Ogopa sana mpenzi mwenye mashosti

Ogopa sana mpenzi mwenye mashosti

kwanza mke wa mtu haliwi usiku kucha.

unless hampo mkoa mmoja!!!!!!!

huyu atakuwa ni gelofrendi tu ambaye hana mamlaka nae
Haswaa, Mke wamtu kuliwa usiku kucha, NI mpaka mumewe awe kasafiri .


Au Mke kujipa safari za kwenda kwao kusalimia .



Jana nmepigiwa na Mwanangu. analia kwenye simu .

Oya nn?? Ananiambia Shemeji yake ( Dada wa mke ) amemtumia meseji kumwambia Mdogo wake ( mke wa Jamaa) kua ni Malaya kupita kiasi.

Yaan meseji ilikua hivi.... "Shem wangu, wee ni Mwema sana kwa Mdogo wangu, na kwetu, heshima yako kwetu ni kubwa...............

, ila nmejikuta naumia sana na tabia ya Mdogo wangu, Mkeo kila anapokuaga anakuja kwa wazazi Wetu, huwa hafiki,.........

anatupanga tu, kazi yake ni wanaume wanaume , nmemshauri sana ,habadiliki nimeamua kukuweka wazi tabia yake .




Daahh Jamaa analia kama mtoto,, Wazaz mke, wameamua kukomaa, kua Binti yao huwa anafika, ila wamegombana na Dada MTU, kwamba Dada MTU kaamua kutunga uongo.


Dada MTU kukomaa pale pale kua Mdogo wake ni Mbwaaa.




Jamaaan ajui afanyaje.!!.
 
Mke anatoka na kurudi saa 11, ni jioni au alfajiri?

Mke anatoka kuliwa na wewe unachomeka? Mbususu iliyopigwa mzigo mbona inajulikana kabisa mzee! The diameter of that glory hole will enlarge even before inserting my joystick..damn it!
 
Yani mke wako anarudi saa 11? Na unafungua mlango.
Mkuu wapo, kuna jamaa enzi hizo 2015 alikuwa na gf wake anapenda club ila jamaa si mtu wa club. Anachofanya anawapeleja club mpenzi wake na shost zake ye anabaki kwenye gari hadi anasinzia wanakula bata wakichoka wanatoka wanarudi home.
Sasa amemuoa like 3 or 4 years ago. Shughuli anayopata huko kwa ndoa ni tete. Maana mwanamke ana mtoto lakini kutoka usku haachi na hivi jamaa mtu wa kusafiri sana mara arudi akute hayupo arudi asubuhi na mashosti yani ni shida.
 
Mkuu wapo, kuna jamaa enzi hizo 2015 alikuwa na gf wake anapenda club ila jamaa si mtu wa club. Anachofanya anawapeleja club mpenzi wake na shost zakw ye anabaki kwenye gari hadi anasinzia wanakula bata wakichoka wanatoka wanarudi home.
Sasa amemumoa like 3 or 4 years ago. Shughuli anayopata huko kwa ndoa ni tete. Maana mwanamke ana mtoto lakini kutoka usku haachi na hivi jamaa mtu wa kusafiri sana mara arudi akute hayupo arudi asubuhu na mashosti yani ni shida.
Jamaa imekula kwake
 
Baby Mama hawezi nambia anaenda kwenye party nikashindwa kumpeleka na kumfata, kwa usalama wake pia, mwanaume unakaaje ndani mkeo anafatwa na shost ake kwenda kwenye party hadi usiku sana na wewe umerelax tu, hapana aisee!

Mawazo mengi sio ya kunicheat (najua mtu akiamua lake hashindwi) ila usalama wake, what if akipata ajali, akiwekewa drugs je, kwenye parties kila mtu huenda na akili zake.

I always take my Woman kwenye parties na always pick her up when she is done ila sio in the morning, lol
 
Hilo ni kweli kabisa mkuu.[emoji4]

Nyongeza ya Hilo,
Sema na wee unazingua mkuu,

Mkeo anarudije saa 11 alfajiri aisee, iyo birthday gani inafanyika usiku kucha?[emoji4]
Waache waendelee na mambo ya kishenzishenzi.
 
Back
Top Bottom