Ombi la Rais kuhusu Fei Toto kwa Yanga ni agizo lakini lisivunje kanuni za FIFA

Mbolea za ruzuku tena jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndiwoooo
 
Suala hapa ni kuachana na Fei. Weka dau la Fei mezani na sababu zenye mantiki alilipe aondoke. Akishindwa ni suala jingine.
Huo ndio ukweli wenyewe wa kulimaliza hili tatizo. Yanga toa dau lenu ili wanaomtaka Fei na hata wale wanaomhurumia Fei wajichange. Na dau lenyewe liwe halisia lisilokuwa la kukwamisha (value for money)
 
Huo ndio ukweli wenyewe wa kulimaliza hili tatizo. Yanga toa dau lenu ili wanaomtaka Fei na hata wale wanaomhurumia Fei wajichange. Na dau lenyewe liwe halisia lisilokuwa la kukwamisha (value for money)
Dau lake si chini ya 350milioni, iyo wala ahiitaji uwe na elimu ya chuo kikuu
 
Huo ndio ukweli wenyewe wa kulimaliza hili tatizo. Yanga toa dau lenu ili wanaomtaka Fei na hata wale wanaomhurumia Fei wajichange. Na dau lenyewe liwe halisia lisilokuwa la kukwamisha (value for money)
Kabisa mkuu
 
Andaeni press ya kumsahiiisha Rais kuwa alikosea alichosema na sheria za FIFA aziingiliani na serikali...nipo apa apa JF nasubiria mrejesho[emoji16][emoji16]
Mama hajakosea kitu chochote kuomba swala limalizwe. Ni yanga na Fei wakae waone watalimalizaje. Kama Fei ataitwa na yanga akagoma kwenda basi Yanga watamwambia mama kuwa mtoto amegoma kuja klabuni walizungumze, lakini kwavyovyote vile Yanga na fei lazima wakutane.
 
Ukiona mtoto anadeka ujue kuna mtu mzito nyuma ya pazia.
La mtoto anakuwa mtiifu sana kama yuko mwenyewe tu.
Kutokana na mafanikio iliyoyapata yanga hata baada ya FEI kuingia mitini, hata Fei mwenyewe amejiona kuwa hakuwa na umuhimu sana kivileee, nadhani wanachokiogopa viongozi wa yanga ni kukiuka kanuni na taratibu ambazo zinahitajika kuheshimiwa na wachezaji wote 100% ili kuogopa ku set presidency (reference) kwa wachezaji wengine baasi, Hata Yanga wenyewe wamemchoka ila kwaajili ya maslahi ya timu ya yanga hawawezi kuamua kumfukuza kama mali yao binafsi/

Hakuni timu madhubuti yenye lengo la kushinda vikombe vikubwa ingependa kusajili mchezaji ambao anaweza kuonddoka kwenye timu siku moja kabla kabla ya mechi muhimu. Yaani Mayelle aondoke kwenye timu siku moja kabla ya mechi na Marumo Gallants nkwakuwa anadai alipwe.
 
Kwa hiyo Raisi akasikia Nina mgogoro na Mke wangu na akanirai tukayamalize, Hapo atakuwa amemaanisha nikatoe talaka? Hata kama hiyo talaka inatakiwa kwa njia zisizo sahihi kwa mujibu wa mkataba wa Ndoa na Dini yetu?
 
Utopolo bana kila siku kuota tu..imeisha hiyo. Agizo la rais ni Amri. Mama amesema anasubiri mrejesho
 
Kwa hiyo Raisi akasikia Nina mgogoro na Mke wangu na akanirai tukayamalize, Hapo atakuwa amemaanisha nikatoe talaka? Hata kama hiyo talaka inatakiwa kwa njia zisizo sahihi kwa mujibu wa mkataba wa Ndoa na Dini yetu?
Ukiwa na mgogoro na mkeo na mkeo hakutaki suala sio mkeo tena, suala ni mkataba wa hiyo ndoa yenu unasemaje iwapo mmeshindwana. Mume ukigoma kumuacha mkeo aliyepata mwanaume mwingine utaambiwa kistaarabu kakae na mwenzako mmalizane, ukishindwa kumshawishi kuna nguvu tofauti na wewe itavunja hiyo ndoa.

Yanga wameambiwa nendeni kamalizaneni na Fei. Ni suala la kumshawishi Fei, wakishindwa huo mkataba utavunjika tu.
Iwe ni CAS, Fei kuamua hachezi tena mpira au Raisi kuingilia ila mkataba utavunjika.
 
Rais amewaagiza Yanga, lakini Fei asitarajie Yanga wamfuate. Fei ndiye anapaswa kwenda Yanga, maana hakufukuzwa ni mtoro wakati ni mchezaji halali.

Fei na wapambe wake wasije wakajiona washindi, agizo la rais kwa Yanga ni kama amewaomba wamsikilize, wala hakua na maana ya kwamba wamuachie aondoke au wamlazimishe kubaki, bali wamalize mivutano.
So, Fei asivimbe kichwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na mtoto Amesema kama bado wana mahaba naye,yule injinia uchwara raia wa Somalia,aondoke yanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani patamuuu hapoooo.
 
Ukituzwa mpiga ngoja huwezi jichagulia wimbo wa kupiga mshatuzwa tulieni dawa iwaingie😂😂
 
yatamalizwa km raisi anavyotaka ila kwa taratibu zinavyotaka
 
yatamalizwa km raisi anavyotaka ila kwa taratibu zinavyotaka
Raisi anataka Fei acheze mpira.
Na Fei hataki kuichezea Yanga kama Injinia atakuwepo Yanga.

Kama kufuata taratibu kwanini nyie hamtaki kufuata taratibu za Ardhi ili kupata Ardhi zaidi hapo Jangwani ?

Kanuni za kupata Ardhi hamzijui hadi mumuombe Raisi kwa Maneno ?

Fuateni taratibu za kupata Ardhi.

Mwacheni Fei acheze anakutana au mwondoeni injinia ili kijana arudi Jangwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…