Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Haswaa, Mke wamtu kuliwa usiku kucha, NI mpaka mumewe awe kasafiri .kwanza mke wa mtu haliwi usiku kucha.
unless hampo mkoa mmoja!!!!!!!
huyu atakuwa ni gelofrendi tu ambaye hana mamlaka nae
Au Mke kujipa safari za kwenda kwao kusalimia .
Jana nmepigiwa na Mwanangu. analia kwenye simu .
Oya nn?? Ananiambia Shemeji yake ( Dada wa mke ) amemtumia meseji kumwambia Mdogo wake ( mke wa Jamaa) kua ni Malaya kupita kiasi.
Yaan meseji ilikua hivi.... "Shem wangu, wee ni Mwema sana kwa Mdogo wangu, na kwetu, heshima yako kwetu ni kubwa...............
, ila nmejikuta naumia sana na tabia ya Mdogo wangu, Mkeo kila anapokuaga anakuja kwa wazazi Wetu, huwa hafiki,.........
anatupanga tu, kazi yake ni wanaume wanaume , nmemshauri sana ,habadiliki nimeamua kukuweka wazi tabia yake .
Daahh Jamaa analia kama mtoto,, Wazaz mke, wameamua kukomaa, kua Binti yao huwa anafika, ila wamegombana na Dada MTU, kwamba Dada MTU kaamua kutunga uongo.
Dada MTU kukomaa pale pale kua Mdogo wake ni Mbwaaa.
Jamaaan ajui afanyaje.!!.