Ona jinsi Israel itakavyoshindwa vita safari hii ambako wengi hawajaona

Ona jinsi Israel itakavyoshindwa vita safari hii ambako wengi hawajaona

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wale wasio na uelewa mpana wa mwenendo wa vita wanapima mafanikio ya vita kwa kuwa na ndege nyingi za kijeshi na vifaru na kupiga mabomu mazito kwa mfululizo.

Wanapima pia kwa vikosi vya jeshi fulani kuweza kuingia mpaka ndani ya ngome ya mpinzani kwa muda.

Vitu vinavyotakiwa kupimwa ni zaidi na vingi kuliko hivyo.Miongoni mwao ni jee baada ya kuingia utawezaje kuendelea kubaki hapo na jee utaweza kutoka kwa muda mfupi au mrefu kama utakavyopenda?

Kwa upande wa vita vinavyoendelea sasa baina ya Israel na wapalestina chini ya Hamas huko Gaza kuna ishara nyingi za kuonesha kushindwa kwa Israel na kwamba itaendelea kushindwa kadri siku zinavyokwenda.

Kushindwa kwa mwanzo ni kule kutokufanikiwa kuwanyamazisha Hamas zaidi ya mwezi na kutokujua sehemu wanapoendesha vita,na pia kushindwa kuokoa mateka hata mmoja.Dalili ni kuwa hata wakiwaokoa haitowezekana kuwapata idadi ya kuwaridhisha wanacnhi wanaowasubiri huko majumbani mwao.

Sehemu nyengine ya dalili za kushindwa mbeleni ni kwamba tayari Israel wameweza kuropoka yale waliyokuwa wameyaficha nyoyoni mwao kwamba wanataka wawahamishe wapalestina wote kutoka Gaza na walifikiria kuwapeleka uhamishoni Sinai ndani ya Misri.Hili lilijulikana mapema na kupingwa mapema pia na Misri na wenzake.

Baada ya kuwataka watu wakimbilie kusini kutoka kaskazini ya Gaza viongozi wa kijeshi walisikika wakisema tukimaliza kaskazini tunakuja na kusini.Na kwa papara zao hata haawkusubiri kumaliza huko kaskazini wamekuwa wakipiga kusini na kusababisha maafa takriban nusu ya yale yanayotokea kaskazini.

Kama kweli watafanikiwa kumaliza kaskazini itabidi waanze kupiga kwa nguvu kusini na maafa yataanz kushuhudiwa wazi wazi.

Ukatili utakaoendelea kusini hautokuwa na kisingizio kingine zaidi ya kuonekana ni unyama na nia ya kutaka kuwaangamiza wapalestina kwa faida zao.Wapalestina karika picha ya huruma na kutapatapa wakipigwa na hawawezi kwenda kaskazini wala kusini kutawainua wote wenye nyoyo za kibinadamu
Hapo dunia nzima isipokuwa wachache itasimama kivitendo kuwatetea wapalestina.

Wale waliokuwa wamejizuia miongoni mwa nzhi za kiarabu na kiislamu zitaanza kujitutumua kivitendo kuanza kupigana na Israel kila mmoja kwa atakapoweza.

Nchi za kiarabu na kiislamu zitakaposhindwa kufanya hivyo kivitendo kutazalisha fukuto na chuki miongoni mwa watu wake kuanzia raia wa kawaida mpaka vyombo vya ulinzi kunakoweza kuzalisha mapinduzi na kupatikana serilali zitakazoamua kupigana hadharani kijeshi na Israel wakati huo Israel na mshirika wake US wakiwa wako taabani na kukosa kuungwa mkono na raia zao katika kuendeleza vita
Mwisho wa yote itakuwa ni kusalimu amri kwa Israel na kupanda juu kwa wanamgambo mfano wa Hamas.
 
Wale wasio na uelewa mpana wa mwenendo wa vita wanapima mafanikio ya vita kwa kuwa na ndege nyingi za kijeshi na vifaru na kupiga mabomu mazito kwa mfululizo...
Ndugu yangu upo dunia ipi?

Makafir wanaelekea kupata ushindi wa kishindo huko Gaza. Hamas wamekuwa urojo kabisa.
Hamas sijui wamepotelea wapi?

Wamefutika mazima.

Tujipange kivingine tu.

Hili la Gaza ndio limeenda hivyo, Gaza kwa sasa kwa 90% ni mali ya Makafir.
 
