Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
Sasa Mkuu hukusoma hapo niliposema core issues au unataka tu uonekane ulibisha?, unachokisema nakijua na ndio maana nikakiweka hapo.

Alafu pili jinai irregularities zake karibu zote zinaleta doubts na zinauwezo wakupiga maamuzi chini sababu ya standard of proof kwenye jinai ni kali sana.
Nenda kasome irregularities kwenye CPA uone ni zipi zinaweza kutengua maamuzi ya awali na zipi haziwezi kutengua uamuzi.
 
Acha ujuaji matobo yapi yaliyoachwa? Ingekuwa kuna matobo unayodhani unafikiri wanasheria upande wa utetezi wangeacha kuyatumia kuwanasua wateja wao hadi wasubiri rufaa?

Hii kesi hata ikienda rufaa bado mahakama ya rufaa ita uphold uamuzi wa mahakama ya iliyotoa hukumu.
Nini maana ya kukata rufaa?
 
Kwa hiyo unadhani kesi iliegemea ushahidi mmoja tu wa video ya whatsapp? You must be joking dude
Wale jamaa hauwezi kuwaunganisha popote zaidi ya kutumia zile video, na uhakika anayetajwa kama afande angeonekana kwenye zile video na yeye ndio tungemuona akiambatana nao mahakamani kwa makosa yanayofuatana.

Utasema am joking ila ndio uhalisia, hii kesi inaudhaifu mkubwa upande wa mashtaka na doubts ni nyingi.
 
Wale jamaa hauwezi kuwaunganisha popote zaidi ya kutumia zile video, na uhakika anayetajwa kama afande angeonekana kwenye zile video na yeye ndio tungemuona akiambatana nao mahakamani kwa makosa yanayofuatana.

Utasema am joking ila ndio uhalisia, hii kesi inaudhaifu mkubwa upande wa mashtaka na doubts ni nyingi.
Now you talking as a layman. Huwezi kuwaunganisha popote? Hata kwa mawasiliano ya simu? Kuna namna alfu moja na moja za kuwaunganisha na tukio kwa upelelezi makini
 
Nenda kasome irregularities kwenye CPA uone ni zipi zinaweza kutengua maamuzi ya awali na zipi haziwezi kutengua uamuzi.
Weka hapa tuone unachokiongelea Mkuu, kama sio wakili anaye practice hautaweza nielewa ninachokiongea isije ikawa unaongelea LLB hapa Mkuu hatutaweza kuelea kwenyebahari moja lazima tutapishana tu.
 
Umeshajiuliza yupo wapi aliyesambaza hizo video? Na je alishitakiwa wapi na lini? Kama ni wao wenyewe kama inavyosemwa umeshajiuliza kwanini hilo kosa halipo kwenye charge yao?

Ukipata majibu utayaona matobo.
Sio kazi ya mahakama kuuliza eti nani alisambaza picha.

Mahakama inafanya kazi kwa kile kilicholetwa mbele yake as long as kinakidhi standards za kesi kuwa filed and entertained.

Hao waliojirekeodi ndio waliosambaza hizo video maana kama hawakuwa na nia ya kusambaza kwanini walijirekodi wakitenda jinai?

Unadhani mahakama hadi inafikia uamuzi wa kuwatia hatiani haikujiridhisha pasina shaka kwamba jinai ilitendeka?

Mahakama sio mama yako mzazi useme ikupe kitu ambacho hujakiomba kwenye hati ya mashitaka.
 
Now you talking as a layman. Huwezi kuwaunganisha popote? Hata kwa mawasiliano ya simu? Kuna namna alfu moja na moja za kuwaunganisha na tukio kwa upelelezi makini
Achana na nadharia ongelea uhalisia, kipi kilitolewa na kipi kimetokea. Unaongelea mawasiliano, yametolewa wapi?, hiisio scenario kiongozi hii ni real caseinayochukua maisha ya vijana kwa muda wao wote uliobaki hapa duniani.
 
