Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wewe unatafuta ukhanisi kwa bidii kubwa, make sure maisha yako yote utaishia kupiga punyeto tu, lakini ukija kutamani wanawake baadaye utaahibika.niko 100% loyal kwa BabyCare
Nakupenda bidhaa ya Mamujee π π π π
Umesema unaye mpenzi so ndio mieπππ au unanichora??Basi acha niendelee kusubiria atakayenielewa ππ
mfano mdogo umesomea mambo yako ya uchumi alafu Ex wako labda alikuzidi miaka 5 mda huo ameajiliwa bank flan akikupigia simu akupe mchongo wa kazi utakataa?Never
kabisa sikuhizi utasikia mwanangu nenda kwa mjomba flan ukafanya interview nishaongea nae hauwezi jua labda huyo mjomba ni Ex wa mama hahaha ila waliachana kwa mema.Yeah,sahihi
Oshey mr π°π€£π€£π€£niko 100% loyal kwa BabyCare
Nakupenda bidhaa ya Mamujee π π π π
Hakuna atakayezikwa na pesa mkuu....aliyeshindwa nithamini simpi thamani hata awejemfano mdogo umesomea mambo yako ya uchumi alafu Ex wako labda alikuzidi miaka 5 mda huo ameajiliwa bank flan akikupigia simu akupe mchongo wa kazi utakataa?
au unajua X ni mkuu wa NGO flani na unataka omba kazi hauwezi mtafuta?
Kama hawa wa mikopo ya kausha damu ndio wanagongwa kishenzi wapate pesa za marejesho ya kila siku.Pesa haitoacha kutudhalilisha kamwe...
Hata tufanye kipi pesa isipokudhalilisha wewae,itamdhalilisha mwengine
Sasa ndio maex watazidiHa ha ha,wamwibe tu kama anaibika ni shida yake
mwanamke wangu ni BabyCare ambaye ndiye namtamani muda wotekutamani wanawake baadaye utaahibika.
Oshey mr π°π€£π€£π€£Ndo maana baadhi yetu tumekataa ndoa.
#kataandoa
Mimi hujanielewa. Naendelea kusubiria mrembo atakayejitokeza na kunielewa πππUmesema unaye mpenzi so ndio mieπππ au unanichora??
You have guts hongera sana.Hakuna atakayezikwa na pesa mkuu....aliyeshindwa nithamini simpi thamani hata aweje
Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.
Tuache kuwa na macho mawilimawili, inaondoa heshima kwetu wenyewe. Tutulie basi, Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.
NB: Using'ang'ane na kisichokuthamini, itambue thamani yako. Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule. Pesa zisituvue utu wetu. Kwa mwanamke na mwanaume pia.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]