Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

Hivi unajua baada ya tanesco office ya kinondoni mbele yake kuna kiwanja kikubwa kimezungushwa uzio,mmiliki ni mama Maria Nyerere....
Miaka nenda rudi hakiendelezwi
Sasa sijui hana mpango huo au ndiyo
Familia haina mawazo ya biashara kuwekeza

Ova
😀 😀 😀 😀daah yani bi maza kabakia na kiwanja tuu...nyerere itakuwa familia inamlaani sanaa.. Migodi yotee hii
 
😀 😀 😀 😀daah yani bi maza kabakia na kiwanja tuu...nyerere itakuwa familia inamlaani sanaa.. Migodi yotee hii
Ah wameridhika mzee
Hata vijana kinondoni mtoto wa Nyerere mmja smbdy Joseph alikuwaga na eneo kubwa la biashara
Sema nahisi mzee hakuwalea watoto kwenye staili ya kukwea Mali

Ova
 
Kwa msiolijua, Rashid Mfaume Kawawa alikuwa mjomba wake Oscar Kambona na ndiye aliyesimamia harusi yake Kambona, wote asili yao Wanyasa. Enzi hizo miaka ya sitini kila mwanaume na mwanamke alipenda afanane muonekano wa Oscar Kambona, the guy was extremely smart.
Rashidi akasimamia Harusi ya Kambona?. hii kali.
 
Labda kosa la Mwalimu lilikuwa kuamini Waswahili tunaweza kuijenga nchi yetu wenyewe, Kambona hakuamini.

Sasa mnasafiri vipi na Mtu anayeamini kingine kama sio kuishi kupinduana.

Congo alikuwepo Shombe na Tanzania alikuwepo Kambona...Kambona aliamini na kuukumbatia sana Uzungu, utaona hata mtindo wake wa maisha ni wa kuiga Uzungu kupita kiasi...na aliamini bila Wazungu sisi hatuwezi kinyume kabisa na imani aliyokuwa nayo Mwalimu.

Mwalimu alimuamini Kambona lakini Kambona hakuaminika, na huo ndio ukweli..

Kufaulu au kushindwa kwa muelekeo fulani ni matokeo, na huwezi kufaulu au kushindwa bila kwanza kufanya...na sijui mnavyodhani siasa ilifeli mnatumia kipimo gani, maana sio lazima wote tuwe na mtazamo huo huo...na kama Mwalimu au siasa yetu ilifeli vipi nchi kama Congo wao walifaulu?.

Naona Vijana humu kila mmoja anaandika tu anachokidhania.
 
Kama tu nchi ina wasomi wengi kwa sasa lakini UBEPARI unaitafuna nchi sijui miaka ile nyerere angekimbilia ubepari nchi ingekuwa na hali mbaya kiasi gani yani mali nyingi zingekuwa chini ya wazungu na mambo ya vita ya madini yanayoendelea CONGO yangekuwepo hadi leon tz maana wazungu wasingekubali kutolewa kiboya na kwa umaskini wa enzi zile tungeuzwaa aisee so NYERERE alitumia akili sana kuukataa ubepari ila kilichomuangusha ni UJAMAA kufail...!! NYERERE angkuwa na ubepari bhasi amini hakuna Rais wa afrika angemfikia utajiriii hata nusu ila ajabu mzee yule hakuacha hata hisa yoyote sio kwamba alishindwa ila alifanya alichokihubiri UJAMAA jambo waliloshindwa viongozi asilimi 98 wenye asili ya kiafrika.
Hapo umeongea ukweli
 
Labda kosa la Mwalimu lilikuwa kuamini Waswahili tunaweza kuijenga nchi yetu wenyewe, Kambona hakuamini.

Sasa mnasafiri vipi na Mtu anayeamini kingine kama sio kuishi kupinduana.

Congo alikuwepo Shombe na Tanzania Kambona...Kambona aliamini na kuukumbatia sana Uzungu, utaona hata mtindo wake wa maisha ni wa kuiga Uzungu...aliamini bila Wazungu sisi hatuwezi.

Kufaulu au kushindwa kwa muelekeo fulani ni matokeo, na huwezi kufaulu au kushindwa bila kwanza kufanya...na sijui mnavyodhani siasa ilifeli mnatumia mlengo upi, maana sio lazima wote tuwe na mtazamo huo huo...na kama Mwalimu alifeli Congo ndio walifaulu?.

Naona Vijana humu kila mmoja anaandika tu anachokidhania.
Mwisho wa siku,leo kila mtu anaishi kama kambona
Mwendo ubepari tu watu kujilimbikizia Mali na fedha

Ova
 
Bora angewaacha wamiliki tu maana kungekua na nafuu mara dufu na tulivyo,Leo tusingekua tunakopa matrillion Ili kujengea matundu ya vyoo
Ni aibu alibanaaaaa mwishowe akaachia mwenyewe Tena Kwa kufail kubaya kabisaa!
Kwa hiyo Wazungu ndio wangetujengea?.

Kuna mambo mnapaswa kujionea aibu kuzungumza hadharani.
 
Hii nyumba Kambona wakt amekwenda Uingereza alimuachia Swaiba wake Abdallah Kassim Hanga baada Hanga kukamatwa kupelekwa mashinjioni Zanzibar chini ya Mzee Abeid Karume nyumbani ile baadae alikuja kuishi Obote alivyopinduliwa na Idd Amin Sina hakika km alipewa tena Kambona au...
We nawe alokwambia pale ni Feza primary ni nani? Feza primary iko Kawe ..
Ile shule inaitwa dar es salaam international school DIS mkewe alipangisha kiwanja kile kwa mkataba wa miaka 40 Kama sikosei baadae tamaa ikamuingia akataka kubadili lakini wp mana mwenye shule ni mzungu yuko makini mkewe kambona akashindwa kesi bs tena Ndio mpaka leo bd wamepanga hapo iyo shule imebaki miaka mingapi sijui mkataba kuisha
Mixed information.

Sasa hiyo nyumba bado ni mali ya familia ya Kambona ama?
 
fafanua mkuu,

majasusi wa kitz walimua mtoto wa kambona kwa kosa lipi?. aliwakosea nini?.

alikula chakula chenye sumu alichotegeshewa baba yake?.

alipigwa risasi kwa bahati mbaya baada ya kukosa target ambaye ni baba yake?.
Mkuu taarifa nyingi za humu ni za kupuuza tu wala usiumize kichwa, kila Mtu anatapika anachokifikiria au alichosikia kijiweni.
 
Kambona aliamini siasa za ubepari na akiwa Waziri akishaingia mikataba mingi na wawekezaji wa Kiingereza na walimpa cha juu chake. Kwenye account yake alikua na pesa nyingi sana.

Wakati Nyerere aliamini katika Ujamaa, hakuwa na tamaa ya pesa na mpaka anastaafu hakuwa na hekalu alilojimilisha.
Ujamaa ni laana.
 
Back
Top Bottom