Ombi kwa Rais Samia: Japo wengi wape, wachache pia wasikilizwe, Hoja ya kufanya minimum reforms za Katiba ni hoja ya msingi sana kuliko hata Sheria!

Ombi kwa Rais Samia: Japo wengi wape, wachache pia wasikilizwe, Hoja ya kufanya minimum reforms za Katiba ni hoja ya msingi sana kuliko hata Sheria!

Maridhiano yametupiliwa mbali na CCM,

Na Kwakuwa HAKI haiombwi;

Maandamano ya Amani ndo njia pekee ya kuzibua masikio ya Watawala.

Karibu katika maandamano ya Amani Kwa mwamvuli wa PRESS Ili kuzipata hizo HAKI 3 muhimu!!
Na huyu Pascal Mayalla akumbuke kuwa, "... there's no sweet without sweat.."

Hakuna haki inayokuja pasipo kutoa jasho na wakati mwingine kufa kwanza na baadae kufufuka..

Yesu Kristo aliukomboa ulimwengu (watu na uumbaji wa Mungu) toka ktk mikono ya ibilisi - shetani Kwa gharama ya kumwaga damu na mauti..

Inaeleweka kabisa kuwa, katika harakati za kupambana na hayawani hawa (ma - CCM), damu zilishamwagika nyingi sana mfano kina Tundu Lissu, Mdude Nyangali, Ben Sanane, Alfonce Mawazo na wengine wengi..

Haina budi kabisa wachache waumie na ikibidi wafe au wamwage damu kwa ajili ya wengi kukombolewa..

Ushauri wako ndugu Pascal Mayalla haufai. Mungu muumba siku zote ni Mungu wa haki na huwalinda na kuwapa neema kubwa wenye haki..!
 
Na huyu Pascal Mayalla akumbuke kuwa, "... there's no sweet without sweat.."

Hakuna haki inayokuja pasipo kutoa jasho na wakati mwingine kufa kwanza na baadae kufufuka..

Yesu Kristo aliukomboa ulimwengu (watu na uumbaji wa Mungu) toka ktk mikono ya ibilisi - shetani Kwa gharama ya kumwaga damu na mauti..

Inaeleweka kabisa kuwa, katika harakati za kupambana na hayawani hawa (ma - CCM), damu zilishamwagika nyingi sana mfano kina Tundu Lissu, Mdude Nyangali, Ben Sanane, Alfonce Mawazo na wengine wengi..

Haina budi kabisa wachache waumie na ikibidi wafe au wamwage damu kwa ajili ya wengi kukombolewa..

Ushauri wako ndugu Pascal Mayalla haufai. Mungu muumba siku zote ni Mungu wa haki na huwalinda na kuwapa neema kubwa wenye haki..!
Mwl Nyerere angetumia ushauri autoao Mayala,

Hadi Leo tungekuwa utumwani.
 
Na huyu Pascal Mayalla akumbuke kuwa, "... there's no sweet without sweat.."

Hakuna haki inayokuja pasipo kutoa jasho na wakati mwingine kufa kwanza na baadae kufufuka..

Yesu Kristo aliukomboa ulimwengu (watu na uumbaji wa Mungu) toka ktk mikono ya ibilisi - shetani Kwa gharama ya kumwaga damu na mauti..

Inaeleweka kabisa kuwa, katika harakati za kupambana na hayawani hawa (ma - CCM), damu zilishamwagika nyingi sana mfano kina Tundu Lissu, Mdude Nyangali, Ben Sanane, Alfonce Mawazo na wengine wengi..

Haina budi kabisa wachache waumie na ikibidi wafe au wamwage damu kwa ajili ya wengi kukombolewa..

Ushauri wako ndugu Pascal Mayalla haufai. Mungu muumba siku zote ni Mungu wa haki na huwalinda na kuwapa neema kubwa wenye haki..!
Mkuu Uzima Tele, hili kuhusu haki sio hisani, ni stahiki, na hailetwi kwenye kisahani cha chai, inapiganiwa na sometimes kwa gharama ya machozi, jasho na damu, Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki

Kwa vile Mama ameonyesha kwa kauli na matendo Haki Huinua Taifa! Rais Samia kwa Kauli na Matendo ameonesha ni mtu wa Haki. Akitekeleza hili kama alivyosema, atabarikiwa, Tanzania itabarikiwa
na Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
P
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu la wachache ndio wakapewa, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia.

Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa.

sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Tatizo unayemueleza ana ufahamu huo
Elimu yake inamuwezesha kuelewa hili?
 
Tatizo unayemueleza ana ufahamu huo
Elimu yake inamuwezesha kuelewa hili?
Maza, japo sii mwanasheria, ila yuko vizuri sana kwenye uelewa na nimeeleza hapa Rais Samia Japo Si Mwanasheria, Lakini Anaijua Katiba ni Sheria Mama Yenye Haki Zote Ndani ya JMT. Je Aruhusu Haki Hizi Ziporwe Tena? Au, Azirejeshe?

Na pia nikamuombea msamaha kuhusu huu muswada wa sheria ya uchaguzi wenye ubatili Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi. Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!
P
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu la wachache ndio wakapewa, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia.

Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa.

sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Mambo ya kijitabu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
S
Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.
Sema ukweli nao utakuweka Huru.

Hongera Pascall.

Nina imani hii ni Voice from Within.
 
sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.
Natamani kusikia Rais Samia angejibu nini kwenye hili Swali lako.
 
Well written. Kuna vimabadiliko vinawezekana kabla ya 2025. Vifanyike tu mapema wale tegemezi ambao wanaona vitawaletea madhara kwenye ndoto zao wataji-adjust na wata-survive. Kuna kitu mimi kinanipa matumaini na Mwenyekiti wetu,nacho ni historia yake ya usikivu na kwenda kinyume na mategemeo ya waliomzunguka kwa maslahi ya nchi bila aibu. Haikuwa rahisi kumuita Mbowe Ikulu,haikuwa rahisi kwenda kwenye maridhiano,hatua zote hizo zilipingwa na baadhi ndani ya chama na najua hata sasa lipo ambalo litafanyika kwa maslahi ya Taifa hili.
Sasa sijui kipi kimeshindikana mpaka mambo yamekuwa vile wakaja na miswaada ile isiyo na mbele wala nyuma.

Inawezekana mafisadi wana nguvu sana.
 
Well written. Kuna vimabadiliko vinawezekana kabla ya 2025. Vifanyike tu mapema wale tegemezi ambao wanaona vitawaletea madhara kwenye ndoto zao wataji-adjust na wata-survive. Kuna kitu mimi kinanipa matumaini na Mwenyekiti wetu,nacho ni historia yake ya usikivu na kwenda kinyume na mategemeo ya waliomzunguka kwa maslahi ya nchi bila aibu. Haikuwa rahisi kumuita Mbowe Ikulu,haikuwa rahisi kwenda kwenye maridhiano,hatua zote hizo zilipingwa na baadhi ndani ya chama na najua hata sasa lipo ambalo litafanyika kwa maslahi ya Taifa hili.
Rais Samaia atafanya kitu kuhusu katiba kabla ya uchaguzi serikali za mitaa ili kuleta maelewano ya kitaifa kwa msingi wa 4 R wengine ndani ya CCm wasingependa kwa sababu zao. Taifa linasononeka. Mama tulipofikia okoa Taifa,weka Legacy
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu la wachache ndio wakapewa, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia.

Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa.

sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
 

Attachments

  • Screenshot_2023-08-17-16-20-00-45.jpg
    Screenshot_2023-08-17-16-20-00-45.jpg
    41.8 KB · Views: 2
Sema ukweli nao utakuweka Huru.

Hongera Pascall.

Nina imani hii ni Voice from Within.
Mkuu Bush Dokta, hii sio voices from within, hii ni sauti tuu ya katiba ya JMT ya mwaka 1977. Katiba ndio the supreme law, ndio sheria mama inayotoa haki zote, Serikali, Bunge na Mahakama ziko chini ya katiba, hazina uwezo wala mamlaka kuondoa haki yoyote iliyotolewa na katiba. Katiba ikatoa haki ya kuchagua na kuchaguliwa, Serikali yetu na Bunge letu likaibakiza haki ya kuchagua, lakini zikaipora haki ya kuchaguliwa na kulazimishwa lazima kwanza ujiunge na chama cha siasa, uwe mwanachama wa chama cha siasa, uombe ruhusa kwa chama cha siasa, kikuruhusu, kikudhamini ndipo ugombee uongozi!.
P
 
