Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Lissu vs JPMMwaka 2010 na 2015 kulikuwa na midahalo mingapi? Halafu kukiwa na mdahalao huo, nina wasiwasi Lissu ataumia sana kwa sababu yeye atakwenda kuzungumza kwa hasira dhidi ya Magufuli ambaye amekuwa anamshmabulia kwenye vyombo vya habari vya nje kwa muda mrefu sasa.
Statement zake nyingi huwa ni za kuropoka na wakati mwingi huwa hazina ushahidi. Magufuli atakwenda pale akiwa na takwimu zote kichwani pamoja na vifungu vya sheria vinavyotawala maamuzi yote aliyowahi kufanya halafu na kusisitiza kwa uchungu kuwa hiyo ni kwa ajili ya watanzania maskini wa kawaida, maneno ambayo yanaweza kuwa na effect sana kwa wapiga kura kuliko maneno ya kinadharaia ya kwamba et i"nitajenga demokrasia ya kweli" au kuuliza kwa "nini kamera zilizimwa"
Wakati mwingine kuwa makini na lile uliombalo. Anayeweza kujenga mdahalo mzuri labda ni Mbowe tu; hata Zitto pia huwa hawezi.
Kwenye mdahalo kumbuka JPM hataweza ku-controll naratives zote. Na Lissu ataweka ushahidi wa madhaifu ya utawala wa JPM. Mfano rahisi ni yeye kupigwa risasi na hakuna aliekamatwa. Huo ni udhaifu mkubwa wa serikali.
Bado mengine mengi, JPM atakimbia mdahalo.