Ona jinsi Israel itakavyoshindwa vita safari hii ambako wengi hawajaona

Ona jinsi Israel itakavyoshindwa vita safari hii ambako wengi hawajaona

Wale wasio na uelewa mpana wa mwenendo wa vita wanapima mafanikio ya vita kwa kuwa na ndege nyingi za kijeshi na vifaru na kupiga mabomu mazito kwa mfululizo.
Wanapima pia kwa vikosi vya jeshi fulani kuweza kuingia mpaka ndani ya ngome ya mpinzani kwa muda.
Vitu vinavyotakiwa kupimwa ni zaidi na vingi kuliko hivyo.Miongoni mwao ni jee baada ya kuingia utawezaje kuendelea kubaki hapo na jee utaweza kutoka kwa muda mfupi au mrefu kama utakavyopenda?
Kwa upande wa vita vinavyoendelea sasa baina ya Israel na wapalestina chini ya Hamas huko Gaza kuna ishara nyingi za kuonesha kushindwa kwa Israel na kwamba itaendelea kushindwa kadri siku zinavyokwenda.
Kushindwa kwa mwanzo ni kule kutokufanikiwa kuwanyamazisha Hamas zaidi ya mwezi na kutokujua sehemu wanapoendesha vita,na pia kushindwa kuokoa mateka hata mmoja.Dalili ni kuwa hata wakiwaokoa haitowezekana kuwapata idadi ya kuwaridhisha wanacnhi wanaowasubiri huko majumbani mwao.
Sehemu nyengine ya dalili za kushindwa mbeleni ni kwamba tayari Israel wameweza kuropoka yale waliyokuwa wameyaficha nyoyoni mwao kwamba wanataka wawahamishe wapalestina wote kutoka Gaza na walifikiria kuwapeleka uhamishoni Sinai ndani ya Misri.Hili lilijulikana mapema na kupingwa mapema pia na Misri na wenzake.
Baada ya kuwataka watu wakimbilie kusini kutoka kaskazini ya Gaza viongozi wa kijeshi walisikika wakisema tukimaliza kaskazini tunakuja na kusini.Na kwa papara zao hata haawkusubiri kumaliza huko kaskazini wamekuwa wakipiga kusini na kusababisha maafa takriban nusu ya yale yanayotokea kaskazini.
Kama kweli watafanikiwa kumaliza kaskazini itabidi waanze kupiga kwa nguvu kusini na maafa yataanz kushuhudiwa wazi wazi.
Ukatili utakaoendelea kusini hautokuwa na kisingizio kingine zaidi ya kuonekana ni unyama na nia ya kutaka kuwaangamiza wapalestina kwa faida zao.Wapalestina karika picha ya huruma na kutapatapa wakipigwa na hawawezi kwenda kaskazini wala kusini kutawainua wote wenye nyoyo za kibinadamu
Hapo dunia nzima isipokuwa wachache itasimama kivitendo kuwatetea wapalestina.
Wale waliokuwa wamejizuia miongoni mwa nzhi za kiarabu na kiislamu zitaanza kujitutumua kivitendo kuanza kupigana na Israel kila mmoja kwa atakapoweza.
Nchi za kiarabu na kiislamu zitakaposhindwa kufanya hivyo kivitendo kutazalisha fukuto na chuki miongoni mwa watu wake kuanzia raia wa kawaida mpaka vyombo vya ulinzi kunakoweza kuzalisha mapinduzi na kupatikana serilali zitakazoamua kupigana hadharani kijeshi na Israel wakati huo Israel na mshirika wake US wakiwa wako taabani na kukosa kuungwa mkono na raia zao katika kuendeleza vita
Mwisho wa yote itakuwa ni kusalimu amri kwa Israel na kupanda juu kwa wanamgambo mfano wa Hamas.
Israel ni dhaifu sana!
 
Hivi kwa nini jeshi la ukombozi wa Palestina (PLO) liko kimya? Wamewaachia wanamgambo wa HAMAS peke yao
Kwasababu njia wanayotumia HAMAS kupambana na Israel siyo sahihi.
Siyo PLO hata Iran kawakimbia kwasababu akianza kuwasaidia Hamas basi naye ataonekana km ndiyo mratibu mkuu wa tukio la octoba 7.
 
