Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Uzuri wenyewe JPM ni akili kubwa sana, yeye hakuna anaye weza kumtoa katika ile ahadi yake kuu. "Mniamini Watanzania Sitawaangusha" Na kweli hajawaangusha katika utendaji wake. Yuko focused sana haruhusu kelele za chura zimzuie kutimiza malengo yake.

Mabeberu wamejitahidi kumprovoke yeye kawapotezea, mpaka ikibidi sana ndio atawajibu. Moja ya maelekezo Lissu aliyo pewa huko alipotoka ni kuhakikisha anamchokoza JPM na serikali kwa namna yeyote ile.

Lakini mwenyewe JPM kaelewa na ameliona hili tayari. Pamoja na maneno ya Lissu ya kutaka kuumuzi JPM kwa kila namna ili aseme chechote so far kaambulia patupu.

JPM ni muumini wa ile kauli ya matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno.
 
Nashauri Magufuli ndiye awe wa Kwanza kuomba debate na Lissu. Ifanyike U Dom. Hii itakuwa nafasi nzuri kueleza mafanikio yako, mipango yako na kulinganisha.

Lakini Siasa za wimbo wa taifa. Kununua kuku, kununua mahindi na kusalimia kwa makabila tofauti haitoshi. Watanzania wamemsikiliza Lissu akiwaeleza watu uraisi wa kifalme kwa umakini hata CCM walikuwa hawajui mengine.

Sasa Magufuli uwe jasiri usiogope majadiliano na wewe ni mbishi mzuri tu. Huwezi kutegemea unyanyasaji pekee kwenye historian yako muhula wa mwisho huu. Una PHD na itakuwa kwa kiswahili uoga wa nini?

Lissu sio Lowassa ana nyota kweli kweli usije kituachia historia yako ikawa ni unyanyasaji pekee
Wataongea lugha ipi kwenye huo mdahalo, maana kuna mmoja lugha ya mawasiliano ni changamoto kwake.
 
Jamaaa mshamba yule hawezi kukubali anachokijua yeye ni kuteka watu tu
 
ngalanga
Kama ulichoandika ndiyo staili ya mjadala wa Lissu- by extraploation; basi ni wazi matokea ya mjadala huo yanajulikana na wala hakuna haja ya kupoteza muda kwa mjadala tena.Labda ukiri tu wala maoni yako hayana uhusiano na maoni ya Lissu
 
Nashauri Magufuli ndiye awe wa Kwanza kuomba debate na Lissu. Ifanyike U Dom. Hii itakuwa nafasi nzuri kueleza mafanikio yako, mipango yako na kulinganisha.

Lakini Siasa za wimbo wa taifa. Kununua kuku, kununua mahindi na kusalimia kwa makabila tofauti haitoshi. Watanzania wamemsikiliza Lissu akiwaeleza watu uraisi wa kifalme kwa umakini hata CCM walikuwa hawajui mengine.

Sasa Magufuli uwe jasiri usiogope majadiliano na wewe ni mbishi mzuri tu. Huwezi kutegemea unyanyasaji pekee kwenye historian yako muhula wa mwisho huu. Una PHD na itakuwa kwa kiswahili uoga wa nini?

Lissu sio Lowassa ana nyota kweli kweli usije kituachia historia yako ikawa ni unyanyasaji pekee

Lissu has a mental problem, activist with no vision either mission. He is neither a presidential Material, he has bullets wounds + legal jargon to seek sympathy from the public.

Hatrage in his soul filled by his liberal sponsors...all the time he thinks of demonstrations and dividing the Nation.

Cheap politics..

Kiufupi hakuna wa kushindana na Magufuli Au CCM 2020 mark my word.
 
Mwaka 2010 na 2015 kulikuwa na midahalo mingapi? Halafu kukiwa na mdahalao huo, nina wasiwasi Lissu ataumia sana kwa sababu yeye atakwenda kuzungumza kwa hasira dhidi ya Magufuli ambaye amekuwa anamshmabulia kwenye vyombo vya habari vya nje kwa muda mrefu sasa.

