Ndio kitu yake???PROKING leo yuko bwiii, anachanganya mafile tu π π
Sio hivyoo ila ni haraka mnooHutaki mgeni?
Makabichi ya UMUGHAKA na Ally Mpemba hayapashikiπ πSipashagi makabichi
Mungu yupi yule aliemruhusu Suleiman kuwa na wake 700 na michepi 300 au kuna mwingine?Itabidi umuulize Mungu....hadi lini haya???
Shiiii usimwambie mtu mkuu. Sisi wenyewe tumekausha πππNimesoma kwa mara ya pili nimegundua hili ni Yowe.
Basi sawa, ngoja nisubirie πSio hivyoo ila ni haraka mnoo
π Hakuna kurudi nyumaMakabichi ya UMUGHAKA na Ally Mpemba hayapashikiπ π
HayaaBasi sawa, ngoja nisubirie π
ππHayaa
Hivi hiyo pict inauhusiano wowote nawewe ,??ππ
Umewaza nn leo?Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.
Tuache kuwa na macho mawilimawili, inaondoa heshima kwetu wenyewe. Tutulie basi, Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.
NB: Using'ang'ane na kisichokuthamini, itambue thamani yako. Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule. Pesa zisituvue utu wetu. Kwa mwanamke na mwanaume pia.ππππ
ππππnaijua hiyoo wacha nibaki naloMtag tufuatilie mazungumzoπ
Napenda mbilinyi ππPROKING mamboo umeuzika nanini??
Usijali watu wazuri bado tupo πUmeona...Yaan acha tuπ
Hebu siku moja mkae chini na hawa wadogo zenu muwafunde, tatizo wanaishi maisha ya zamani, enzi zile mwanaume anaprovide kila kitu...mke Kazi yake ni kuzaa tu.Mbona mwanamke wa kawaida kabisa tena mwenye kipato cha kawaida kabisa kama Shishi anafanya hivyo?
Nimekutolea mfano kwa mtu maarufu tu lakini wapo wengi sana anachohitaji kwa mwanaume ni sex satisfaction tu na kubebishwa.