Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Matarajio ya wananchi NIKUONA mdahalo wa wagombea nafasi ya Rais Wagombea hao ni Tundu Lissu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na wenzake Dr John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Aliyekuwa waziri wa Mambo ya Kigeni nchini , mh Bernard Membe chama cha ACT-Wazalendo
 
Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.

Nawasilisha.

View attachment 1527961

View attachment 1527962

View attachment 1527963
Lissu wafundishe sheria na taratibu watu wako, Toka lini tume ikaandaa midahalo?
 
Hayo yamesemwa na mh Tundu Lissu kupitia ukurasa wa Twitter wa baraza la vijana CHADEMA Bavicha.
Screenshot_20200811-191627.png

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
lissu kaachwa ajivinjaro mpaka haamini. Anakosa point alidhani polisi watakua ma dili nae awe bize luongea kuminywa, anatia huruma...
 
Lisu bana, asa yeye tangu lini akakijua kisukuma,kinyarwanda,kinyamkenda?

Atulie akusanye wadhamini huko.
 
Kiswahili hawezi sembuse kiingereza? Alikimbia mkutano na marais wenzie kupitia zoom meeting ambao alitakiwa kuwa mwenyekiti maana ilikuwa kikao cha SADDC.

Huyo labda kisukuma ndio anaweza. Phd holder- Ben Saanane alipotea
 
Lissu muonee huruma mwenzio asije kuanza kusema "Intapentuanyiwashuaship" badala ya Enterpreneurship

Hahahahaha

Tufungue vyuo vya language tupu bongo tupate wakalimani wa lugha tofautiyofauti wa kutosha!
 
Back
Top Bottom