Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
UCHAWI UPO

USHASIKIA MUME ALIEKUWA AKILA MZIGO NO...
HAYA VIHEREHERE WAMEENDA NDAN MAISHA

URAIAN WANABAKI MUME NA CHENCHEDE

KAZIMNAYO
Mwamba huko jela usiendeleze michezo yako, naskia geto zima limejaa wese tu wakati hata hupiki.
 
If they grow without the parents, who gonna tell them what is right.

If they grow without the parents, who gonna tell thrm what is wrong?

By Lucky Dube.

Halafu lingine ni kula tunda kimasihala, wanazaliwa watoto kimasihala, watalelewa komasihala. Matokeo yake ni haya.
U are right,

When education comes from home,u'll know the right and the wrong.
 
Aiseee!

Ulisema ulipata ajali ukaumia, ulipata kupona?

Hivi wewe ni Daktari kweli uliyeenda shule kusoma miaka 5-6, au Dokta dokta tu?

Kama haujapona pole, Mwenyezi Mungu akusaidie upone urudi katika majukumu yako ya kila siku.

(maswali yangu hayahusiani na mada)
Kuhusu kupata ajar na kupona now naendelea vyema kabisaa natembea..

Kuhusu udaktari wangu ni kweli nimesoma 😊

Kama kusema MALAYA wanao jiuza kwenye mabaa na mabarabarani humo na wakwenye mitandao mbali mbali.

Nilienda kutembea temeke na viunga vyake wanawake wavaa madela na kukodi madaladala na KUTOA mawowowo nje wakikatika OVYO OVYO

Mpaka sisi wanaume ndio tunaona aibu WAKILAWITIWA NA KUFANYWA KWA KUNDI LABDA WATATULIA mfano Hata huyo dada wa yombo dovya akiulizwa UNAWEZA KUTA ALITAKA MWENYEWE na Kama Sheria zisinge kuwepo angewasamehe..
Na NYIMBO zenu sijui "" kibanebane sijui Nini Nini Mara sijui kiliwe na nyenyele"

Wapo wanawake wengi Sana wenye maadili huwezi Kuta wanajizalilisha Wala kutendwa ivyo na hata wakitendwa tutapaza sauti zetu Ila sio KUTETEA MALAYA WANAO JITAKIA.

NB.
SIUNGI MKONO WALA SIPO HAKA KUONA HURUMA AU KUTETEA MALAYA WANAO JITAKIA.
 
Kuhusu kupata ajar na kupona now naendelea vyema kabisaa natembea..

Kuhusu udaktari wangu ni kweli nimesoma 😊

Kama kusema MALAYA wanao jiuza kwenye mabaa na mabarabarani humo na wakwenye mitandao mbali mbali.

Nilienda kutembea temeke na viunga vyake wanawake wavaa madela na kukodi madaladala na KUTOA mawowowo nje wakikatika OVYO OVYO

Mpaka sisi wanaume ndio tunaona aibu WAKILAWITIWA NA KUFANYWA KWA KUNDI LABDA WATATULIA mfano Hata huyo dada wa yombo dovya akiulizwa UNAWEZA KUTA ALITAKA MWENYEWE na Kama Sheria zisinge kuwepo angewasamehe..
Na NYIMBO zenu sijui "" kibanebane sijui Nini Nini Mara sijui kiliwe na nyenyele"

Wapo wanawake wengi Sana wenye maadili huwezi Kuta wanajizalilisha Wala kutendwa ivyo na hata wakitendwa tutapaza sauti zetu Ila sio KUTETEA MALAYA WANAO JITAKIA.

NB.
SIUNGI MKONO WALA SIPO HAKA KUONA HURUMA AU KUTETEA MALAYA WANAO JITAKIA.
Sawa, hongera kwa kupona.

Badilisha huo mtazamo kuhusu malaya, nini kinawasababisha wawe hivyo na ya kuwa si nyundo wala yeyote mwenye mandate ya kuwafanya lolote ama sivyo kesi ya ubakaji itamuhusu.

Tunapambana vijana wetu waliokosa elimu sahihi wajue ninini maana ya ubakaji ili siku wasijikute kwa pilato na kwenye heading za Millard Ayo, Wewe upo hapa uki-encourage hayo.

