Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Kumbe alikosea ?wapi tenaHii vizara Lukuvi aliitendea haki na hakika aliimudu mujarab kabisa.
Kama ni makosa alimpara mama, basi mama anapaswa kumsamehe kama alivyo wasamehe wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe alikosea ?wapi tenaHii vizara Lukuvi aliitendea haki na hakika aliimudu mujarab kabisa.
Kama ni makosa alimpara mama, basi mama anapaswa kumsamehe kama alivyo wasamehe wengine.
No, ni graduate wa Open University, LawNasikia Hana elimu kubwa ila Ni mtaalamu Sana kaishia fom 5 ya zamani
tunasema utendaji wa kazi as waziri wa ardhi not as waziri wa diniTatizo mdini sana na alidhihirisha mbele ya waumini kanisani akiungwa mkono na wachungaji
Hawezi kurudi hata aroge hafai
Whatever the case bado ni uadui tutunasema utendaji wa kazi as waziri wa ardhi not as waziri wa dini
Kuna uzi mmoja hapa ndani watu walihadili sana hiyo issue ya Lukuvi mkuu, ngoja niutafute niupandishe.Kumbe alikosea ?wapi tena
Huku kwetu tulishaanza mchakato wa kupimiwa ardhi ili kupewa hati za nyumba na tulishafikia hatua ya kuwekewa beacon . Tangu Lukuvi aondoke kila kitu kimesimama!Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake. Hiyo wizara ya ardhi kabla hajapewa Lukuvi ilikuwa na matatizo makubwa sana. Na sasa tangu Lukuvi aondoke ni kilio nchi nzima dhuluma ya ardhi kwa masikini na rushwa vimetamalaki upya.
Kiukweli kabisa jamaa alijitahidi sana kuirekebisha hiyo wizara. Suala la yeye kurudishwa au kutorudishwa bado litabaki kwa mheshimiwa raisi kwani yeye ndiye pekee anayejua kwa nini alimuondoa hapo ardhi na kumpumzisha.
Weeh lile she.tan lirudi Ardhi? never 🤔Watu wapo wengi wa kufanya kazi sio lazima arudi huyo Lukuvi.
Kashakaa serikani miaka kibao bado mnataka arudi siku akistaafu au akifa inamaana wizara nayo itakufa?
Hakuna haja ya kumrudisha watafute mbinu za kuleta efficiency tu.
Hakunaga hati ya nyumba🤣ni hati ya kiwanja,wabaneni hiyo kampuni mliyowapa hela za upimaji wakamilishe kazi🙏Huku kwetu tulishaanza mchakato wa kupimiwa ardhi ili kupewa hati za nyumba na tulishafikia hatua ya kuwekewa beacon . Tangu Lukuki aondoke kila kitu limesimama!
Tanzania ina watendaji wengi...Sio lazima arudi yeye..Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Nchi hii kwa sasa kama Mfalme wa Msoga Kingdom hakutaki hupati nafasi!Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Kosa lake kuutaka Urais ambao pia January na Mwigulu Wana utaka.Hii vizara Lukuvi aliitendea haki na hakika aliimudu mujarab kabisa.
Kama ni makosa alimpara mama, basi mama anapaswa kumsamehe kama alivyo wasamehe wengine.
Mbona Mkuchika yupo tangu enzi za Mwalimu Nyerere,kuna zambi gani Lukuvi akirudi?Watu wapo wengi wa kufanya kazi sio lazima arudi huyo Lukuvi.
Kashakaa serikani miaka kibao bado mnataka arudi siku akistaafu au akifa inamaana wizara nayo itakufa?
Hakuna haja ya kumrudisha watafute mbinu za kuleta efficiency tu.
Mkuchika alitolewa lini na kurudishwa?Elew logic sijawahi kukataa Lukuvi kuwepo ila mambo ya kutolewa na kurudishwa ndio nayopinga. Watanzania wako wengi wanaofaa.Mbona Mkuchika yupo tangu enzi za Mwalimu Nyerere,kuna zambi gani Lukuvi akirudi?
Kwasasa mtawalaumu mawaziri tatizo linapokuwa ma la mfumo no way out waziri anaweza kuonekana anafanya kazi!!kwani wanaomkwamisha ni viongozi wa ndani ya serikali na chama!!ardhi ya wananchi inachukuliwa na muwekezaji,kihuni waziri anaenda anawasikiliza inaonekana wananchi wana haki,upande mwingine anaibuka waziri mkuu,au VP,anasema muwekezaji asisumbuliwe!!limeisha hilo,mtaenda mahakamani mtashinda sawa,ngoma kwenye utekerezaji wa hukumu hakuna!!!Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Lukuvi ni darasa la 7, lkn aliyoyafanya ni zaidi ya hao maprof. wa sasa.Nasikia Hana elimu kubwa ila Ni mtaalamu Sana kaishia fom 5 ya zamani