Statement zake nyingi huwa ni za kuropoka na wakati mwingi huwa hazina ushahidi. Magufuli atakwenda pale akiwa na takwimu zote kichwani pamoja na vifungu vya sheria vinavyotawala maamuzi yote aliyowahi kufanya halafu na kusisitiza kwa uchungu kuwa hiyo ni kwa ajili ya watanzania maskini wa kawaida, maneno ambayo yanaweza kuwa na effect sana kwa wapiga kura kuliko maneno ya kinadharaia ya kwamba et i"nitajenga demokrasia ya kweli" au kuuliza kwa "nini kamera zilizimwa"

Wakati mwingine kuwa makini na lile uliombalo. Anayeweza kujenga mdahalo mzuri labda ni Mbowe tu; hata Zitto pia huwa hawezi.
Mkuu kwa Lissu hata huu ulioutoa hapa ni ushauri tosha na hata ungemwambia nusu SAA kabla ya mdahalo angeweza kubadilika na Ku flow kwa namna uliyotaka.
Maneno yale ya hasira dhidi ya Magufuli yalitokana na mazingira yaliyokuwa yamemzunguka wakati ule lakini nadhani kwa sasa hayapo au joto limepungua.
Tulimuona Bungeni akipangua hoja bila hasira pamoja na maudhi ya mle ndani.
 
Mkuu kwa Lissu hata huu ulioutoa hapa ni ushauri tosha na hata ungemwambia nusu SAA kabla ya mdahalo angeweza kubadilika na Ku flow kwa namna uliyotaka.
Maneno yale ya hasira dhidi ya Magufuli yalitokana na mazingira yaliyokuwa yamemzunguka wakati ule lakini nadhani kwa sasa hayapo au joto limepungua.
Tulimuona Bungeni akipangua hoja bila hasira pamoja na maudhi ya mle ndani.

Mbona Magufuli ndiye anaongea kwa hasira na Ukali kuliko Lissu

Magufuli anewahi kutishia hata kuwapiga wanawake(Mashangazi), sijawahi kumsikia Lissu akitishia kutumia violence kwa mtu yeyote!
 
Huku ni kumdhalikisha rais wetu,kweli rais afanye mjadala na mtu mwenye faili pale milembe?/

Hiyo ni kazi ya madaktari na ndo maaana jamaa yenu huwa anabwabwaja lakini rais yuko kimya sana, hana muda wa kujibizana na watu wenye matatizo ya akili
 
Hayati Benjamin Mkapa naye amewahi kukalia kiti alichokalia Magufuli, lakini mwishoni mwa uhai wake alipata busara kuwa, Ukosefu wa uwanja sawa wa kufanya siasa baina ya Wapinzani na Chama tawala, Kuwapandikizia Wazanzibari mtawala, Kuoneaonea watu kwa sababu ya misingi ya kisiasa ni vitu vibaya kabisa na havifai kwa ustawi wa Taifa.

Sasa Magufuli bora atumie miezi au miaka yake hii michache iliyobaki madarakani kuliponya Taifa au kujitengenezea Legacy nzuri ya kukumbukwa. Nje ya hapo akitoka madarakani wananchi watamsema kwa ubaya kabisa, atakosa heshima, na nje ya madaraka atakuwa na msongo wa mawazo.

Unyanywasaji wanaofanyiwa wapinzani haufai kabisa nchini!
Madaraka haya yanapita!

Mkapa angeyasema haya akiwa madarakani tungemuelewa.

Sio asubiri kastaafu kazi zaidi ya miaka 23 baadaye na umri zaidi ya miaka 80 ndio anayasena haya.

Yeye na wengine/wenziwe wanakosa uungwana aliojaliwa Mzee Ruksa wa kukubali ukweli.

Kilicho mfanya Mkapa aandike kitabu ni kukoseshwa amani yeye na wenzake na kauli ya nchi hii tumechezewa sana na yako mambo ya hovyo mno tuliyo fanyaiwa. Sababu nyingine kasukumwa na watu wanaotaka Urais kupitia mfumo ule wa wanamtandao usio rasmi. Hakuna kingine zaidi ya haya, maslahi yao yameguswa na they had to find a solution to arrest the situation. Nasikia kitabu kingine kinaandaliwa huko kusini.

Wako wapuuzi wanaosema kuwa JPM naye alikuwa katika serikali za wawili hawa. Mimi nawaambia Daudi Mfalme alikuwa katika serikali ya Sauli Mfalme na bado aliwakomboa wana wa Israel na Yesu akawa mzao wake.