Wanabodi,

Kwa sisi tuliokuwepo enzi za Tume ya Jaji Nyalali kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu kuendelea na mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, asilimia 80% ya Watanzania walitaka tuendelee na mfumo wa chama kimoja, ni asilimia 20% tuu ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, lakini Rais Mwinyi aliongozwa na busara, badala ya wengi wape, wengi akawasikiliza tuu la wachache ndio wakapewa, na Tanzania tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, bila kubadili katiba, ambapo mpaka leo, mpaka kesho, japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, lakini katiba ya JMT ya mwaka 1977 bado ni katiba ya chama kimoja, uwanja wetu wa mchezo wa siasa ni uwanja tenge, umelalia upande wa chama kimoja, hivyo wale wengi waliokataa vyama vingi, bado wanaendelea kukichagua chama chao kimoja kile kile mwaka hadi mwaka, na bila mabadiliko ya kweli ya katiba, chama hiki kinaendelea kutawala Tanzania milele!.

Mada ya leo ni kuhusu haki, ya wengi wape, ila wachache pia wasikilizwe. Katiba ndio sheria mama inayotoa haki zote za watu wote wa Tanzania. Hili ni ombi kwa jicho la Rais Samia na sikio la Rais Samia kuziangazia haki tatu kuu kwenye katiba yetu ambazo zimeporwa na serikali zilizotangulia.

Serikali, Bunge, Mahakama, hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki yeyote iliyotolewa na katiba, kwasababu katiba ni supreme na mihimili hiyo yote mitatu iko chini ya katiba!.

Awamu zilizopita, mihimili miwili, Serikali na Bunge zimepoka haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa zilizotolewa na Katiba ya JMT ya mwaka 1977, Serikali yetu na Bunge letu zilipata wapi uwezo na mamlaka ya kuzipora haki hizi?!.

Mpaka hapa ninapoandika haki hizi bado zimeporwa!. Mtanzania hana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, kwasababu haki ya kila Mtanzania kugombea imepokwa na kakikundi kadogo ka watu wanaoitwa chama cha siasa. Chama cha siasa ndio kimepewa mamlaka ya kuamua nani agombee na sio wananchi!, matokeo yake wananchi wanalazimishwa kuchagua viongozi walioletewa na vyama vya siasa kitu ambacho sio sahihi kabisa!, sio haki na ni dhambi!, usikute ndio sababu karma kila siku inawatafuna baadhi ya viongozi wetu!.

Sasa tunaye Rais Samia Suluhu Hassan. Ujio wa Rais Samia ni fursa kwa Watanzania kurejeshewa haki katiba zilizoporwa. Ila japo Rais Samia ni fursa, iliyokuja kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, na Rais Samia, analiishi jina lake la Suluhu kwa kauli na matendo kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa kisiasa unaolikabili taifa letu, na tayari ameonyesha kwa kauli na matendo anataka maridhiano ya kweli ndio maana amekubali kubadili sheria mbalimbali, mabadiliko haya ni fursa ya kuzirejesha haki za msingi za Watanzania zilizoporwa.

sasa kwa vile mzizi wa fitna uko kwenye katiba, jee Rais Samia ataichangamkia hii fursa by practicing what she preach? Au kwa vile aliyezipora haki hizo sio yeye, yeye kaingia kazikuta zimeishaporwa na sasa anachofanya yeye marekebisho cosmetics tuu ya sheria, lakini zile haki porwa za katiba, haziguswi!.

Kufanya mabadiliko ya Sheria mbovu bila kuigusa katiba, je sio inamaanisha she was just paying lip services by not practicing what she preaches?.

