Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Mwaka 2010 na 2015 kulikuwa na midahalo mingapi? Halafu kukiwa na mdahalao huo, nina wasiwasi Lissu ataumia sana kwa sababu yeye atakwenda kuzungumza kwa hasira dhidi ya Magufuli ambaye amekuwa anamshmabulia kwenye vyombo vya habari vya nje kwa muda mrefu sasa.

Statement zake nyingi huwa ni za kuropoka na wakati mwingi huwa hazina ushahidi. Magufuli atakwenda pale akiwa na takwimu zote kichwani pamoja na vifungu vya sheria vinavyotawala maamuzi yote aliyowahi kufanya halafu na kusisitiza kwa uchungu kuwa hiyo ni kwa ajili ya watanzania maskini wa kawaida, maneno ambayo yanaweza kuwa na effect sana kwa wapiga kura kuliko maneno ya kinadharaia ya kwamba et i"nitajenga demokrasia ya kweli" au kuuliza kwa "nini kamera zilizimwa"

Wakati mwingine kuwa makini na lile uliombalo. Anayeweza kujenga mdahalo mzuri labda ni Mbowe tu; hata Zitto pia huwa hawezi.
 
Wachana na Rais Magufuli Hata Mimi ukiniambia nifanye mudahalo na T.Lissu nimueleze mafanikio yangu katika maisha yangu kwa Sasa siwezi nasema siwezi kutana na huyo mtu na hiyo nikutokana na mdomo wake mchafu usiyokuwa na sitaha.

Ila Mh. Mbowe twaweza kaa kuyajenga maana amejaa busara ndani yake.
 
Dawa ya Magu imepatikana ataimeza kwa kadri madactari watakavyoona Kipenga hakijapulizwa ana kipingamizi.... already
Sky is not a limit any more there is a footprint on the moon
 
Haahaa nyie mnataka kibetri kizime kabla hatujafanya uchaguzi.kwani kwa lugha gani? Labda amtume polepole kidogo
 
Mwaka 2010 na 2015 kulikuwa na midahalo mingapi? Halafu kukiwa na mdahalao huo, nina wasiwasi Lissu ataumia sana kwa sababu yeye atakwenda kuzungumza kwa hasira dhidi ya Magufuli ambaye amekuwa anamshmabulia kwenye vyombo vya habari vya nje kwa muda mrefu sasa.

Statement zake nyingi huwa ni za kuropoka na wakati mwingi huwa hazina ushahidi. Magufuli atakwenda pale akiwa na takwimu zote kichwani pamoja na vifungu vya sheria vinavyotawala maamuzi yote aliyowahi kufanya halafu na kusisitiza kwa uchungu kuwa hiyo ni kwa ajili ya watanzania maskini wa kawaida, maneno ambayo yanaweza kuwa na effect sana kwa wapiga kura kuliko maneno ya kinadharaia ya kwamba et i"nitajenga demokrasia ya kweli" au kuuliza kwa "nini kamera zilizimwa"

Wakati mwingine kuwa makini na lile uliombalo. Anayeweza kujenga mdahalo mzuri labda ni Mbowe tu; hata Zitto pia huwa hawezi.

..Jpm kumbukumbu zake siku hizo siyo sharp kama wakati alipokuwa waziri.

..pia Jpm anajua sheria mbili tu, sheria ya ardhi, na sheria ya barabara.

..zaidi, Jpm amezoea kuzungumza peke yake, hajazoea na hapendi kuwa challenged.
 
Hawezi kujibu hoja za Lissu zaidi ya kutishia
 
Wajumbe tunasubiri tarehe 28/10
Tutamlipa kila mgombea sawasawa na matendo yake
 
Magufuli hawezi kutamuka hata jina la Tundu Lissu tu, sembuse mdahalo!

..nahisi CCM na watendaji wa serikali wamekatazwa kumtaja Tundu Lissu kwa jina lake.

..nilianza kumsikia msemaji wa jeshi la polisi akikwepa kutaja jina la Tundu Lissu.

..Humphrey Polepole naye amezungumzia mapokezi ya Lissu, bila kumtaja jina.

..Mzee Butika ametaabika sana kumtaja Lissu kwa jina lake, lakini mwisho ikabidi amtaje tu.

cc Nguruvi3
 
Hayati Benjamin Mkapa naye amewahi kukalia kiti alichokalia Magufuli, lakini mwishoni mwa uhai wake alipata busara kuwa, Ukosefu wa uwanja sawa wa kufanya siasa baina ya Wapinzani na Chama tawala, Kuwapandikizia Wazanzibari mtawala, Kuoneaonea watu kwa sababu ya misingi ya kisiasa ni vitu vibaya kabisa na havifai kwa ustawi wa Taifa.

Sasa Magufuli bora atumie miezi au miaka yake hii michache iliyobaki madarakani kuliponya Taifa au kujitengenezea Legacy nzuri ya kukumbukwa. Nje ya hapo akitoka madarakani wananchi watamsema kwa ubaya kabisa, atakosa heshima, na nje ya madaraka atakuwa na msongo wa mawazo.

Unyanywasaji wanaofanyiwa wapinzani haufai kabisa nchini!
Madaraka haya yanapita!
 
..Jpm kumbukumbu zake siku hizo siyo sharp kama wakati alipokuwa waziri.

..pia Jpm anajua sheria mbili tu, sheria ya ardhi, na sheria ya barabara.

..zaidi, Jpm amezoea kuzungumza peke yake, hajazoea na hapendi kuwa challenged.
Hiyo ni kuchukulia kama vile naye siku hiyo ya mjadala hatajiandaa, na debate yenyewe itakuwa ya kupashana bila kuwa na modereta. Kwa debate kamili unaweza kushangaa mtu akarukwa na akili kwa nini aliomba debate hiyo. Debate siyo kama setting ya mahakamani bali ni setting ambayo kuna modereta anachunga muda na mada inayoongelewa. Huwezi kuleta mada yako ambayo haiko kwenye ratiba ya modereta ukalazimisha izungunguzwe.
 
Nashauri Magufuli ndiye awe wa Kwanza kuomba debate na Lissu. Ifanyike U Dom. Hii itakuwa nafasi nzuri kueleza mafanikio yako, mipango yako na kulinganisha.

Lakini Siasa za wimbo wa taifa. Kununua kuku, kununua mahindi na kusalimia kwa makabila tofauti haitoshi. Watanzania wamemsikiliza Lissu akiwaeleza watu uraisi wa kifalme kwa umakini hata CCM walikuwa hawajui mengine.

Sasa Magufuli uwe jasiri usiogope majadiliano na wewe ni mbishi mzuri tu. Huwezi kutegemea unyanyasaji pekee kwenye historian yako muhula wa mwisho huu. Una PHD na itakuwa kwa kiswahili uoga wa nini?

Lissu sio Lowassa ana nyota kweli kweli usije kituachia historia yako ikawa ni unyanyasaji pekee
1. Hamna haja wala umuhimuwa mdjadala, kwakua hamna la kujadili, Rais Mgufuli aliyoyafanya katik utawala wake yanaonekana na kila mtu, wala haitaji kushawishi umma juuya ubora wa uongozi wake.

2. Rais Magufuli anaweza asiwe muongeaji mzuri, na pia anaweza asiwe mwanasiasa bora, lakini ameonesha kwamba yeye ni kiongozi bora sana. Tanzania inahitaji kiongozi bora, na wala hatuhitaji mwanasiasa bora. JPM ni mtekelezaji kwa vitendo, mara nyingi wale ambao wameonekana kuwa ni waongeaji sana wamekua wakifeli kwenye utendaji.

3. Uchaguzi huu ni mwepesi sana, JPM atashinda kwa kura nyingi sana, tena mapema sana.
 
Mtu hupimwa kwa matendo yake sio kwakuzungumza kingereza kwa ufasaha Wala kiswahili kwa ufasaha uongozi nikazi yavitendo sio uwezo wakuzungumza tu
 
Back
Top Bottom