Wale wasio na uelewa mpana wa mwenendo wa vita wanapima mafanikio ya vita kwa kuwa na ndege nyingi za kijeshi na vifaru na kupiga mabomu mazito kwa mfululizo.
Wanapima pia kwa vikosi vya jeshi fulani kuweza kuingia mpaka ndani ya ngome ya mpinzani kwa muda.
Vitu vinavyotakiwa kupimwa ni zaidi na vingi kuliko hivyo.Miongoni mwao ni jee baada ya kuingia utawezaje kuendelea kubaki hapo na jee utaweza kutoka kwa muda mfupi au mrefu kama utakavyopenda?
Kwa upande wa vita vinavyoendelea sasa baina ya Israel na wapalestina chini ya Hamas huko Gaza kuna ishara nyingi za kuonesha kushindwa kwa Israel na kwamba itaendelea kushindwa kadri siku zinavyokwenda.
Kushindwa kwa mwanzo ni kule kutokufanikiwa kuwanyamazisha Hamas zaidi ya mwezi na kutokujua sehemu wanapoendesha vita,na pia kushindwa kuokoa mateka hata mmoja.Dalili ni kuwa hata wakiwaokoa haitowezekana kuwapata idadi ya kuwaridhisha wanacnhi wanaowasubiri huko majumbani mwao.
Sehemu nyengine ya dalili za kushindwa mbeleni ni kwamba tayari Israel wameweza kuropoka yale waliyokuwa wameyaficha nyoyoni mwao kwamba wanataka wawahamishe wapalestina wote kutoka Gaza na walifikiria kuwapeleka uhamishoni Sinai ndani ya Misri.Hili lilijulikana mapema na kupingwa mapema pia na Misri na wenzake.
Baada ya kuwataka watu wakimbilie kusini kutoka kaskazini ya Gaza viongozi wa kijeshi walisikika wakisema tukimaliza kaskazini tunakuja na kusini.Na kwa papara zao hata haawkusubiri kumaliza huko kaskazini wamekuwa wakipiga kusini na kusababisha maafa takriban nusu ya yale yanayotokea kaskazini.
Kama kweli watafanikiwa kumaliza kaskazini itabidi waanze kupiga kwa nguvu kusini na maafa yataanz kushuhudiwa wazi wazi.
Ukatili utakaoendelea kusini hautokuwa na kisingizio kingine zaidi ya kuonekana ni unyama na nia ya kutaka kuwaangamiza wapalestina kwa faida zao.Wapalestina karika picha ya huruma na kutapatapa wakipigwa na hawawezi kwenda kaskazini wala kusini kutawainua wote wenye nyoyo za kibinadamu
Hapo dunia nzima isipokuwa wachache itasimama kivitendo kuwatetea wapalestina.
Wale waliokuwa wamejizuia miongoni mwa nzhi za kiarabu na kiislamu zitaanza kujitutumua kivitendo kuanza kupigana na Israel kila mmoja kwa atakapoweza.
Nchi za kiarabu na kiislamu zitakaposhindwa kufanya hivyo kivitendo kutazalisha fukuto na chuki miongoni mwa watu wake kuanzia raia wa kawaida mpaka vyombo vya ulinzi kunakoweza kuzalisha mapinduzi na kupatikana serilali zitakazoamua kupigana hadharani kijeshi na Israel wakati huo Israel na mshirika wake US wakiwa wako taabani na kukosa kuungwa mkono na raia zao katika kuendeleza vita
Mwisho wa yote itakuwa ni kusalimu amri kwa Israel na kupanda juu kwa wanamgambo mfano wa Hamas.
Huku mnaimba vita isitishwe watoto wanakufa huku mnaomba Israel ishindwe vita!! Wavaa kobazi ni wajinga no wonder mlishikiwa akili na mwamedi aliyekua hajui kusoma wala kuandika.
 
Wale wasio na uelewa mpana wa mwenendo wa vita wanapima mafanikio ya vita kwa kuwa na ndege nyingi za kijeshi na vifaru na kupiga mabomu mazito kwa mfululizo.

Wanapima pia kwa vikosi vya jeshi fulani kuweza kuingia mpaka ndani ya ngome ya mpinzani kwa muda.

Vitu vinavyotakiwa kupimwa ni zaidi na vingi kuliko hivyo.Miongoni mwao ni jee baada ya kuingia utawezaje kuendelea kubaki hapo na jee utaweza kutoka kwa muda mfupi au mrefu kama utakavyopenda?