Kwa maana hii basi JPM amesave Masauli wawili wa Tanzania wengine hatuna shaka hata kidogo nchi hii itavuna mema kupitia kiongozi huyu mcha Mungu.
 
Hiyo haitakaa itokee, na Kama itatokea . Mdahalo uwe Kisukuma maana Magufuli hajui Kiswahili wala Kiingereza fasaha.
Hahaha halafu anapenda sana kutumia neno "unamfanizia" sijui huwa anamaanisha nini ila Membe amesema jana kuna mkutano utafanyika USA mwezi wa tisa ameshauri aende maana kule kuna marais kibao watakuwepo kwa hiyo anaua ndege wengi kwa jiwe moja ,ameongeza pia aende tu maana kuna wakalimani wapo tu kama issue ni kiingereza.
 
Mkapa angeyasema haya akiwa madarakani tungemuelewa.

Sio asubiri kastaafu kazi miaka 20 baadaye na umri zaidi ya miaka 80 ndio anayasena haya.

Yeye na wengine/wenziwe wanakosa uungwana aliojaliwa Mzee Ruksa wa kukubali ukweli.

Kilicho mfanya Mkapa aandike kitabu ni kukoseshwa amani yeye na wenzake na kauli ya nchi ya nchi hii tumechezewa sana na yako mambo ya hovyo mno tuliyo fanyaiwa. Sababu nyingine kasukumwa na watu wanaotaka Urais kupitia mfumo ule wa wanamtandao usio rasmi. Hakuna kingine zaidi ya haya, maslahi yao yameguswa na they had to find a solution to arrest the situation. Nasikia kitabu kingine kinaandaliwa huko kusini.

Wako wapuuzi wanaosema kuwa JPM naye alikuwa katika serikali za wawili hawa. Mimi nawaambia Daudi Mfalme alikuwa katika serikali ya Sauli Mfalme na bado aliwakomboa wana wa Israel na Yesu akawa mzao wake.

Kwa maana hii basi JPM amasave Masauli wawili wa Tanzania wengine hatuna shaka hata kidogo nchi hii itavuna mema kupitia kiongozi huyu mcha Mungu.

Sasa mbona chini ya utawala wake anatutangazia kuhusu ufisadi kisha anasamehe mafisadi na kuwapa tena vyeo (Mfano Andengenye)

Mbona hataki manunuzi yake ya bdege yakaguliwe na CAG?

Kazipeleka wapi Trillion zetu 1.5?

Kuna kashfa ya kuuza nyumba za serikali kwa utaratibu wa hovyo hadi michepuko kulamba bingo

Hamna kitu hapo ni msanii tu
 
Hahaha halafu anapenda sana kutumia neno "unamfanizia" sijui huwa anamaanisha nini ila Membe amesema jana kuna mkutano utafanyika USA mwezi wa tisa ameshauri aende maana kule kuna marais kibao watakuwepo kwa hiyo anaua ndege wengi kwa jiwe moja ,ameongeza pia aende tu maana kuna wakalimani wapo tu.
Membe amefikisha ujumbe kidiplomasia.
 
Nashauri Rais Magufuli ndiye awe wa kwanza kuomba debate na Lissu. Mjadala huo ufanyike Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Hii itakuwa nafasi nzuri kueleza mafanikio yako, mipango yako na kulinganisha.

Lakini Siasa za wimbo wa Taifa. Kununua kuku, kununua mahindi na kusalimia kwa makabila tofauti haitoshi. Watanzania wamemsikiliza Lissu akiwaeleza watu Urais wa kifalme kwa umakini hata CCM walikuwa hawajui mengine.

Sasa Rais Magufuli uwe jasiri usiogope majadiliano na wewe ni mbishi mzuri tu. Huwezi kutegemea unyanyasaji pekee kwenye historia yako muhula wa mwisho huu. Una PhD na itakuwa kwa kiswahili uoga wa nini?

Lissu sio Lowassa ana nyota kweli kweli usije kituachia historia yako ikawa ni unyanyasaji pekee
THubUtUuuuu!
 
