Ona jinsi Israel itakavyoshindwa vita safari hii ambako wengi hawajaona

Ona jinsi Israel itakavyoshindwa vita safari hii ambako wengi hawajaona

umeshaambiwa Gaza itapandishwa bendea ya israel na atakataka kukaa pale ni lazima awe raia wa Israel
 
Mzee wa Mpitimbi una intelligence kali kuliko MI6 na CIA [emoji38]
 
Mzee wa Mpitimbi una intelligence kali kuliko MI6 na CIA [emoji38]
Nashukuru umeliona hilo.
Sisi huwa tunasema haadha min fadhli rabiy.Yaani hiyo ni neema kutoka kwa Mola wangu.
 
Wanafunzi wa Yesu wakamwambia Bathelomayo kipofu ; ( Jipe moyo anakuita)
 
Wale wasio na uelewa mpana wa mwenendo wa vita wanapima mafanikio ya vita kwa kuwa na ndege nyingi za kijeshi na vifaru na kupiga mabomu mazito kwa mfululizo.

Wanapima pia kwa vikosi vya jeshi fulani kuweza kuingia mpaka ndani ya ngome ya mpinzani kwa muda.

Vitu vinavyotakiwa kupimwa ni zaidi na vingi kuliko hivyo.Miongoni mwao ni jee baada ya kuingia utawezaje kuendelea kubaki hapo na jee utaweza kutoka kwa muda mfupi au mrefu kama utakavyopenda?

Kwa upande wa vita vinavyoendelea sasa baina ya Israel na wapalestina chini ya Hamas huko Gaza kuna ishara nyingi za kuonesha kushindwa kwa Israel na kwamba itaendelea kushindwa kadri siku zinavyokwenda.

Kushindwa kwa mwanzo ni kule kutokufanikiwa kuwanyamazisha Hamas zaidi ya mwezi na kutokujua sehemu wanapoendesha vita,na pia kushindwa kuokoa mateka hata mmoja.Dalili ni kuwa hata wakiwaokoa haitowezekana kuwapata idadi ya kuwaridhisha wanacnhi wanaowasubiri huko majumbani mwao.

Sehemu nyengine ya dalili za kushindwa mbeleni ni kwamba tayari Israel wameweza kuropoka yale waliyokuwa wameyaficha nyoyoni mwao kwamba wanataka wawahamishe wapalestina wote kutoka Gaza na walifikiria kuwapeleka uhamishoni Sinai ndani ya Misri.Hili lilijulikana mapema na kupingwa mapema pia na Misri na wenzake.

Baada ya kuwataka watu wakimbilie kusini kutoka kaskazini ya Gaza viongozi wa kijeshi walisikika wakisema tukimaliza kaskazini tunakuja na kusini.Na kwa papara zao hata haawkusubiri kumaliza huko kaskazini wamekuwa wakipiga kusini na kusababisha maafa takriban nusu ya yale yanayotokea kaskazini.

Kama kweli watafanikiwa kumaliza kaskazini itabidi waanze kupiga kwa nguvu kusini na maafa yataanz kushuhudiwa wazi wazi.

Ukatili utakaoendelea kusini hautokuwa na kisingizio kingine zaidi ya kuonekana ni unyama na nia ya kutaka kuwaangamiza wapalestina kwa faida zao.Wapalestina karika picha ya huruma na kutapatapa wakipigwa na hawawezi kwenda kaskazini wala kusini kutawainua wote wenye nyoyo za kibinadamu
Hapo dunia nzima isipokuwa wachache itasimama kivitendo kuwatetea wapalestina.

Wale waliokuwa wamejizuia miongoni mwa nzhi za kiarabu na kiislamu zitaanza kujitutumua kivitendo kuanza kupigana na Israel kila mmoja kwa atakapoweza.

