cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute unakaa kwa Shemeji yako muda huu unasubiria Dada wa kazi akuite unywe chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute unakaa kwa Shemeji yako muda huu unasubiria Dada wa kazi akuite unywe chai
Wahuni watamalipia hiyo Hela na ataondoka tuNi njia rahisi tu ambayo Fei Toto anatakiwa aifate ili aachiwe huru aondoke, nayo ni kwenda yanga kutajiwa thamani yake ambayo kwa upembuzi wa haraka haraka si chini ya milioni 350, alipe aondoke kiroho safi vinginevyo hakuna huruma itakayomuokoa.
Sheria, kanuni na miongozo ya FIFA na CAF iko wazi na sio suala la kihisia au huruma ya mtu!
Eng. Hersi shikilia hapo hapo dawa ya kiburi ni jeuri!
Wahuni wakimtaka watailipa tuHizo 350M zinatoka wapii?? Akati signing Fee ni 100M na mshahara miezi 3 ni 12M, jumla ni 112M
au unadhani hilo dau wanataja km vile unauza Mbolea za Ruzuku?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnalooo hilo, pyeee pyeeee pyeee Fyuuuuuuh
Yaan kuvunja mkataba isifike 200mil halafu release clause ndio iwe 350mil haya nayo ni maajabu.Ni njia rahisi tu ambayo Fei Toto anatakiwa aifate ili aachiwe huru aondoke, nayo ni kwenda yanga kutajiwa thamani yake ambayo kwa upembuzi wa haraka haraka si chini ya milioni 350, alipe aondoke kiroho safi vinginevyo hakuna huruma itakayomuokoa.
Sheria, kanuni na miongozo ya FIFA na CAF iko wazi na sio suala la kihisia au huruma ya mtu!
Eng. Hersi shikilia hapo hapo dawa ya kiburi ni jeuri!
Maana agizo lile linaweza kuipatia Azam au Simba mchezaji wa bure kwa njia za haramu, baada ya swala la fei toto kumalizika kwa njia za kiserikali hakuna mtu atakaeweza kuzuia Yanga pia kumrubuni mchezaji wanaemtaka kutoka timu nyingine hata kama atakuwa na mkataba wa miaka mingapi. Formula itakuwa hiihii ya Fei toto formula.Na Ghalib hayupo tayari kwa hilo.
Fei ni mtoto mdogo sana, apewe ushauri sahihi kwa manufaa yake na watoto wenzake walioko kwenye mpira ili waendeleze vipaji na vipato vyao. kama tutatumia njia za mkato hatutakuwa tunawasaidia vijana na mpira wenyewe.We mwehu kabisa umeisikia hotuba yake kuhusu wafanyabiashara kina gharibu waliowekeza pale yanga? Kawaambia wapige kazi akuna atakayewagusa wala kuwabinya waendelee kumwaga mpunga kwenye mpira na mungu aendelee kuwabariki, kwaiyo kauli yako ya kuumiza biashara zao inakufa kifo cha kawaida, Fei afate utaratibu vinginevyo ataendelea kuumia mwenyewe
kweli kabisha. Hakusema wamuachie awe huru kuondoka, aliomba wamalizane, sasa kumalizana ni kumwacha aondoke bila kuuzwa? Msimmezeshe mama maneno yenu ya kipuuzi. Hapa kuna wajibu kwa Yanga na kuna wajibu kwa Fei toto pia.Muwe Mnasikiliza vizuri.
Rais ALISEMA NYIE mmeniomba na Mimi niwaonbe jambo Moja.
KLABU kubwa kama yanga kuwa na migogoro na wachezaji haipendezo.
Akaomba wamalizane na Toto.
Rais AMETOA Ombi.
Kutoa ombi si AMRI.
HAJA VUNJA KANUNI YOYOTE ILE.
Tatizo Yanga sio mali ya Ghalib wala Hersi. Ingekuwa timu kama Azam ingekuwa fasta tu. Maamuzi yoyote yasiokuwa na maslahi na Yanga ni sababu tosha ya kuwanyang'anya timu yetu. Maana hii inaweza kusababisha wachezaji wote wazuri wakaondoka Yanga kwa njia hiihii ya Fei.Kwani si wamesikia amesema" uzuri GSM hatumbinyi kwenye biashara zake"
Mbolea za ruzuku tena jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Hizo 350M zinatoka wapii?? Akati signing Fee ni 100M na mshahara miezi 3 ni 12M, jumla ni 112M
au unadhani hilo dau wanataja km vile unauza Mbolea za Ruzuku?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnalooo hilo, pyeee pyeeee pyeee Fyuuuuuuh
Yanga ifuate kanuni za Fei badala ya Fei kufuata kanuni za Yanga. Yaani unataka kusema hata TFF walivyosema Fei ni mchezaji halali wa yanga nayo haina akili?Basi subilia embe chini ya mnazi kwa hizo akili zako, Usifikiri kila sehemu ombi la Rais linafanya kazi, ombi la Rais litafanyiwa kazi na fei mwenyewe kufata utaratibu na sio vinginevyo akatajiwe dau lake alipe aondoke zake
Hakuna wali wa bure jijini dar.[emoji1787]Si mlikuwa mnafurahia kupewa ndege, millions za magoli, na pilau la Ikulu?...Haya sasa limewakwama kooni.
Na lile pilau mlilokula juzi I can imagine the harufu of ushuzi mnaoutoa huko nyuma kwenye mwiko. [emoji38][emoji1787]
Hata ikiwa kumtaka alipe Faini, haifiki hiyoo.Wahuni wakimtaka watailipa tu
Subiri uone[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na mtoto Amesema kama bado wana mahaba naye,yule injinia uchwara raia wa Somalia,aondoke yanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]