Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Kambona aliasi Nini !??? Hivi Hawa waliogeuka wote na walikuwa na Magufuli SI ndio waasi !!?? Kambona alisema mwenendo wa nchi Kwa sera za kijamaaa tutachelewa maendeleo hana uasi wowote zaidi ya kusema ukweli wake .Wazoefu wa mitaa ya Mikocheni, kwa Nyerere, kwa Mwinyi, kwa Warioba haya ni majina ya vituo vya daladala. Lakini pia Kuna nyumba ya Oscar Kambona mitaa hiyo ila kwa sasa naona imekuwa shule ya msingi Feza.
Nini kilitokea? Iliuzwa? Je Kambona hakuacha familia? Mke na watoto wake wako wapi? Baba akiwa muasi hadi familia yake inachukuliwa kama waasi?
Je, ilikuwa ni nyumba ya serikali au alijenga mwenyewe Oscar?
Huyo mtoto hatambuliki katika familia hebu muulize vizuri..Oscar Kambona ana mtoto wa kike ni Askari Magereza gereza la Karanga Moshi. Kama sikosei anaitwa Witness.
Huwezi amini mtoto wa Kambona analipwa mshahara usiozidi TSH laki tano.
Umewahi sikia upande wa Kambona mwenyewe?Kambona aliamini siasa za ubepari na akiwa Waziri akishaingia mikataba mingi na wawekezaji wa Kiingereza na walimpa cha juu chake. Kwenye account yake alikua na pesa nyingi sana.
Wakati Nyerere aliamini katika Ujamaa, hakuwa na tamaa ya pesa na mpaka anastaafu hakuwa na hekalu alilojimilisha.
Kutoka mkoa mmoja sio undugu...Kwa msiolijua, Rashid Mfaume Kawawa alikuwa mjomba wake Oscar Kambona na ndiye aliyesimamia harusi yake Kambona, wote asili yao Wanyasa. Enzi hizo miaka ya sitini kila mwanaume na mwanamke alipenda afanane muonekano wa Oscar Kambona, the guy was extremely smart.
Kambona akaitwa msaliti, mwizi na malaya
Kumbe mshahara wa askari magereza unategemea wadhifa wa mzaziOscar Kambona ana mtoto wa kike ni Askari Magereza gereza la Karanga Moshi. Kama sikosei anaitwa Witness.
Huwezi amini mtoto wa Kambona analipwa mshahara usiozidi TSH laki tano.
Yule mzee hamkupenda mtu mwenye akili mingiHata sijui alimkorofisha nini yule mzee wa Butiama?
Hawa watu hawakuwa ndugu.kambona ndio mnyasa.kawawa sio.Kwa msiolijua, Rashid Mfaume Kawawa alikuwa mjomba wake Oscar Kambona na ndiye aliyesimamia harusi yake Kambona, wote asili yao Wanyasa. Enzi hizo miaka ya sitini kila mwanaume na mwanamke alipenda afanane muonekano wa Oscar Kambona, the guy was extremely smart.
Kwa msiolijua, Rashid Mfaume Kawawa alikuwa mjomba wake Oscar Kambona na ndiye aliyesimamia harusi yake Kambona, wote asili yao Wanyasa. Enzi hizo miaka ya sitini kila mwanaume na mwanamke alipenda afanane muonekano wa Oscar Kambona, the guy was extremely smart.
Acha kukurupuka.... Soma taratibu uelewe acha kukaza fuvu.Ulitaka alipwe shingapi?
Unataka watu waanze kulipwa mamilioni just cos ni watoto wa fulani? Kina Ridh, Pinda, Sokoine, Makongoro nk ni wabunge na nafasi zingine kadha wa kadha na yeye apambane ashike wadhifa hakuna free lunch.
Acha kukurupuka.... Soma taratibu uelewe acha kukaza fuvu.