Wale wasio na uelewa mpana wa mwenendo wa vita wanapima mafanikio ya vita kwa kuwa na ndege nyingi za kijeshi na vifaru na kupiga mabomu mazito kwa mfululizo.
Wanapima pia kwa vikosi vya jeshi fulani kuweza kuingia mpaka ndani ya ngome ya mpinzani kwa muda.
Vitu vinavyotakiwa kupimwa ni zaidi na vingi kuliko hivyo.Miongoni mwao ni jee baada ya kuingia utawezaje kuendelea kubaki hapo na jee utaweza kutoka kwa muda mfupi au mrefu kama utakavyopenda?
Kwa upande wa vita vinavyoendelea sasa baina ya Israel na wapalestina chini ya Hamas huko Gaza kuna ishara nyingi za kuonesha kushindwa kwa Israel na kwamba itaendelea kushindwa kadri siku zinavyokwenda.
Kushindwa kwa mwanzo ni kule kutokufanikiwa kuwanyamazisha Hamas zaidi ya mwezi na kutokujua sehemu wanapoendesha vita,na pia kushindwa kuokoa mateka hata mmoja.Dalili ni kuwa hata wakiwaokoa haitowezekana kuwapata idadi ya kuwaridhisha wanacnhi wanaowasubiri huko majumbani mwao.
Sehemu nyengine ya dalili za kushindwa mbeleni ni kwamba tayari Israel wameweza kuropoka yale waliyokuwa wameyaficha nyoyoni mwao kwamba wanataka wawahamishe wapalestina wote kutoka Gaza na walifikiria kuwapeleka uhamishoni Sinai ndani ya Misri.Hili lilijulikana mapema na kupingwa mapema pia na Misri na wenzake.
Baada ya kuwataka watu wakimbilie kusini kutoka kaskazini ya Gaza viongozi wa kijeshi walisikika wakisema tukimaliza kaskazini tunakuja na kusini.Na kwa papara zao hata haawkusubiri kumaliza huko kaskazini wamekuwa wakipiga kusini na kusababisha maafa takriban nusu ya yale yanayotokea kaskazini.
Kama kweli watafanikiwa kumaliza kaskazini itabidi waanze kupiga kwa nguvu kusini na maafa yataanz kushuhudiwa wazi wazi.
Ukatili utakaoendelea kusini hautokuwa na kisingizio kingine zaidi ya kuonekana ni unyama na nia ya kutaka kuwaangamiza wapalestina kwa faida zao.Wapalestina karika picha ya huruma na kutapatapa wakipigwa na hawawezi kwenda kaskazini wala kusini kutawainua wote wenye nyoyo za kibinadamu
Hapo dunia nzima isipokuwa wachache itasimama kivitendo kuwatetea wapalestina.
Wale waliokuwa wamejizuia miongoni mwa nzhi za kiarabu na kiislamu zitaanza kujitutumua kivitendo kuanza kupigana na Israel kila mmoja kwa atakapoweza.
Nchi za kiarabu na kiislamu zitakaposhindwa kufanya hivyo kivitendo kutazalisha fukuto na chuki miongoni mwa watu wake kuanzia raia wa kawaida mpaka vyombo vya ulinzi kunakoweza kuzalisha mapinduzi na kupatikana serilali zitakazoamua kupigana hadharani kijeshi na Israel wakati huo Israel na mshirika wake US wakiwa wako taabani na kukosa kuungwa mkono na raia zao katika kuendeleza vita
Mwisho wa yote itakuwa ni kusalimu amri kwa Israel na kupanda juu kwa wanamgambo mfano wa Hamas.
Hivi unawezaje kukaa na kitunga uongo mrefu hivi kisa hisia kali tu za kidini. Mbona habari tunazopata ni kwamba watu wanajitetea kwa kukaa na watoto na waumini mbona ww unaleta habari kwamba wanashinda hebu tupe chanzo cha habari yako au ni zile za trust me bro
 
Hua hamueleweki,Kuna muda mnajikuta wababe na Hamas wenu, Kuna muda mnatia huruma eti Israel ni makatili

Tushike kipi sasa?
Israel ni makatili daima na sisi tunahurumiana wenyewe kwa wenyewe kwanza.Akitokea wa kutuhurumia anakaribiswa na atalipwa kwa wema wake.
 
We unaota Israel wanatafuta pakukimbilia huko Gaza, wanaomba Qatar iwasemeshe Hamasi wasimamishe vita masaa 72 ili hivyo vifaru vitoke salama hapo Al shifaa hospital
Mwamba unajifariji mnoo.
Hamas hata kuwasiliana wameshindwa, wengi wameamua kuwa raia na kupotea kama wakimbizi.
Nani anataka kufa kienyeji enyeji?
 
We unaota Israel wanatafuta pakukimbilia huko Gaza, wanaomba Qatar iwasemeshe Hamasi wasimamishe vita masaa 72 ili hivyo vifaru vitoke salama hapo Al shifaa hospital
Wapiganaji wameshapata maji ya kutosha ya mvua.Watoke haraka kabla vifaru havijashindwa kuwaka na kuzama kwenye matope.
Merkava vimetengenezwa kwa ajili ya mchanga sio matope.
 
Hivi unawezaje kukaa na kitunga uongo mrefu hivi kisa hisia kali tu za kidini. Mbona habari tunazopata ni kwamba watu wanajitetea kwa kukaa na watoto na waumini mbona ww unaleta habari kwamba wanashinda hebu tupe chanzo cha habari yako au ni zile za trust me bro
Akili zako za matope sana.Hapo vyanzo vya kutosha vimezalisha mawazo.Hata hayo mawazo na hekima unataka chanzo chake.Kama lazima ukijue basi ni hekima kutoka kwa Allah aliyetukuka daima milele
 
We unaota Israel wanatafuta pakukimbilia huko Gaza, wanaomba Qatar iwasemeshe Hamasi wasimamishe vita masaa 72 ili hivyo vifaru vitoke salama hapo Al shifaa hospital

Uwe unafatilia kwa kuangalia yanayoendelea hospital ya al shifaa halafu uwaonee huruma raia wanavyoteseka watu wanafanya msako wa chumba kwa chumba mle hospital tenga mda angalia aljazeera then hamas waliomba vita isimame kwa siku tano kwa exchange ya mateka 70 mayahudi yamegoma ifike pahala tuache ushabiki maandazi tuombee raia wenzetu
 
We unaota Israel wanatafuta pakukimbilia huko Gaza, wanaomba Qatar iwasemeshe Hamasi wasimamishe vita masaa 72 ili hivyo vifaru vitoke salama hapo Al shifaa hospital

Wewe si ulikuwa unatuambia hapa kuwa Israel hawawezi kuingia Gaza,kwamba wapo pembezoni huko wanapiga picha kwene magofu? Sasa hapo Al Shifaa Hospital wamefikaje tena [emoji848]
 
Hivi kwa nini jeshi la ukombozi wa Palestina (PLO) liko kimya? Wamewaachia wanamgambo wa HAMAS peke yao
 
Back
Top Bottom