Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata

Baada ya kufika ofisi ya kata nikaelezea mkasa mzima wa baba yangu kuuza nyumba yake na hataki kunipa mgao wa hela mimi mtoto wake ambaye natakiwa nipate haki yangu nikaanze maisha yangu, ofisi ya kata walisikitika sana na kuahidi kunisaidia kwa hali na mali, na kuniambia watamuandikia barua baba angu ili aweze kufika na kueleza kwanini ananipa manyanyaso mimi mtoto wake kwenye mali ambazo na mimi nastahili mgao.

Leo asubuhi nimeitwa kwenye ofisi ya kata mimi na baba, tumefika pale cha kushangaza ofisi ya kata wote wanaanza kunishambulia mimi kwa maneno makali sana, ndugu zangu nimeumia sana na mimewaeleza nitapanda ngazi za juu zaidi ili niweze kupata haki yangu Ikiwezekana hata mahakamni nitafika haiwezekani mimi mtoto niwe naagaika hivi wakati baba yangu pesa anayo tena ni kubwa tu. Na nimepata wasiwasi mkubwa watu wote wanasimama na baba ni kwasababu ana pesa huenda wanataka pesa zake ndio maana wanaona mimi sina hela.

WanaJamiiForums nisaidieni niweze kupata mali kutoka kwa baba yangu, najua kuna wanasheria humu ndani.

Naumia sana kwa haya manyanyaso ninayopitia ukilinganisha mimi ndio mtoto ambaye nina elimu kubwa sana kupita wote pale nyumbani (nina Bcom in marketing ) kutoka chuo kikuu cha DAR ES SALAAM-UDBS, pia nina Basic Certificate ya computer application natakiwa nipewe kipaumbele kwa kila kitu kwenye kuendeleza mali za mzee.
Mali aliyokupa na unayostahili ni elimu pekee, huna unachodai tena mzee.. kwani ulitafuta nae? Sheria inamtambua mke tu na mtoto chini ya umri wa miaka 18. Kwa umri wako wewe ni Mzee sasa. Nakushauri achana na hiyo mambo jombaa...
 
Mali aliyokupa na unayostahili ni elimu pekee, huna unachodai tena mzee.. kwani ulitafuta nae? Sheria inamtambua mke tu na mtoto chini ya umri wa miaka 18. Kwa umri wako wewe ni Mzee sasa. Nakushauri achana na hiyo mambo jombaa...
Mi namshauri baba yake amfanye huyu jamaa kuwa ndondocha ili aingize hela zaidi
 
Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata

Baada ya kufika ofisi ya kata nikaelezea mkasa mzima wa baba yangu kuuza nyumba yake na hataki kunipa mgao wa hela mimi mtoto wake ambaye natakiwa nipate haki yangu nikaanze maisha yangu, ofisi ya kata walisikitika sana na kuahidi kunisaidia kwa hali na mali, na kuniambia watamuandikia barua baba angu ili aweze kufika na kueleza kwanini ananipa manyanyaso mimi mtoto wake kwenye mali ambazo na mimi nastahili mgao.

Leo asubuhi nimeitwa kwenye ofisi ya kata mimi na baba, tumefika pale cha kushangaza ofisi ya kata wote wanaanza kunishambulia mimi kwa maneno makali sana, ndugu zangu nimeumia sana na mimewaeleza nitapanda ngazi za juu zaidi ili niweze kupata haki yangu Ikiwezekana hata mahakamni nitafika haiwezekani mimi mtoto niwe naagaika hivi wakati baba yangu pesa anayo tena ni kubwa tu. Na nimepata wasiwasi mkubwa watu wote wanasimama na baba ni kwasababu ana pesa huenda wanataka pesa zake ndio maana wanaona mimi sina hela.