Kwa upande wa vita vinavyoendelea sasa baina ya Israel na wapalestina chini ya Hamas huko Gaza kuna ishara nyingi za kuonesha kushindwa kwa Israel na kwamba itaendelea kushindwa kadri siku zinavyokwenda.

Kushindwa kwa mwanzo ni kule kutokufanikiwa kuwanyamazisha Hamas zaidi ya mwezi na kutokujua sehemu wanapoendesha vita,na pia kushindwa kuokoa mateka hata mmoja.Dalili ni kuwa hata wakiwaokoa haitowezekana kuwapata idadi ya kuwaridhisha wanacnhi wanaowasubiri huko majumbani mwao.

Sehemu nyengine ya dalili za kushindwa mbeleni ni kwamba tayari Israel wameweza kuropoka yale waliyokuwa wameyaficha nyoyoni mwao kwamba wanataka wawahamishe wapalestina wote kutoka Gaza na walifikiria kuwapeleka uhamishoni Sinai ndani ya Misri.Hili lilijulikana mapema na kupingwa mapema pia na Misri na wenzake.

Baada ya kuwataka watu wakimbilie kusini kutoka kaskazini ya Gaza viongozi wa kijeshi walisikika wakisema tukimaliza kaskazini tunakuja na kusini.Na kwa papara zao hata haawkusubiri kumaliza huko kaskazini wamekuwa wakipiga kusini na kusababisha maafa takriban nusu ya yale yanayotokea kaskazini.

Kama kweli watafanikiwa kumaliza kaskazini itabidi waanze kupiga kwa nguvu kusini na maafa yataanz kushuhudiwa wazi wazi.

Ukatili utakaoendelea kusini hautokuwa na kisingizio kingine zaidi ya kuonekana ni unyama na nia ya kutaka kuwaangamiza wapalestina kwa faida zao.Wapalestina karika picha ya huruma na kutapatapa wakipigwa na hawawezi kwenda kaskazini wala kusini kutawainua wote wenye nyoyo za kibinadamu
Hapo dunia nzima isipokuwa wachache itasimama kivitendo kuwatetea wapalestina.

Wale waliokuwa wamejizuia miongoni mwa nzhi za kiarabu na kiislamu zitaanza kujitutumua kivitendo kuanza kupigana na Israel kila mmoja kwa atakapoweza.

Nchi za kiarabu na kiislamu zitakaposhindwa kufanya hivyo kivitendo kutazalisha fukuto na chuki miongoni mwa watu wake kuanzia raia wa kawaida mpaka vyombo vya ulinzi kunakoweza kuzalisha mapinduzi na kupatikana serilali zitakazoamua kupigana hadharani kijeshi na Israel wakati huo Israel na mshirika wake US wakiwa wako taabani na kukosa kuungwa mkono na raia zao katika kuendeleza vita
Mwisho wa yote itakuwa ni kusalimu amri kwa Israel na kupanda juu kwa wanamgambo mfano wa Hamas.
Wanenyamaza wote wanasema hawapo Gaza,wapo nje ya Gaza. Pole kwa imani isiyokuoa ushindi wa vita
 
We unaota Israel wanatafuta pakukimbilia huko Gaza, wanaomba Qatar iwasemeshe Hamasi wasimamishe vita masaa 72 ili hivyo vifaru vitoke salama hapo Al shifaa hospital
Source?
 
Aisee umenikumbusha mbali sana.
Unakuta timu inashindwa ku score halafu inaanza kubet enzi fulani akitoka droo halafu fulani akafungwa na fulani na sisi tukamshinda fulani fulani atakuwa amepoteza kwa kudroo. So what shinda game.
Siwaungi mkono jews lkn Hamas hesabu zao zilikuwa za kitoto sana na waliowadanganya wametishwa na meli za USA kusogea wakaufyata kwani hawakujua kuwa Israel = US = UK _~ Moscow?
 
Wale wasio na uelewa mpana wa mwenendo wa vita wanapima mafanikio ya vita kwa kuwa na ndege nyingi za kijeshi na vifaru na kupiga mabomu mazito kwa mfululizo.

Wanapima pia kwa vikosi vya jeshi fulani kuweza kuingia mpaka ndani ya ngome ya mpinzani kwa muda.

Vitu vinavyotakiwa kupimwa ni zaidi na vingi kuliko hivyo.Miongoni mwao ni jee baada ya kuingia utawezaje kuendelea kubaki hapo na jee utaweza kutoka kwa muda mfupi au mrefu kama utakavyopenda?