Mwaka 2010 na 2015 kulikuwa na midahalo mingapi? Halafu kukiwa na mdahalao huo, nina wasiwasi Lissu ataumia sana kwa sababu yeye atakwenda kuzungumza kwa hasira dhidi ya Magufuli ambaye amekuwa anamshmabulia kwenye vyombo vya habari vya nje kwa muda mrefu sasa.

Statement zake nyingi huwa ni za kuropoka na wakati mwingi huwa hazina ushahidi. Magufuli atakwenda pale akiwa na takwimu zote kichwani pamoja na vifungu vya sheria vinavyotawala maamuzi yote aliyowahi kufanya halafu na kusisitiza kwa uchungu kuwa hiyo ni kwa ajili ya watanzania maskini wa kawaida, maneno ambayo yanaweza kuwa na effect sana kwa wapiga kura kuliko maneno ya kinadharaia ya kwamba et i"nitajenga demokrasia ya kweli" au kuuliza kwa "nini kamera zilizimwa"

Wakati mwingine kuwa makini na lile uliombalo. Anayeweza kujenga mdahalo mzuri labda ni Mbowe tu; hata Zitto pia huwa hawezi.
Umejiunga long sana JF kipindi cha members waliokuwa wanatoa nondo za ukweli lakini still haujapata chochote cha maana:-

Lissu hatozungumzia kwanini sijui kamera zimetolewa au vitu vinvyofanana na hivyo,vipaumbele vyake alishavitoa mkuu atajikita kwenye ilani ya chama:-

Kuna kitu kinaitwa utawala bora,kuongozwa kwa mujibu wa katiba,uhuru wa kutoa maoni,vyote hivyo vipo katika kipengele kimoja na kati ya uhuru wa kutoa maoni ndio maswala ya watu kupigwa risasi,kutupwa kwenye viroba,kuuliwa kwa waandishi,wanahabari ndipo yataingia tambua hiko ni kipengele kimoja tu.

Vipo vipengele vingi kama kupunguza VAT kutoka 18 mpaka 10 ,Kuongeza mishahara ya watumishi wa umma ,elimu bure hadi form 4 ,etc mambo ni mengi sana!!
 
Nashauri Rais Magufuli ndiye awe wa kwanza kuomba debate na Lissu. Mjadala huo ufanyike Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Hii itakuwa nafasi nzuri kueleza mafanikio yako, mipango yako na kulinganisha.

Lakini Siasa za wimbo wa Taifa. Kununua kuku, kununua mahindi na kusalimia kwa makabila tofauti haitoshi. Watanzania wamemsikiliza Lissu akiwaeleza watu Urais wa kifalme kwa umakini hata CCM walikuwa hawajui mengine.

Sasa Rais Magufuli uwe jasiri usiogope majadiliano na wewe ni mbishi mzuri tu. Huwezi kutegemea unyanyasaji pekee kwenye historia yako muhula wa mwisho huu. Una PhD na itakuwa kwa kiswahili uoga wa nini?

Lissu sio Lowassa ana nyota kweli kweli usije kituachia historia yako ikawa ni unyanyasaji pekee
Wale ni hasi na chanya ni ngumu sana kusogeleana maana kila mmoja anataka awe chanya
 
Nashauri Rais Magufuli ndiye awe wa kwanza kuomba debate na Lissu. Mjadala huo ufanyike Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Hii itakuwa nafasi nzuri kueleza mafanikio yako, mipango yako na kulinganisha.

Lakini Siasa za wimbo wa Taifa. Kununua kuku, kununua mahindi na kusalimia kwa makabila tofauti haitoshi. Watanzania wamemsikiliza Lissu akiwaeleza watu Urais wa kifalme kwa umakini hata CCM walikuwa hawajui mengine.

Sasa Rais Magufuli uwe jasiri usiogope majadiliano na wewe ni mbishi mzuri tu. Huwezi kutegemea unyanyasaji pekee kwenye historia yako muhula wa mwisho huu. Una PhD na itakuwa kwa kiswahili uoga wa nini?

Lissu sio Lowassa ana nyota kweli kweli usije kituachia historia yako ikawa ni unyanyasaji pekee
Hata ukiweka kitanzi pembeni jiwe kamwe hatakubali mdahalo, hana uwezo wa kujadiliana na mtu.
 
Back
Top Bottom