WanaJamiiForums nisaidieni niweze kupata mali kutoka kwa baba yangu, najua kuna wanasheria humu nda
Naumia sana kwa haya manyanyaso ninayopitia ukilinganisha mimi ndio mtoto ambaye nina elimu kubwa sana kupita wote pale nyumbani (nina Bcom in marketing ) kutoka chuo kikuu cha DAR ES SALAAM-UDBS, pia nina Basic Certificate ya computer application natakiwa nipewe kipaumbele kwa kila kitu kwenye kuendeleza mali za mzee.
Mimi nina miaka 67 na baby 97. Sijawahi kumwuliza au kumtaka anigawie mall zake . Namshukuru alinilea na kunisomesha mpaka darasa la 12. Baada ya hapa niliingia mtaani. Kwa sasa nampelekea 100000 kila mwezi mpaka hapo Mungu atakapoamua .ni yupi atamchukua. NAKUSHANGAA HIYO NYUMBA ULIMSAIDIA VIPI KUIJENGA MPAKA AKUGAWIE PESA? NDIO MAAANA VIJANA WENGI WANAUA WAZAZI AU KUWAOMBEA VIFO.
 
Hapana mkuu sijaoa bado, ndio nategemea nikipata ela kwenye hii issue ya nyumba ilio uzwa niweze kuoa na kufungua biashara
Wewe umeshaa feli,jutu zima unalilia pesa za Baba yako! Tafuta zakwako acha ubwege
 
Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata

Baada ya kufika ofisi ya kata nikaelezea mkasa mzima wa baba yangu kuuza nyumba yake na hataki kunipa mgao wa hela mimi mtoto wake ambaye natakiwa nipate haki yangu nikaanze maisha yangu, ofisi ya kata walisikitika sana na kuahidi kunisaidia kwa hali na mali, na kuniambia watamuandikia barua baba angu ili aweze kufika na kueleza kwanini ananipa manyanyaso mimi mtoto wake kwenye mali ambazo na mimi nastahili mgao.

Leo asubuhi nimeitwa kwenye ofisi ya kata mimi na baba, tumefika pale cha kushangaza ofisi ya kata wote wanaanza kunishambulia mimi kwa maneno makali sana, ndugu zangu nimeumia sana na mimewaeleza nitapanda ngazi za juu zaidi ili niweze kupata haki yangu Ikiwezekana hata mahakamni nitafika haiwezekani mimi mtoto niwe naagaika hivi wakati baba yangu pesa anayo tena ni kubwa tu. Na nimepata wasiwasi mkubwa watu wote wanasimama na baba ni kwasababu ana pesa huenda wanataka pesa zake ndio maana wanaona mimi sina hela.

WanaJamiiForums nisaidieni niweze kupata mali kutoka kwa baba yangu, najua kuna wanasheria humu nda
Naumia sana kwa haya manyanyaso ninayopitia ukilinganisha mimi ndio mtoto ambaye nina elimu kubwa sana kupita wote pale nyumbani (nina Bcom in marketing ) kutoka chuo kikuu cha DAR ES SALAAM-UDBS, pia nina Basic Certificate ya computer application natakiwa nipewe kipaumbele kwa kila kitu kwenye kuendeleza mali za mzee.
Mimi nina miaka 67 na baby 97. Sijawahi kumwuliza au kumtaka anigawie mall zake . Namshukuru alinilea na kunisomesha mpaka darasa la 12. Baada ya hapa niliingia mtaani. Kwa sasa nampelekea 100000 kila mwezi mpaka hapo Mungu atakapoamua .ni yupi atamchukua. NAKUSHANGAA HIYO NYUMBA ULIMSAIDIA VIPI KUIJENGA MPAKA AKUGAWIE PESA? NDIO MAAANA VIJANA WENGI WANAUA WAZAZI AU KUWAOMBEA VIFO.
 
Kwanza bando la kufika huku umelitoa wap au mtendaji wa kata kakufadhiri ili uje kutupima akili na utu uzima wetu?
 
Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata

Baada ya kufika ofisi ya kata nikaelezea mkasa mzima wa baba yangu kuuza nyumba yake na hataki kunipa mgao wa hela mimi mtoto wake ambaye natakiwa nipate haki yangu nikaanze maisha yangu, ofisi ya kata walisikitika sana na kuahidi kunisaidia kwa hali na mali, na kuniambia watamuandikia barua baba angu ili aweze kufika na kueleza kwanini ananipa manyanyaso mimi mtoto wake kwenye mali ambazo na mimi nastahili mgao.