Kwa upande wa vita vinavyoendelea sasa baina ya Israel na wapalestina chini ya Hamas huko Gaza kuna ishara nyingi za kuonesha kushindwa kwa Israel na kwamba itaendelea kushindwa kadri siku zinavyokwenda.

Kushindwa kwa mwanzo ni kule kutokufanikiwa kuwanyamazisha Hamas zaidi ya mwezi na kutokujua sehemu wanapoendesha vita,na pia kushindwa kuokoa mateka hata mmoja.Dalili ni kuwa hata wakiwaokoa haitowezekana kuwapata idadi ya kuwaridhisha wanacnhi wanaowasubiri huko majumbani mwao.

Sehemu nyengine ya dalili za kushindwa mbeleni ni kwamba tayari Israel wameweza kuropoka yale waliyokuwa wameyaficha nyoyoni mwao kwamba wanataka wawahamishe wapalestina wote kutoka Gaza na walifikiria kuwapeleka uhamishoni Sinai ndani ya Misri.Hili lilijulikana mapema na kupingwa mapema pia na Misri na wenzake.

Baada ya kuwataka watu wakimbilie kusini kutoka kaskazini ya Gaza viongozi wa kijeshi walisikika wakisema tukimaliza kaskazini tunakuja na kusini.Na kwa papara zao hata haawkusubiri kumaliza huko kaskazini wamekuwa wakipiga kusini na kusababisha maafa takriban nusu ya yale yanayotokea kaskazini.

Kama kweli watafanikiwa kumaliza kaskazini itabidi waanze kupiga kwa nguvu kusini na maafa yataanz kushuhudiwa wazi wazi.

Ukatili utakaoendelea kusini hautokuwa na kisingizio kingine zaidi ya kuonekana ni unyama na nia ya kutaka kuwaangamiza wapalestina kwa faida zao.Wapalestina karika picha ya huruma na kutapatapa wakipigwa na hawawezi kwenda kaskazini wala kusini kutawainua wote wenye nyoyo za kibinadamu
Hapo dunia nzima isipokuwa wachache itasimama kivitendo kuwatetea wapalestina.

Wale waliokuwa wamejizuia miongoni mwa nzhi za kiarabu na kiislamu zitaanza kujitutumua kivitendo kuanza kupigana na Israel kila mmoja kwa atakapoweza.

Nchi za kiarabu na kiislamu zitakaposhindwa kufanya hivyo kivitendo kutazalisha fukuto na chuki miongoni mwa watu wake kuanzia raia wa kawaida mpaka vyombo vya ulinzi kunakoweza kuzalisha mapinduzi na kupatikana serilali zitakazoamua kupigana hadharani kijeshi na Israel wakati huo Israel na mshirika wake US wakiwa wako taabani na kukosa kuungwa mkono na raia zao katika kuendeleza vita
Mwisho wa yote itakuwa ni kusalimu amri kwa Israel na kupanda juu kwa wanamgambo mfano wa Hamas.
Ungeweka na namba ya simu ili MOSSAD na CIA na M16 wakisoma wakupigie simu uwasaidie kufanya analysis on how they can avoid yote uliyoeleza here in above.
 
Aisee umenikumbusha mbali sana.
Unakuta timu inashindwa ku score halafu inaanza kubet enzi fulani akitoka droo halafu fulani akafungwa na fulani na sisi tukamshinda fulani fulani atakuwa amepoteza kwa kudroo. So what shinda game.
Siwaungi mkono jews lkn Hamas hesabu zao zilikuwa za kitoto sana na waliowadanganya wametishwa na meli za USA kusogea wakaufyata kwani hawakujua kuwa Israel = US = UK _~ Moscow?
Meli zenyewe Hizbullah wanazipigia hesabu tu.Siku ukisikia zimezamishwa usishangae.
 
Israel imekataa kutekeleza azimio jengine la baraza la usalama la umoja wa mataifa la hapo jana la kuwataka wasitishe vita angalau kwa muda kuokolewa mateka na kuruhusu misaada.
Kwa kiburi kikubwa leo tena wameanza kudondosha vipeperushi kusini ya Gaza ikiwataka watu waondoke maeneo walipo waende maeneo salamaa
Wape kwenye usalama.Ndio hayo tuliyoyaeleza hapo juu na ndio mwendeleza wa kuangamia kwa Israel ambako watu hawajakuona.

Israel drops leaflets into southern Gaza signalling expansion of operations

 
Back
Top Bottom