Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.

Kidumu CCM
#matege
Utaota nyasi na wataishi nyoka, nnge na kenge
 
Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.

Kidumu CCM
#matege
Avatar ya mtu inaakisi mawazo na roho ya binadamu huyo alivyo.

Haiendi mbali na sura halisi ya avatar hiyo, yaani inacheza mule mule daadek!
 
Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.

Kidumu CCM
#matege
Nilijua hili litatokea ila sikujua kama ni haraka hivii Mwacheni Mungu aitwe Mungu jamani 🙏
 
Mi nipo GEITA hakuna hizo huduma.za ndege pande hizi...nafikiri ungetumika kuanikia mazao ya shambani na ziwani...badala ya kuharibika

Mi nipo GEITA hakuna hizo huduma.za ndege pande hizi...nafikiri ungetumika kuanikia mazao ya shambani na ziwani...badala ya kuharibika kabisa
Acha uongo, hujafika Chato.

Huduma za ndege zipo kila Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi
 
Back
Top Bottom