Ogopa sana mtu wa namna hii, tena kimbia!

Ogopa sana mtu wa namna hii, tena kimbia!

Mahusiano. Ya kukumbuka ex wako sio fresh maana unamrubuni wasasa na hutojua yupi unamtaka hapo ndio shida eti
napitia hii hahaha sema uzuri ex na current ni mtu na best ake...so my queen huwa anasema step zote anajua maana ex hatambui kitu..

Na nampenda current maana ndo alinitoa kwenye shida na manyanyaso ya X.. so am trying to love her namhudumia poa na jana tu nimetoka na haka katoto kaakenjoy mji
 
Aisee,ukipata mpenz au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo.Ana namba za maex wake wote,anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea....I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana....ndoa itakuwa haina amani.Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.

Tuache kuwa na macho mawilimawili....inaondoa heshima kwetu wenyewe.TUTULIE BASI....Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.

NB:using'ang'ane na kisichokuthamini.....itambue thaman yako.Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule.Pesa zisituvue utu wetu......Kwa mwanamke na mwanaume pia.🙏🙏🙏🙏
Usijali mimi maX nimewapiga X naahidi sitokukwaza.
 
pia unaangalia na ex gani unawasiliana nae...

Mimi X wangu mmoja hivi alietaka kuniunguza na Ngoma nawasiliana nae sana sababu kwanza mdada anacash yake, pili up stairs yupo vizuri , tatu alinisaidia kupata kazi kwenye office ya Baba ake Mimi na mdogo wangu.
Vizuri
 
wengine sio kwa wema....

kuna watu wanaweka visasi hata miaka 5... Sasa wewe jichanganye uteseke mbeleni

enjoy mahusiano current ili hata mkiachana iwe jumla, hudumia, hudumiwa, tokeni pamoja, zawadi zihusike, pia muwe na joint plans.... Mfano joint plan ni kila mmoja afikishe angalau 10milion hapo mkiachana unaakiba bank it's a win situation no matter what.
🤣🤣🤣🤣 Oo kumbe
 
Unabaki unaangaikaangaika.kutulia ni kitu muhimu sana
Ndio Wala hajui arudi huko au akae nawewe matokeo yake anakupotezea muda ila wanaume ni shida sana,wanawanawake wengi halafu akiwa kwako ana😝wapa majina feki sijui x,voda,Airtel kumbe uongoo
 
Ndio Wala hajui arudi huko au akae nawewe matokeo yake anakupotezea muda ila wanaume ni shida sana,wanawanawake wengi halafu akiwa kwako ana😝wapa majina feki sijui x,voda,Airtel kumbe uongoo
🤣🤣🤣🤣Hatari tupu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Oo kumbe
eee mtengeneze best moments za kutosha ila pia individual muwe mnapushiana kufikia malengo flani....

Mfano wewe anakupush unakuja pata kazi bandarini unaolewa na mwingine alafu yeye unampush anakuja pata kazi Tra anaoa hapo fresh tu hata chuki hautakuwa nayo...

Wengi tunachuki na ma Ex sababu tumefeli mishe nyingi za maisha sababu yao
 
eee mtengeneze best moments za kutosha ila pia individual muwe mnapushiana kufikia malengo flani....

Mfano wewe anakupush unakuja pata kazi bandarini unaolewa na mwingine alafu yeye unampush anakuja pata kazi Tra anaoa hapo fresh tu hata chuki hautakuwa nayo...

Wengi tunachuki na ma Ex sababu tumefeli mishe nyingi za maisha sababu yao
Yeah,sahihi
 
Back
Top Bottom