Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Monday 13 June 2022
Muscat, Tanzania

Nchi inazidi kufunguka, tulicheleweshwa sana.

1655116304288.png

Maulana mtukufu Sultani Haitham bin Tarik wa Oman akimkaribisha mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan katika kasri ya Al Alam kwa mazungumzo ya kikazi .
 
Mama anazingua sana Sasa hivi.

Anatuuza mchana kweupe, Hapo ametumia Tu lugha ya staha Ila kinacholengwa ni wild animals.


Now, nimeelewa sasa kwanini ilisemwa mwanamke ni kiumbe dhaifu even if amesoma Ila Bado haiondoi udhaifu wake wa kiasili.

Pamoja na mazuri yake Ila kwa haya yanayoendelea mama anatuangusha sana.

Namuombea kwa Mungu apate kuamshwa kwenye usingizi wa fikra.
Yote ni kwasababu ya janja janja ya CCM ,hawakuwahi kufikiria Mama atakuwa rais, asilaumiwe mama walaumiwe CCM
 
Hahaha mlimpuuza Lissu mpigania rasilimali zetu, mkaendekeza uchama
Unamzungumzia lissu yupi? Rule aliyesema tusipowauzia madini akina Amsterdam tutashitakiwa MIGA?
Unajuwa anaishi wapi?
 
Wabongo tatizo letu wengi ni ushamba umetujaa sana hata hatuelewi kipi kina faida kwetu au hakina
Ni kubisha kila kitu na huo sio akili bali ni kujiweka nyuma kwa kila kitu

Hata hii biashara ya mifugo Somalia wanafanya miaka kibao kupeleka saudia , Emirates na hata Oman
Ila wanajua biashara na hawana ujanja ujanja

Sisi kweli tunaweza kupewa fursa ya kupeleka wanyama au matunda lakini je hivyo viwango nani atakagua?

Nasema hivyo kwa sababu huko nyuma tumepeleka Tumbaku Zimbabwe na matokeo yake hawataki hata kutusikia na waliandika kwenye blogs nyingi duniani
Kweli mnaweka Mapembe ya Ng’ombe na battery zilizokufa na matofali ili kuongeza mzigo uwe mzito

Na hao wakaguzi ndio wanapewa rushwa wavushe mzigo

Tatizo letu kila mahali wizi

Huu uzi muufukue siku zijazo kuhusu hawa domestic animals watapigwa marufuku kwa sababu mtapeleka mpaka wagonjwa na ndio mwisho wa dili la mama
 
yaani apo watakao 'safirishwa' (kuibiwa) ni wild animals kama twiga, faru, tembo, simba & Nyati etc. na wala si domestic animals kitimoto, mbuzi au ng'ombe

UWT sijui wanakwama wapi, yaani wamelala usingizi wa pono wakati mama anaelekea kuihujumu nchi ya Tanganyika tena live kabisaa,
Kaka acha akili mgando Kama alikuwa nataka kuiba angetangaza ili iweje
 
Anasemaje🙆?
View attachment 2259291
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................

Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini
 
View attachment 2259291
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................

Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini
Matayarisho ya wanyama wa Ngorongoro kuwapisha wamasai.
 
Hapa wamelengwa wanyama pori tu,wanyama kama ng'ombe kusafirishwa hai ni kupeleka ajira nje tu
 
Back
Top Bottom