Nadhani humu Kuna watu wa magereza na watu wa mahakama.
Wale wahalifu wamehukumiwa kwenda jela maisha na kumlipa yule binti milioni moja moj.
HIZI PESA WATAZILIPA LINI NA WATAZITOA WAPI?
 
Kwa maslahi mapana ya haki inabidi uungane na timu ya mawakili wa kina nyundo kukata rufaa, ama kafungue kesi binafsi kama madeleka anavofanyaga kupinga ukiukwaji wa katiba, vinginevyo hapa unachofanya ni kunogesha kijiwe tu kwa stori. Until then kina nyundo ni mali halali ya magereza for the rest of their damn terrestrial life.
 
Nimefarijika sana Hawa Jamaa kuhukumiwa.
Naomba kuuliza Yule aliyekuwa anavuta bangi na hakumuingilia Yule binti nae anahukumiwa sawa na Wake waliomuingilia🙏 Km ni sawa Basi Sheria Yetu itakuwa Ina Mapungufu kidogo
una uhakika gani kama hakumuingilia vp kama alifanya yake kabla au baada ya kumaliza kurekodi labda alikula mzigo off kamera huwezi jua
 
Ina maana Wana Jf members munao comments, kwenye huu Uzi .
Muliiangalia ile video yote, pia mkafanya forensic ya video and photo.

Hongereni kwa Hilo.
 
We msenge siku akipigwa mtungo mtoto wako alafu uje uandike upuuzi huu,,,
 
Inabidi Rufaa wakate hadi mahakama ya juu kabisa, nako wataangukia pua tu. Hii walichofanya hakuna mahakama popote ulimwenguni huu itawaachia huru haipo, nefaaa
Kwani sabaya ilikuwaje? Kapora watu mamilioni kaja kuwa huru kwa kulipa vilaki tu.
 
Mkuu unajua walivyokamatwa waliongea kitu gani huko polisi?
 
Unajitahidi kutetea wabakaji mzee, ni ndugu zako nini?
 
UCHAWI UPO

USHASIKIA MUME ALIEKUWA AKILA MZIGO NO...
HAYA VIHEREHERE WAMEENDA NDAN MAISHA

URAIAN WANABAKI MUME NA CHENCHEDE

KAZIMNAYO
 
NONDO KALA NONDO ZA VYUMA

HAYA MAJINA MNAPEWAGA MNAONA SIGA

SHETANI ANAYATUMIA HADI MKIWA UZEEN

ONA SASA KUZALILIKA NA KUZALILISHA FAMILIA/UKOOZENU

MUSHI
LEMA

MMETOKEA WAPI NA HUU UJINGA

KWA NIABA YA WACHAGA WOTE WENYE AKILI TIMAMU TUNAMPONGEZA SANA MH HAKIMU ..TUNALAAN WWALE WOTE WALIOSHIRIKI TENDO HILI NA WOTE WALIOSHIRIKI KUWATETEA

NOWAJUZE TYU HAO WALISHIKWA NA ROHO XA MASHETANI NA SIO WACHAGA WOTE WANA AKILI KAMA ZAO......

AAHSANTEN SANA MAHAKAMA MAANA HATAKABILA LIMESAFISHIKA KWA HUKUMU HII ...
 
UCHAWI UPO

USHASIKIA MUME ALIEKUWA AKILA MZIGO NO...
HAYA VIHEREHERE WAMEENDA NDAN MAISHA

URAIAN WANABAKI MUME NA CHENCHEDE

KAZIMNAYO
Newton's 3rd law of motion

Every action there is an equal n opposite reacton

Enjoy sana n all d best
 
a
Mdada wa watu amepumzika tuli anasubiri mil 4 zake hizisheria za kuongeza hizi adhabu mil ¹ kwa uhuni ule tuwatundike hata mil 10 wawaze kuuza malizao napema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…