Aliyekwambia walimpa cha juu nani?? Acha kuamini propaganda za mchonga,aliamini ujamaa haukuwa mfumo sahihi na kweli ilikuja kuthibitika baadae baada ya kila kitu cha ujamaa kufeli na mchonga kulazimika kung'atuka kwa aibu!Kambona aliamini siasa za ubepari na akiwa Waziri akishaingia mikataba mingi na wawekezaji wa Kiingereza na walimpa cha juu chake. Kwenye account yake alikua na pesa nyingi sana.
Wakati Nyerere aliamini katika Ujamaa, hakuwa na tamaa ya pesa na mpaka anastaafu hakuwa na hekalu alilojimilisha.
Tz vijiji vilikuwepo kabla ya nyerere,na aina ya ujamaa tunaouishi haukuanzishwa na nyerere ni historia yetu kabls ya ujio wa wakoloni,vijiji vya ujamaa vilianza pale nyerere alipotaka kuua vijiji halisi na kuanziaha vipya kwa minajili ya kuzalisha mali pasipo teknolojia wala nyenzo,watu wakusanywe wapelwkwe mwanalumango wakaanze maisha mapya ya kilimo cha jembe la mkono,hapo ndo failure ilipoanza!Unatoka kijiji gani?
Ukirudi kijijini kwenu huwa unapotea njia?
Tambua mawazo ya kujenga vijiji ni Nyerere mwenyewe. Mawazo hai, bado yanaishi na utayaacha yakiboreshwa.
Ujamaa kama ilivyo via Tamu, watu watafanya biashara na watakopeshana kwa mtindo wa kijamaa (vikoba)
Kwan kuna nchi gani ya maana tuliyopata nao uhuru tumeizidi kuuchumi licha ya mali tulizonazo?? Huyo mzee aliyeondoka nchi watu wanavaa magunia wanakula ugali wa njano kila kitu kwa foleni ndo wakumtukuza??? Hapana,miaka yake utawala ndo iliturudisha nyuma kama taifa!ilikuwa miaka 24 ya kupima marktime,ubaya zaidi waliomkosoa hakutaka kuwasikiliza mpaka aliposhindwaSi vyema kumuita hivyo, fuatilia wenzake wengi waliojizipatia nchi zao uhuru hio miaka ya 60's, sidhani kama ulikuwa umezaliwa.
Angeweza kujilimbikizia mali na madaraka kwa familia yake mpaka leo hii isingeshindikana.
Ukizingatia ni wakati ambao waTanzania wengi hawakiwa na elimu.
So tumsifu kwa uzalendo wake, kwa mali iliyopo kwenye hii nchi sijui ingekiaje tungepata raisi mwenye tamaa.
Hata ambapo hakuruhusu mbona nchi ilimshinda??chukua mfano wa wakati anakabidhiwa nchi na wakoloni mwaka 1961 na kipindi anaikabidhi kwa mwinyi 1985,viwanda vyote vilikufa,uzalishaji ulisimama,mahitaji muhimu yalipayikana kwa foleni..,Wasiwasi wa Nyerere angeruhusu ubepari nchi ingemshinda maana wazungu wangerudi mapema sana na kumiliki rasilimali kama Zimbabwe na South Africa
...Hadithi za Vijiweni hizo! Bahati Nasibu Gani aliyocheza ikampa Ukwasi Wote ule Enzi hizo? Haina Jina?Kambona hakuwahi kuwa waziri wa fedha, hivyo asingeweza kuhongwa ila alishinda bahati nasibu Uingereza iliyomuwezesha kupata pesa.
...Usikariri....!Sijaongelea socialism, naongelea Ujamaa. Ujamaa ni tofauti na socialism.
Ujamaa una bond zake tofauti na socialism.
Rudi kafanye utafiti, usikalili ya kuambiwa.
...Afrika Kusini au Zimbwabwe Kuna Amani?Bora angewaacha wamiliki tu maana kungekua na nafuu mara dufu na tulivyo,Leo tusingekua tunakopa matrillion Ili kujengea matundu ya vyoo
Ni aibu alibanaaaaa mwishowe akaachia mwenyewe Tena Kwa kufail kubaya kabisaa!