Leo asubuhi nimeitwa kwenye ofisi ya kata mimi na baba, tumefika pale cha kushangaza ofisi ya kata wote wanaanza kunishambulia mimi kwa maneno makali sana, ndugu zangu nimeumia sana na mimewaeleza nitapanda ngazi za juu zaidi ili niweze kupata haki yangu Ikiwezekana hata mahakamni nitafika haiwezekani mimi mtoto niwe naagaika hivi wakati baba yangu pesa anayo tena ni kubwa tu. Na nimepata wasiwasi mkubwa watu wote wanasimama na baba ni kwasababu ana pesa huenda wanataka pesa zake ndio maana wanaona mimi sina hela.

WanaJamiiForums nisaidieni niweze kupata mali kutoka kwa baba yangu, najua kuna wanasheria humu ndani.

Naumia sana kwa haya manyanyaso ninayopitia ukilinganisha mimi ndio mtoto ambaye nina elimu kubwa sana kupita wote pale nyumbani (nina Bcom in marketing ) kutoka chuo kikuu cha DAR ES SALAAM-UDBS, pia nina Basic Certificate ya computer application natakiwa nipewe kipaumbele kwa kila kitu kwenye kuendeleza mali za mzee.

samahani,
Kwa ufupi wewe jamaa huko serious kabisa. Kwa umri huo bado unamtegemea babako kweli. Kibaya zaidi umeanika na elimu yako, khaaa. Ningekuwa karibu ningekulamba makofi, nyie ndo mnatufanya tuonekane wanaume suruali huku mtaani.
 
Mzazi kumpatoa mtoto mali yake ni suala la hiyari na si lazima, hiyo haipo kisheria kwamba cha mzazi lazima kuwe na mgao wako. Tafuta zako, kama alivyotafuta zake. Hata ukishtaki unapoteza muda tu, ni hiyari ya mtu hiyo
Ipo kisheria kabisa. Refer kesi ya K Lyin na watoto wa Mengi
 
ila naskia sheria inakataza kutokumpa mtoto maali
Nisikilize.

Sheria ya kumtaka mzazi ampe mtoto wake urithi ipo isipokua haijaelekeza kiasi cha kugewa. We si umeona watoto wa Mengi na mama yao K Lyn?

Mimi ni messenger wa ofisi ya mawakili kama una mpunga tuma kabisa laki 2 ya kuwalainisha hawa mawakili ila wakubali kukusikiliza.
 
Ndio mana matukio ya watoto kuua wazaz wao ili warithi mali yame kuwa mengi ni kutokana na vijana kama wewe

Huna haki yoyote kwenye iyo nyumba, moja Usha kuwa mkubwa sana, pili mali nizake kwaiyo kukupa au kuto kupa ni maamuzi yake

Anayo haki Ata kukufukuza hapo unapo lala sio kwako ni kwake wewe Usha kuwa mtu mzima Tafuta kwako.
 
Ipo kisheria kabisa. Refer kesi ya K Lyin na watoto wa Mengi
Ile ni mirathi na hiyo si mirathi usifananishe, na waliandikiwa wosia na Mengi yaani kakubali kuwapa kwa hiyari yake. Si kilazima unavyofanya wewe
 
Una uhakika gani kuwa huyo ni baba yako mzazi?....hebu muulize mama yako vizuri..mimi ni mjumbe kwenye hiyo ofisi ya kata nilimsikia huyo mzee anasema amejitolea kukulea tu ila wewe sio mzazi wake
 
Ile ni mirathi na hiyo si mirathi usifananishe, na waliandikiwa wosia na Mengi yaani kakubali kuwapa kwa hiyari yake. Si kilazima unavyofanya wewe
Inaelekeza mzazi kumuachia mtoto urithi ila haielekezi ni kiasi gani
 
Miaka 42 una mke bado unalilia mali ya baba??.uyo mwanamke nae bado anakuvumilia tu
Hawa ndio wale wanaoua wazazi wao kwasababu ya mali walizochuma wazazi wao kwa jasho na damu. Kwani mali ya baba yako ni yako? Ni hiari ya mzazi kukupa au asikupe
 
Duh ndomana kuna watu wanaishia kuwatoa uhai wazazi wao!
Cheki huyu 42 lkn anakomalia mali ya mzazi wake

Ova
yani mzee inabidi ahame nyumbani manake huyu jamaa anaweza kumuua au alale na bastola yani mtu ana 42 bado analilia ulithi sasa yeye sijui atalisisha nini watoto wake
 
Back
Top Bottom