Unafurahia kuwaona vijana wadogo jela kwa faida zipi? Au hauelewi implications ya unachokihubiri hapa kwa vijana wadogo ambao akili hazija mature?
 
Sawa, hongera kwa kupona.

Badilisha huo mtazamo kuhusu malaya, nini kinawasababisha wawe hivyo na ya kuwa si nyundo wala yeyote mwenye mandate ya kuwafanya lolote ama sivyo kesi ya ubakaji itamuhusu.

Tunapambana vijana wetu waliokosa elimu sahihi wajue ninini maana ya ubakaji ili siku wasijikute kwa pilato na kwenye heading za Millard Ayo, Wewe upo hapa uki-encourage hayo.

Unafurahia kuwaona vijana wadogo jela kwa faida zipi? Au hauelewi implications ya unachokihubiri hapa kwa vijana wadogo ambao akili hazija mature?
Mimi sija encourage watu walawitiwe Wala gang rape..
Nilicho kua nasema ni mmomonyoko wa maadili kwenye jamii mfano mwanamke anae jiheshimu na kujistili sio rahisi kutendewa unyama Kama huo na akitendewa TUTAPAZA SAUT

Siungi mkono MALAYA wanao jiuza mfano ukiwapa mitaji kuwa empower still wamezoea kujiuza kwa kujitakia kwenye ma baa , mabarabarani, na kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii ukichunguza akili zimelemaa sababu ya factors nyingi zikiwemo ugumu wa Maisha,yatima, uzembe ,uvivu, ulevi ie.bange,pombe,ugolo,madawa ya kulevya kiasi hawana haya Wala aibu kutenda au kutendwa vyovyote.

Hata sisi tumepitia hali ngumu mpaka tulipo Sasa..njia nilizo pita Mimi mwingine angekata tamaa lakini hatukukata tamaa na mungu akatuvusha SALAMA.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.

Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.

Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.

Pia soma
Hawa jamaa ninatamani wangefungwa kwenye jela aliyofungwa Pdidy na wawekwe kwenye chumba kimoja awapake mafuta makalioni, kama alivyowapaka akina Tale na Mondi, akili zingerwarudia.
 
ifike wakati kupunguza msongamano wawe wananyongwa. magereza zinazidiwa wingi wa watu.
Kuna kesi haizna kichwa wala miguu hizo zingepunguzwa nina uhakika magereza yangepata waharifu sahihi,kuna watu kesi za kubambikiwa,kesi za kuku,kesi zisizo na ushahiidi mahakama ziachanae na kesi za namna hiii,ili magereza yasizidiwe lakini sio kunyonga tu kiholela kama ulivyoshauri
 
Kesi imesikilizwa kwa haraka mno maana yake walishahukumiwa kabla haijasikilizwa, na wahanga wa ubakaji wengine nao kesi zao hazisikilizwi haraka hivyo sababu hawakurekodiwa video na kurushwa ktk social medias!!

naunga mkono hoja yako.

Kuna kesi zingine zinasota hapo hadi miaka 2. Kumbe inawezekana kusikiliza kesi haraka kiasi hiki?!
basi wote watendewe haki sawa.
 
Kesi imesikilizwa kwa haraka mno maana yake walishahukumiwa kabla haijasikilizwa, na wahanga wa ubakaji wengine nao kesi zao hazisikilizwi haraka hivyo sababu hawakurekodiwa video na kurushwa ktk social medias!!

naunga mkono hoja yako.
Kuna kesi zingine zinasota hapo hadi miaka 2. Kumbe inawezekana kusikiliza kesi haraka kiasi hiki?!
basi wote watendewe haki sawa.
 
W
Haki imepatikana kwa waharifu,......Binti kama alikua anajiuza aache,kama alikua anatembea na waume wa za watu,inabidi atubu,.........atakuja BOYA mmoja WA generation Z kumvisha Pete huku akibubujikwa na machozi,Binti aliyefir.rw.a vilivyo
C.C Natafuta Ajira
What is your point
 
Back
Top Bottom