Naomba kuanza kwa kurudia kuhusu katiba
  • Katiba ni Nini?. Katiba ni kakitabu kadogo tuu chenye kkurasa kadhaa. Kakitabu haka ndio kila kitu kuihusu Tanzania yetu, hakuna yeyote aliye juu ya Katiba.
  • Katiba ni ya Kazi Gani. Katiba ndio msingi Mkuu na muongozo wa uendeshaji wa nchi yetu, aambapo inatoa haki zote, sheria zote, taratibu zote na kanuni zote, za kufanya kila jambo, lazima zitokane na katiba.
  • Katiba ni ya Nani? Katiba hii imetungwa na Bunge maalum kwa niaba ya Wananchi,kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia.
  • Katiba hii imetoa haki fulani fulanj kwa Watanzania, haki hizo ziko nyingi, lakini haki kuu ni haki 3. Uraia, Kuchagua, na Kuchaguliwa!. mimi nitajikita kwenye haki 3 Kuu za Mtanzania.
  • Haki kuu ya kwanza ni haki ya uraia. Mtu yoyote akizaliwa ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu huyu anakuwa ni raia wa Mtanzania kwa kuzaliwa, haki hii ni haki ya kwanza ya msingi ambayo ni haki ya kuwa Mtanzania. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote, ila unaweza kuipoteza endapo utaukana Uraia wako. Hivyo ile sheria yetu ya kuwa mtu akichukua uraia wa nchi nyingine yoyote, anaupoteza Utanzania wake, ni sheria batili kinyume cha katiba, ila ubatili huu, haujabatilishwa kwasababu hakuna aliyefungua shauri mahakamani kuipinga. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Katiba ni mali ya wananchi, "we the people"
  • Haki kuu ya pili ni haki ya kuchagua iliyotolewa na ibara ya 5 ya katiba ya JMT. Haki hii ni kila raia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18, ana haki ya kuchagua kiongozi wake. Haki hii inatekelezwa kwa kila mtu kujiandikisha kupiga kura. Haki hii haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii imefinyangwa finyangwa kwa baadhi ya watu kunyamaza haki hii, kwa kufungwa magezani, wagonjwa mahospitalini, na Watanzania walioko nje ya nchi. Kufuatia maendeleo makubwa ya Teknolojia, na andikishaji unaotumia BVR hivyo kwa kutumia biometric data, kitambulisho cha taifa au passport ambavyo vyote vina biometric data, vinaweza kutumika kuwawezesha Watanzania wote popote walipo kumchagua Rais wa Tanzania na rais wa Zanzibar popote pale walipo.
  • Haki kuu ya tatu ni haki kuchaguliwa kupitia ibara ya 21 ya katiba ya JMT kwa mtu mwenye miaka 21, yuko huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu. Haki hii ni haki ya msingi na haiwezi kuondolewa na mamlaka yoyote. Kwa Tanzania, haki hii ya kila Mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi na kuchaguliwa imefutwa kwa kuchomekewa shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Shurti hili ni batili!.

Hitimisho
Waungwana wanapotaka jambo lao kubwa, wakakaa pamoja kukubaliana, na kukuta wamepewa kidogo tuu ya kile walichotarajia, hawaziri, hawasusi, wala kutaka kupeleka watu barabarani, waungwana, hupokea kidogo walichopata na kuendelea kuomba kikubwa.

Kwa vile matatizo makubwa ya siasa zetu yako kwenye katiba, tulianza mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja, ili kuwatendea haki Watanzania, tunaendelea kumuomba kwa unyenyekevu Rais wetu Samia Suluhu Hassan, aendelee kuliishi jina lake kwa kuleta suluhu ya kweli ya mtanziko wa siasa zetu, kwa kupokea maoni ya wengi, wanaomkubali kwa makubwa na mazuri anayoyafanya, lakini maoni ya wachache wanaotaka tufanye kwanza mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms, pia wasikilizwe ili tufanye mabadiliko ya Sheria ziwe ni sheria za haki kwa wote, wengi wape, wachache pia wasikilizwe.

Mungu Mbariki Rais Samia Aweze.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Pascale hilo la kusema kuwa Mwinyi alitumia busara kuikubali 20% kwenda kwenye mfumo wa vyama vingi siyo kweli kuwa aliamua hivyo kwa hiari yake au mapenzi yake.

Kipindi hicho viongozi wote wa Afrika walikuwa chini ya mbinyo wa jumuia za kimataifa hasa wale wahisani wa maendeleo yetu kiuchumi.

IMF na WB walilazimisha nchi kuingia kwenye mfumo wa kidemokrasia wa vyama vingi.
 
Mimi bado najifunza Katiba mpya ya Kenya

Naona Ruto anaipondaponda Mahakama kana Kwamba si Muhimili wa Dola
Hawezi kuipanda panda bali anajaribu lkn amekutana na wana sheria wapo imara.

Mbona juzi kanyoosha maelezo kwa umma kuhusu mahakama?
 
Back
Top Bottom