mpaka leo bd wamepanga hapo iyo shule imebaki miaka mingapi sijui mkataba kuisha
Mkuu taarifa nyingi za humu ni za kupuuza tu wala usiumize kichwa, kila Mtu anatapika anachokifikiria au alichosikia kijiweni.fafanua mkuu,
majasusi wa kitz walimua mtoto wa kambona kwa kosa lipi?. aliwakosea nini?.
alikula chakula chenye sumu alichotegeshewa baba yake?.
alipigwa risasi kwa bahati mbaya baada ya kukosa target ambaye ni baba yake?.
Ujamaa ni laana.Kambona aliamini siasa za ubepari na akiwa Waziri akishaingia mikataba mingi na wawekezaji wa Kiingereza na walimpa cha juu chake. Kwenye account yake alikua na pesa nyingi sana.
Wakati Nyerere aliamini katika Ujamaa, hakuwa na tamaa ya pesa na mpaka anastaafu hakuwa na hekalu alilojimilisha.
Uandikie sasa hivi 😀😀😀😀Malaya...mjinga mmoja..Mpumbavu...utaambiwa maadili hakuna.