Nchi za kiarabu na kiislamu zitakaposhindwa kufanya hivyo kivitendo kutazalisha fukuto na chuki miongoni mwa watu wake kuanzia raia wa kawaida mpaka vyombo vya ulinzi kunakoweza kuzalisha mapinduzi na kupatikana serilali zitakazoamua kupigana hadharani kijeshi na Israel wakati huo Israel na mshirika wake US wakiwa wako taabani na kukosa kuungwa mkono na raia zao katika kuendeleza vita
Mwisho wa yote itakuwa ni kusalimu amri kwa Israel na kupanda juu kwa wanamgambo mfano wa Hamas.
Umeongea point sana , na gharama za kumatain vita sio lelemama
 
Hua hamueleweki,Kuna muda mnajikuta wababe na Hamas wenu, Kuna muda mnatia huruma eti Israel ni makatili

Tushike kipi sasa?
Yaani. Unahitaji ujasiri wa hali ya juu kuwaelewa. Anyway, vita hivi ni vya wazo. Mwisho wa siku itajulikana tu.
 
We unaota Israel wanatafuta pakukimbilia huko Gaza, wanaomba Qatar iwasemeshe Hamasi wasimamishe vita masaa 72 ili hivyo vifaru vitoke salama hapo Al shifaa hospital

Hamas sasa hivi wanaogelea na mabikira 72 kwenye mito inayotiririka Heineken na Jack Daniels
 
Hamas sasa hivi wanaogelea na mabikira 72 kwenye mito inayotiririka Heineken na Jack Daniels
😄 Hizo bikra 72 mmezikazania sana hebu nionyeshe wapi kwenye Qur'an zimeongelewa pamoja na hizo Heineken na Jack bado kweli ukristo ni uzushi
 
😄 Hizo bikra 72 mmezikazania sana hebu nionyeshe wapi kwenye Qur'an zimeongelewa pamoja na hizo Heineken na Jack bado kweli ukristo ni uzushi
uzushi gani sasa wakati wafuasi wa allah wanaaamini ukiua kafiri una thawabu yako huko peponi?!
 
uzushi gani sasa wakati wafuasi wa allah wanaaamini ukiua kafiri una thawabu yako huko peponi?!
Qur'an inakatazaa kuuwa bila haki yani hata sisimizi ni kosa kumuwa, ikubali ukauwe binadamu, tatizo nyie hamfahamu wabeba misalaba we jambazi ukuvamie uwauwe watoto zenu. Ndugu zenu, Mama zenu we usijibu hapo ni kosa.

Ukijibu wewe ni Gaidi wao wakiwauwa ni self-defence 😄
 
Qur'an inakatazaa kuuwa bila haki yani hata sisimizi ni kosa kumuwa, ikubali ukauwe binadamu, tatizo nyie hamfahamu wabeba misalaba we jambazi ukuvamie uwauwe watoto zenu. Ndugu zenu, Mama zenu we usijibu hapo ni kosa.

Ukijibu wewe ni Gaidi wao wakiwauwa ni self-defence 😄
Vp isis, alshabaab, bokoharam nk mbona wanaua watu ili kusimamisha caliphate?!
 
Abu Hamza: We announce the death of the settler, “Hanna Katzir,” whom we had previously expressed our willingness to release - for humanitarian reasons - but the enemy’s procrastination led to the loss of her life. In light of this announcement, we renew our affirmation of disclaiming our responsibility towards our enemy prisoners in light of the barbaric and frenzied bombing on every inch. In the Gaza Strip November 21, 2023
20231121_234239.jpg
 
Abu Hamza: We announce the death of the settler, “Hanna Katzir,” whom we had previously expressed our willingness to release - for humanitarian reasons - but the enemy’s procrastination led to the loss of her life. In light of this announcement, we renew our affirmation of disclaiming our responsibility towards our enemy prisoners in light of the barbaric and frenzied bombing on every inch. In the Gaza Strip November 21, 2023View attachment 2821198
Wanaua mpaka watu wao wenyewe .Ni aibu ya kivita kama ile ya Ukraine wanaotumia silaha kwa zamu mstari wa mbele baada ya kuishiwa kwa silaha,
 
Back
Top Bottom