Ombi kwa Rais Samia: Japo wengi wape, wachache pia wasikilizwe, Hoja ya kufanya minimum reforms za Katiba ni hoja ya msingi sana kuliko hata Sheria!

Muda hautoshi, white paper inahitaji ushirikishwaji wa wadau , kwa walau mwaka mzima.

Tuendelee kutoa elimu kwa wadau kwanza waelewe, hasa wananchi, chadema wao wanapigania madaraka na vyeo tu, hawana ajenda za wananchi
πŸ™„πŸ€”
 
πŸ€”πŸ’­
 
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ™
 
🀣🀣🀣
 
Naunga mkono hoja
 
Mimi bado najifunza Katiba mpya ya Kenya

Naona Ruto anaipondaponda Mahakama kana Kwamba si Muhimili wa Dola
Kenya ni Kenya na Tanzania ni Tanzania, Wakenya ni Wakenya na Watanzania ni Watanzania.

Kwa wenzetu Kiti cha Jaji Mkuu kikiwa wazi, nafasi inatangazwa, wenye sifa wanaomba, huku CJ, anateuliwa, hivyo unategemea mteuliwa wa hisani, anaweza kusimama wima bila ku bow down kwa mteuzi?. Kenya anaweza!.
P
 
Ta
Muda hautoshi, white paper inahitaji ushirikishwaji wa wadau , kwa walau mwaka mzima.

Tuendelee kutoa elimu kwa wadau kwanza waelewe, hasa wananchi, chadema wao wanapigania madaraka na vyeo tu, hawana ajenda za wananchi
Tangu 1977 Hadi sasa, ni miaka 47,

Muda wote huo haijawahi tosha?

Bila Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya, HAPATAFANYIKA UCHAGUZI WOWOTE WA HAKI.

Karibu maandamano ya Amani ya tarehe 24 January.
 
Kabisa
 
mbowe alikuwa anagombana na viongozi waliochini yake, wengine wakimkosoa na madhiriano yake, ila leo ukiona hadi mbowe kakubali kuwa meza haileti matokeo, basi ni wazi ccm haina nia ya kubadili chochote, inataka kutawala milele kwa mgongo wa old and retired constitition.
kwahyo kupiga magoti na kumuomba "mama" asaidie ni uwongo maana naye pia ni mnufaika.
 
Yule mama CJ wa Kenya ameomba kukaa Meza moja na Ruto wazungumze LAKINI wananchi wamemgomea wakidai anavunja Katiba

Mambo yanachanganya Sana!
 
Yule mama CJ wa Kenya ameomba kukaa Meza moja na Ruto wazungumze LAKINI wananchi wamemgomea wakidai anavunja Katiba

Mambo yanacganganya Sana!
Angalau inaonyesha Strong institutions zinavyoweza kukubaliana au kutokukubaliana hadharani kwa mujibu wa Katiba inavyotaka !!

Na Wananchi wanapata nguvu ya kupaza sauti zao !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…