Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Magufuli akimkimbia Lisu kwenye mdahalo huu atazidi kujichimbia kaburi la kukataliwa na wapiga kura.

Kwa makusudi kabisa Lisu ametegeshea Magufuli hili zigo la kushiriki mdahalo wa wazi ama kukataa.

Naliita zigo kwasabb Magufuli akikubali kushiriki ni MSALA kwake maana yuko poor Sana ktk kujenga hoja. Hivyo ataabika vibaya mno kwenye mdahalo huo.

Na akikataa pia ni MSALA. Maana itaonekana anamuogopa mtu mdogo kama Lisu. Mbali na umri hata kwenda shule Magufuli ana madarasa mengi kuliko Lisu (ana PhD) na ni rais.

Sasa watu watajiuliza iweje unamkimbia na kumuogopa mtu kama Lisu? Itampunguzia na kumshushia personality kwa wapiga kura.

My take:
Mwaka huu ccm mmelokoroga na mtalinywa. Hali yenu tete Sana.
mwaka huu watakula walikopeleka mboga!
 
Simpatii picha mgombea wa CHAUMA Bw.Spunda na hoja zake za kuku na ubwabwa na ujii😂😅
 
CCM is a zombie land, and every person in it is literary brain-dead.
And unfortunately we all know you can't debate with a zombie.
Ccm ina maprofesa na PhD holders wengi tu, hawawezi kuwa "brain-dead".
 
Magufuli akimkimbia Lisu kwenye mdahalo huu atazidi kujichimbia kaburi la kukataliwa na wapiga kura.

Kwa makusudi kabisa Lisu ametegeshea Magufuli hili zigo la kushiriki mdahalo wa wazi ama kukataa.

Naliita zigo kwasabb Magufuli akikubali kushiriki ni MSALA kwake maana yuko poor Sana ktk kujenga hoja. Hivyo ataabika vibaya mno kwenye mdahalo huo.

Na akikataa pia ni MSALA. Maana itaonekana anamuogopa mtu mdogo kama Lisu. Mbali na umri hata kwenda shule Magufuli ana madarasa mengi kuliko Lisu (ana PhD) na ni rais.

Sasa watu watajiuliza iweje unamkimbia na kumuogopa mtu kama Lisu? Itampunguzia na kumshushia personality kwa wapiga kura.

My take:
Mwaka huu ccm mmelokoroga na mtalinywa. Hali yenu tete Sana.
Itifaki hairuhusu Rais wa JMT kufanya mdahalo na raia wa kawaida.

Huo mdahalo CCM itawakilishwa na Paul Makonda!
 
Sina hakika kama anamuogopa ila nachojua hatokuwa na mda wa ziada wa kushiriki kitu ambacho hakiko kwenye ratiba yake
Muda wa kampeni huu nyie Lumumba. Hana muda yuko wap? Wanashiriki kina Trump itakuwa huyu wa Chatle!!!?
 
Tundulisu Hana hadh ya kukaa Na Magufuli et wakafanya mdahalo acheni kuwa wajinga
 
Kama kwel anapenda mdahalo awaited waandish wa Habar au Wanafunzi wa vyuo wam challenge alafu tuone kama atatoka
 
Ila wasije na mabulungutu ya pesa.

Labda walete mahindi ya kuchoma tu na kajogoo... kuku kishingo 🤣🤣
Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.

Nawasilisha.

View attachment 1527961

View attachment 1527962

View attachment 1527963
 
2010 upinzani walitaka mdahalo,2015 Ukawa (CHADEMA,NCCR,CUF) na CCM walikukataa mdahalo,ACT walikubali (sijui kwa nini?),2020 wanataka tena mdahalo.Siasa za Tz hazina tofauti na komedi......walicho kikataa juzi wanakikubali leo,sasa unajiuliza kwa nini juzi walikataa.
Jibu utalipata kwenye mdahalo

Sent from my XT1097 using JamiiForums mobile app
 
Kwa Tume hii ya uchaguzi ambayo imewekwa MFUKONI na Rais, tutarajie viroja vingi sana.
 
Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.

Nawasilisha.

View attachment 1527961

View attachment 1527962

View attachment 1527963
Mdahalo utapunguza wagombea wanaodhani urais ni kama umachinga

Sent from my XT1097 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom