Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.

Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.

Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.

Pia soma
NASHAURI BINTI AFUNGUE AKAUNTI YA BENKI TUMCHANGIE AJIPANGE KIMAISHA! WAZIRI GWAJIMA NDIO ATOE TANGAZO ILI TUAMINI KATIKA KUCHANGA KWETU! tumchangie maisha yaendelee
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.

Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.

Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.

Pia soma
Tulitaka kifo!
 
Ushahidi wa nini hukuona ile clip binti kaomba maji ya kunywa wakamnyima,akanuomba msamaha afabde hakusikilizwa,unataka ushahidi gani tena
Usije kufanya kosa ukiwa na akili timamu ukidhani ukikamatwa utajitetea nilitumwa😅 haya umesikia katika maelezo ya waliohukumiwa wakisema walitumwa? Au kwenye hiyo video Kuna sehemu panasema tumetukwa na fulani?
 
Kesi imesikilizwa kwa haraka mno maana yake walishahukumiwa kabla haijasikilizwa, na wahanga wa ubakaji wengine nao kesi zao hazisikilizwi haraka hivyo sababu hawakurekodiwa video na kurushwa ktk social medias!!
Kesi imesikilizwa Kwa haraka coz ilikua na maslahi Kwa Raia....!

Watanzania wengi walikua wanaifuatilia hii kesi.
 
Nikweli,mbona mahakama ikienda ndivyo sivyo mnamlaumu Rais? Rais anakuwaga state attorney au
Akikaa kimya lazima alaumiwe, Kwanini asitoe tamko lolote la ku-speed up kesi kwa ukatili kama huu?

Mawakili wamepambana na kesi imeisha vizuri kama hivi bila kusukumwa na nguvu toka juu sasa yanini tumsifu Raisi wakati awali alikaa kimya...


Angekua alitoa tamko lolote la ku-speedup kesi iende Haraka, Hawa wanaotoa pongezi kwa Raisi kwenye huu uzi wangekua wapo sahihi tu.

Sasa wanampongezea nini wakati alikaa kimya, si afadhali waipongeze katiba na watu waliosimamia haki !!
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.

Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.

Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.

Pia soma
suala la muda tu mara utasikia wamebadilishiwa gereza ghafla wako china mafunzoni hatimaye operesheni maalum mji wa goma DRC
 
Back
Top Bottom