Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Ama kweli dunia duara

Ama kweli binadam wasijisahau kupitiliza kisa ya madaraka, utajiri, cheo, mamlaka au lolote lile.

Ama kweli malipizi ni hapa hapa duniani.
 
Mbona makosa machache watafute na mengine hata yafike 30 hivi.

Hayo anaweza kuchomoka.

Shida ni mahakama za bongo ovyo sana kama Lulu aliua na akatoka utashangaa na huyu kesho tu anakunywa bia mtaani.
 
Kama makosa yenyew ni haya tu jamaa anachomoka asubuhi na mapema sana yaani kabla jogoo hajawika. hapo makosa ni mawili tu akipanchi moja makosa matatu yanadondoka.
 
Dogo mimi ni mtu mwenye msimamo. Unaposema mimi bingwa wa kusifia madhalilu unakosea
Ukiambiwa uthibishe kwa ushahidi kihusu dhalimu utaweza?

Kama Sabaya ana makosa nini kulemba? Kwa nini msianze kusikiliza kesi?
Daah, wewe jamaa boss wako saivi kalala rumande. Ulipandisha nyuzi nyingi sana humu kumsafisha lakini wapi. Pole sana Mlaki
 
Maisha yanakwenda kasi sana,Duu Lengai Ole Sabaya anafikishwa mahakamani,ananyimwa dhamana?,Duuu hii dunia ni dunia ya maajabu sana,ndo hapa unaamini maisha hayana fomula
 
Tuishi na watu (wenzetu) vizuri, sponsor hufariki.
 
Kwa makosa haya sishangai jamhuri kuendelea kupoteza case .....hapo naona makosa hayazidi matatu au mawili kuna kosa moja akilipangua basi ana baki kujibu kosa moja halafu kazi inakuwa imekwisha.
 
Wakati wanatunga sheria ya kuwalinda viongozi, DCs walisahaulika. Huyu mutu makosa anayohukumiwa nayo yametokana na harakati za kutumikia ofisi ya umma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…