Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Matarajio ya wananchi NIKUONA mdahalo wa wagombea nafasi ya Rais Wagombea hao ni Tundu Lissu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na wenzake Dr John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Aliyekuwa waziri wa Mambo ya Kigeni nchini , mh Bernard Membe chama cha ACT-Wazalendo
 
Lissu wafundishe sheria na taratibu watu wako, Toka lini tume ikaandaa midahalo?
 
lissu kaachwa ajivinjaro mpaka haamini. Anakosa point alidhani polisi watakua ma dili nae awe bize luongea kuminywa, anatia huruma...
 
Lisu bana, asa yeye tangu lini akakijua kisukuma,kinyarwanda,kinyamkenda?

Atulie akusanye wadhamini huko.
 
Kiswahili hawezi sembuse kiingereza? Alikimbia mkutano na marais wenzie kupitia zoom meeting ambao alitakiwa kuwa mwenyekiti maana ilikuwa kikao cha SADDC.

Huyo labda kisukuma ndio anaweza. Phd holder- Ben Saanane alipotea
 
Mgombea wangu yuko too vibrant sio kama Edo anatuambia tukadownload ilani kwenye web
 
Lissu muonee huruma mwenzio asije kuanza kusema "Intapentuanyiwashuaship" badala ya Enterpreneurship

Hahahahaha

Tufungue vyuo vya language tupu bongo tupate wakalimani wa lugha tofautiyofauti wa kutosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…