Achana na nadharia ongelea uhalisia, kipi kilitolewa na kipi kimetokea. Unaongelea mawasiliano, yametolewa wapi?, hiisio scenario kiongozi hii ni real caseinayochukua maisha ya vijana kwa muda wao wote uliobaki hapa duniani.
Hukumu umeisoma hadi kufikia conclusion yako? Ama nawe unaongelea nadharia tupu. They deserve to rot in there, throw the key life is over for them little punks
 
Daah ukifikiri sana sijui wadogo waliwaza nini na kufanya hiyo mambo na inaonekana ilikua tabia yao hapo aliewatuma ilitakiwa nae apate mvua ili iwe fundisho kwa wengine kwenda jela kwa kesi ya 2 Pac kwa ni uduanzi sana sana..
 
Sio kazi ya mahakama kuuliza eti nani alisambaza picha.

Mahakama inafanya kazi kwa kile kilicholetwa mbele yake as long as kinakidhi standards za kesi kuwa filed and entertained.

Hao waliojirekeodi ndio waliosambaza hizo video maana kama hawakuwa na nia ya kusambaza kwanini walijirekodi wakitenda jinai?

Unadhani mahakama hadi inafikia uamuzi wa kuwatia hatiani haikujiridhisha pasina shaka kwamba jinai ilitendeka?

Mahakama sio mama yako mzazi useme ikupe kitu ambacho hujakiomba kwenye hati ya mashitaka.
Sasa Mkuu unaongea nini kiongozi?, ngoja nikupe shule kidogo maana nauhakika itakusaidia. Kwanza mtuhumiwa hana jukumu lakuthibitisha mashtaka dhidi yake yeye ni mtu asiye na hatia hata unapomuona pale Mahakamani sawa.

Pili, Jamhuri au upande.wa Mashtaka ndio wanatakiwa kuthibitisha mashtaka yao yote Mahakamani, kazi ya mshtakiwa ni moja tu kuonesha madhaifu ya madai na ushahidi wa Jamhuri au mshtaki. Na hawa walikuwa na wakili hivyo hakuna wasi wasi kuwa aliufanya hilo jukumu.

Sasa swali gumu hata kwa mtu aliye nje ya hii kesi ni nani aliyesambaza hizo video?, hauwezi kusema ni hao wakina Nyundo sababu hakuna kosa walilotiwa hatiani la kusambaza picha chafu.

Sasa kama halipo, umma ulizipata video hizo kupitianani?, mbona hayupo Mahakamani? Je alisahaulika au aliachwa kwa makusudi ya wazi sababu huyo angekuja kuwatoa wote hatiani?

Hayalabda tuulizane swali rahisi, zile video zilichukuliwa kwa kupitia kifaa gani?, kama ni simu ni simu aina gani? Je ilitolewa Mahakamani kama ushahidi? Ni simu ya nani? Huyo mtu ameshitakiwa kwa kusambaza video za ngono? Kwanini.hajashitakiwa? Au ni simu au kifaa kilichorekodi hakikupatikana?. Na kama hakikupatikana Mahakama imewezaje kuamini uhalali wa video hizo ambazo kwa teknolojia ilipofika inaweza kutengenezeka?, mwisho je Mahakama ilipuuza utaratibu wa kisheria wa kuchukua ushahidi wa kielekroniki unaotaka kifaa cha chanzo cha ushahidi kiweze kutambulika na kuletwa kama ushahidi?
 
Akina nyundo ndio aina ya vijana wanajeshi tulionao nchini
Ni wachafu mno na wakatili mno
Wapo tayari kutumia nafasi zao vibaya kwa tamaa ya pesa
Hawa ndio aina ya watu wanaotumika kuteka kutesa kutishia na kuua wapinzani
Just imagine kisa kihela kidogo kutoka kwa askari wanafanya ukatili huu
Je wakipewa mamilion na vigogo wenye pesa zao suala la utekaji litaisha kweli

Na niwaibie tu siri
Binti angeshitaki
Hawa Washenzi wasingejirekodi video na Watanzania tusingepiga kelele
Jeshi la polisi upelelezi hadi mwaka 2054
 
Back
Top Bottom