Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Kwakuwa kituo ninachofuata ni kwako ama kwa sababu gani.
nilikuwa nasikiliza wimbo wa zamani sana wa 2Pac "changes"
anasema;

"let's change the way we eat, let's change the way we live, and let's change the way we treat each other".....................things 'll never be the same"

somo;
tujifunze pia kusamehana ili kuondoa chuki na visasi kuendelea.
 
Yaani mitandao ni hatari sana. Hasa hii ambayo tunatumia majina bandia, mambo mengi ni fake na ya kufikirika...ogopa sana. Usishangae jamaa akatoka akiwa ameoshwa safi.
Kuna wanaotamani atoke akiwa safi, siwacheki! Hata Mimi nilitamani Simba iwapige Amakhosi 5, zikaishia 3 tu!
 
Dah,kwakweli dunia duara yaani sabaya ambaye alikuwa anagegeda kila siku tena pisi kali(yaani akikutamani ndo hivo tena) leo hiii anaweza kaaa miezi hajagegeda(hapa akizengua yeye ndo atagegedwa)inauma sanaa
 
Ikiwapendeza wale aolewe usiku huu huu wa leo na wale watemi wa selo!!
 
Kweli mkuu wa Wilaya anaweza kumpora mtu shilingi 35,000/= tena kwa kutumia silaha? Huu ni udhalilishaji tu Sabaya anafanyiwa. Mama Samia awe makini na huu ushabiki wa kipumbavu
 
Hayo mashitaka yameandikwa kwa lugha ya kifaransa kwani bado lugha yetu ya kiswahili haitumiki?
au ndio kiswahili kimeshapuuzwa?
kwa nini Lugha ya kiswahili inadharauliwa na waswahili wwnyewe?
hivi kweli viongozi wetu wa sasa wanayo nia ya kukitumia kiswahili au ndio tuendelee na kifaransa tu kama zamani?
maaana sielewi kabisa kilicho andikwa.
 
Bojana wazuri, wenye maadili na busara wapo lakini bahati mbaya marehemu alipendelea zaidi kuwateua waovu kama yeye kuliko kuwateua watu wema.

"Wewe nimekuteua kwa sababu ni kichaa kama mimi" - Hayati Magufuli.
Wameingizwa kwenye mtego nao wameingia kichwa kichwa, wenzao wanakinga ili hali wao hawana.

Mbona mwenzao Anthony Mtaka ameonekana kufata sheria, nadhani akina Ally Happi wanacha kujifunza.
 
Wakati wengine wanaangalia uhalifu wa sabaya wewe unaangalia matumizi ya kiswahili.[emoji17]
 
Nyapara mpaka saa hizi atakuwa ameisha piga goli 3 kwa Sabaya
 
Your browser is not able to display this video.
Huyu dwanzi amenyanyasa sana raia
 
Hizi comment zinajieleza namna watanzania walivyo magay japo wanajifanya kuukataa ugay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…